Mume hanifikishi kisawasawa

Mume hanifikishi kisawasawa

[h=5]JE WAJUA WANAUME WANAWEZA KUWEKWA KIGANJANI?

Mbinu chache za kuwaweka waume zenu kiganjani.

Mpe mumeo anachohitaji :

Wanawake wengi wanashindwa kujua wao wanatofautiana na wanaume kwa hisia na hata mawazo ya mapenzi. Wanaume wana mambo wanayoyapenda kutoka kwa wake zao hasa katika masuala ya mapenzi. Kwanza wanawake wajue wanaume wengi wana hisia za haraka za kufanya mapenzi kuliko wanawake.

Mwanaume alivyoumbwa ni kwamba akiona tu mfano mwanamke umevaa kanga moja au umevaa night dress hiyo inatosha kusisimua. Wapo wanawake wanaowasisimua waume zao bila wao kujua. Mfano umevaa tu kanga moja au night dress ndani huna kitu. Kwako ni jambo la kawaida lakini kwa mwanaume sio la kawaida kwa kukuona hivyo tayari unakuwa umeamsha hisia zake. Ukimwona anakuja kutaka haki yake usidhani anakusumbua. Ujue tayari mwenzako alishafiria mbali zamani we huna habari.

Ni vyema ukawa mwangalifu kujua hisia za mwanaume huyo mumeo kama inawezekana mpe anachohitaji kwani usipofanya hivyo unamwathiri kisaikolojia na anaweza kufikiria nje. Wanawake wengi wa nje waliowaweka waume zenu kiganjani hiyo ndio mbinu wanayotumia. Akiwa na ahadi na mumeo atamkuta kanga moja au amevaa night dress na kila anachohiji atapewa haraka tena kwa madoido. Kwanini akitaka hayo hayo kwa mkewe hapewi je ana kosa gani anapofikiria nje?

NB:
Nikisema mpe mumeo Hitaji lake sina maana Umpe mpaka kinyume na maumbile Ukiona Mumeo kafikia hapo Huyo Hafai si Mume mwenye Busara huyo na wala hakutakii mema mkatalie na Umwelimishe madhara ya Tendo la ndoa kinyume na maumbile.

Mvutie mumeo kwa mwenekano wako:

Mvuto ni muhimu sana kwa mwanaume. Wanaume wanapenda wanawake wanaowavutia kihisia. Niwaambie wanawake mlioolewa jueni kumvalia mumeo mavazi yanayomvutia.
Sio vibaya kama nilivyosema hapo juu ukavaa kanga moja kama upo pamoja nae. Kama nilivyoeleza hapo juu mwanaume anasisimka kwa kuona. Kwanini avaliwe kanga moja na wanawake wa nje wakati wewe unaweza kuvaa.

Wanawake jueni hili mnapokuwa karibu na waume zenu jianchieni Kwa mfano hakuna ubaya wakati mumeo karudi kutoka kazini akiwa amechoka, wakati unampotengea chakula ukavaa kanga moja au night dress. Unaweza kuona hilo ni jambo dogo lakini kisaikolojia utakuwa umefanya jambo kubwa. Hapo hata kama atakuwa ameudhiwa kazini atasahau na kukuona wewe mpenzi wake.

Usafi panga vitu vyako vya chumbani vizuri:

Jambo hili limekuwa lizizungumzwa sana hadi wengine wanasema mwanamke usafi. Kisaikolojia mpangalio wa vitu ndani na hasa chumbani kama ni mbovu unaweza kuathiri hata tendo la ndoa. Kama chumba ni kichafu vitu havijapangwa vizuri kisaikolojia kunapunguza msisimko wa mapenzi na hata kumfanya mwenzako achukie kufanya na wewe tendo hilo ukadhani hakupendi.

Mwanamke tandika kitanda chako vizuri panga chumba chako tandika shuka nzuri. Siku hizi kuna shuka zina maneno ya mapenzi nunua hiyo uwe unatandika. Kisaikolojia utamfanya mpenzi wako avutiwe chumba chako na hata wewe mwenyewe. Mazingira mazuri yatamfanya asisimke haraka kimapenzi anapokuwa na wewe na hata kuitamana nyumba yake na kurudi mapema nyumbani.

Jinsi chumba kilivyo rafu ndiyo wanasakolojia wanasema kunafanya ubongo uwe rafu hata kuchukia. Unaweza kumwona mwenzako anachukia kumbe ni kutokana na mpangilio mbovu wa chumba ndio sababu inayomfanya achukie.

Uwe msafi wa mwili:

Sio usafi wa chumba pekee unatosha pia na usafi wa mwili wako ni muhimu. Niwakumbushe wanawake hakuna kitu kinachowachukiza wanaume kama mwanamke mchafu. Asiyejipenda. Sio lazima ujirembe sana lakini jitahidi ukawa msafi. Oga vizuri paka mafuta au lotion yako jipulizie manukato kidogo yanayomvutia mumeo. Sio lazima utumie gharama kubwa usafi wa kawaida unatosha na kupaka rotion kuna fanya ngozi ya mwanamke ikawa laini inayovutia wanaume wanapenda sana wanawake wenye ngozi laini yenye kuvutia inaleta msisimko mumeo anapokuwa anakuangalia mara kwa mara.

Wanawake wa nje hawana zaidi ya hayo ni hayo hapo juu na mengine ndiyo wanayotumia kuwaweka waume zenu kiganjani. Usijaribu kwenda kwa mganga hakuna atakachokusaidia memeo atatoka kama wewe humsisimui, hupangi vitu vyako vizuri na pia kama unaendekeza uchafu ni rahisi mumeo kufikiria nje.

Kujiamini kwako iwe ni kwa sababu unajua ‘kumhendo’ mumeo kwa kumpa mapenzi ya kiwango cha juu, kumheshimu, mjali na kumpatia mambo ya msingi ambayo anastahili kuyapata kutoka kwako. Ukifanya hivyo utaifanya roho yake imsute kila anapotaka kukusaliti.

Hiyo ndiyo iwe sababu ya wewe kujiamini na wala huna sababu ya kujinadi kwa wenzako. Tambua kuwa kuna wanaofikia hatua ya kuhatarisha maisha yao kwa kutoa ‘mtandao’ wakijua kuwa ni njia ya kuwashika waume zao kumbe wanajitafutia matatizo makubwa.

Wapo waliopoteza fedha zao nyingi kwa kwenda kwa waganga ili waume zao wasifurukute mbele zao lakini imekuwa kazi bure. Shituka leo, anza kutumia mbinu sahihi za kuishikilia ndoa yako na usijidanganye kwa kufanya mambo ambayo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Mwanamke aliyekamilika ni yule anayeuthamini mwili wake, sasa kwa nini leo hii ukubali ‘kumrukisha ukuta’ mumeo ili kumfanya asiende nje? Kwa nini utumie fedha zako kwenye kumtafutia limbwata mumeo wakati wewe mwenyewe ni limbwata tosha?[/h]
 
Kwa kuwa umesema umbo lako limeongezeka baada ya kuoana nadhani naye ameongezeka,kuna magonjwa
yanayoleta upungufu wa kufanya mambo ya ndoa kama kisukali na pressure ya kupanda ambavyo pia vinaambatana
na unene.Ni vema mkapima afya,na kama ni mme wako mpaka mna watoto wawili kitugani kinakufanya usiwe wazi kwake,
kuhusu hilo ulilonalo moyoni?
Binafsi siungi mkono mpango wako wa baada ya miezi sita,coz hao watoto mkiondoka na ngoma ndo watapata shida.
Na wao hawajui kama unatosherezwa au la,sasa kwa nini uwaadhibu pasipo sababu ya msingi.
Zungumza na mwenzio huenda naye anakutega anasubiri umuanze,naye huenda anadhani una bwana mwingine mbona humgusi?
Unaweza ukapata kidumu,akigundua anakutema,kidumu kimekupenda wewe na sio watoto wako utafanyaje,naomba utulie,utapata majibu.
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

This is super storyyyy!
 
my dear leo hii umeamua kunihukumu huku JF? sawa nakutakia kila la heri umtafute bwana anayefanana na wewe....amen!
 
Cha msingi ongea nae tu kwanza kama ana busara ataongeza perfomance yake ila ukiona no changes ujue unaibiwa.
 
Mitindo yako imechosha nazan una stali moja tu
.hiyo inachosha kila mwanaume badlika ushughulike kama uingiapo kupika ugali.utanipa jib
 
Basi Bujibuji hapo roho kwatu anatamani hiyo miezi 6 uwe mwezi mmojaaaa!!!hellow
Cha kufanya mwambie mumeo unavyojisikiaa kuliko kunyamaza piaa badilishaa mahanjumati muonekano wako ,hata jaribu kumtega tegaa,usimsalitii ukiona habadiliki na wewe kaaa kimyaa siku nae akitaka nawe semaa umechokaaa
 
Last edited by a moderator:
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina
watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu
(wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye
ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana
nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia
kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli
nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne
hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli
ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na
mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini.
Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini
moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati
ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini
huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na
bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga
imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii
pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama
nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza
nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo
nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama
hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm
nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

Itakuwa keshajidanganya na na zile story za ATM card!vp unakabidhiwa mwenzetu?
 
fanya yafuatayo kunusuru penzi lako. 1. mpe poor performance warning letter. 2.msainishe target za wiki. 3. msainishe performance review contract ya miez sita ambayo evaluation yake itafanyika kila mwishon mwa mwez na asipofikia target mwez husika mterminate.
 
Sikilizi binti!jaribu ujiandae vizuri na kumwandaa huyo mmeo kwenye tendo la ndoa ili awe na hamu!ila mkifanya kama kubakana hawezi kukufikisha keleleni!kama hujui kumwandaa unitafute nikupe darasa ili unusuru ndoa yenu!kwenda nje yandoa sio solution
 
Back
Top Bottom