sasa we subir kitandani uanze uchokoz afu utaona kama kanuna
yaani hilo tu ananuna siku ukichepuka si ndio itakua balaa
Kuwa bubu, atacheka mwenyewe....
Kubembeleza lazima ila inakuwa kama unabembeleza mtoto vile..hahha mwanaume banahahahahaha akinuna humbembelezi au
Mume kaninunia kisa tulitoka out baada ya kuenjoy mapenzi, tukiwa tunakaribia kurudI nikamwambia tushakula, tumeenjoy, tushasex hope tukifika ni kulala tu, hakuna kusex.
Kanuna eti namsimanga.
Mume kaninunia kisa tulitoka out baada ya kuenjoy mapenzi, tukiwa tunakaribia kurudI nikamwambia tushakula, tumeenjoy, tushasex hope tukifika ni kulala tu, hakuna kusex.
Kanuna eti namsimanga.
hivi kama mume ana hamu mi sina inakuwaje........, ni lazima ni do hivo hivo
au mi nikiwa na ham ye hana tunafanyaje
Kuwa bubu, atacheka mwenyewe....
Biblia inakataa kunyimana kwa wanandoa,so kama yeye anahitaji na wewe huitaji na huumwi wala huna tatizo lolote kubwa kiafya unapaswa umpe.
hivi kama mume ana hamu mi sina inakuwaje........, ni lazima ni do hivo hivo
au mi nikiwa na ham ye hana tunafanyaje
dada hata mimi ningenuna unaninyasi nyasi wakati zipo kibao... ukitoka out hivyo kimoja kwenye gari na kingine bafuni na kingine kitandani kabla ya kulala... mwombe mwenzio msamaha loh
utakuwa umemwabia katika lugha isiyo nzuri, naamini ungemwambia kikawaida au kiupole zaidi zaidi angekutania na sio kununa! jirekebishae mkuu
nitampaje wakati sijiskii heee???!!