Mume hanifikishi kisawasawa

Mume hanifikishi kisawasawa

Mumeo kashindwa kazi,tafuta mitambo toka nchi za nje iliyothibitishwa na tbs.
 
ongea na mwenzako juu ya tatizo lako kwani ndo utapata ufumbuzi,cha msingi husiisaliti ndoa yako,mwombe sana mungu akuongoze kwa hili.
 
Miezi sita ikipita nitafute nitakusaida tiba ya tatizo lako.
 
Pole sana Oti Kate, unachotakiwa kufanya sio kukimbilia nje, bali ni kutafuta chanzo cha hayo mabadiliko. Wakati mwingine jinsi manavyozidi kuishi kwenye ndoa manazidi kuzoeana ikiwa ni pamoja na mvuto kupungua kwa mwenzio, sina maana kuwa uzuri wako unapungua bali wewe unabaki kuwa mzuri lakini mwenzio anakuona wa kawaida ilihali sisi wa nje tunakumezea mate. Lakini ukumbuke kuwa sisi wa nje tunatamani uzuri wako kwa kuwa gharama zinabebwa na mumeo, akikuacha tu hasa ukiwa huna kipato tunakimbia wote. Kwa kuwa ninyi ni mwili mmoja, pata faragha, kaa na mwenzio mwulize kwa upole kulikoni siku hizi, mbona hutusafiri kama ilivyokuwa mwanzo. Aidha, epuka kuwasimulia marafiki zako wa kike, itakugharimu zaidi.
 
Last edited by a moderator:
je wewe una mwandaa vp mumeo katika harakati za malavidavi? pia ni kosa kubwa sana kutomwambia mumeo kwamba hakuridhishi hebu jaribu kukaa nae ili ajue udhaifu wake. kuwa muwazi kwa mumeo ili kudumisha ndoa yenu dada
 
Kwanza inaonekana foleni ya waathilika unaosema ukiamua unaweza wapanga DAR mpaka Moro ndo wanakupa kiburi. Pili inaonekana una tatizo ambalo kisaikolojia linamfanya jamaa akose raha ya kupiga miamala mingi (JICHUNGUZE). Tatu inaonekana bado hujayakubali maisha ya ndoa kiasi kwamba kwako kupigwa kama Arsenal na man utd ndo raha yako (Nenda Malapa). Nne bado hujatambua thamani ya ndoa yako. Mwisho,kwasababu unatafuta MPINI unaopiga kazi masaa yote,niPM ili upate magoli ya basketbal au MP3.
 
Pole sana Oti Kate, unachotakiwa kufanya sio kukimbilia nje, bali ni kutafuta chanzo cha hayo mabadiliko. Wakati mwingine jinsi manavyozidi kuishi kwenye ndoa manazidi kuzoeana ikiwa ni pamoja na mvuto kupungua kwa mwenzio, sina maana kuwa uzuri wako unapungua bali wewe unabaki kuwa mzuri lakini mwenzio anakuona wa kawaida ilihali sisi wa nje tunakumezea mate. Lakini ukumbuke kuwa sisi wa nje tunatamani uzuri wako kwa kuwa gharama zinabebwa na mumeo, akikuacha tu hasa ukiwa huna kipato tunakimbia wote. Kwa kuwa ninyi ni mwili mmoja, pata faragha, kaa na mwenzio mwulize kwa upole kulikoni siku hizi, mbona hutusafiri kama ilivyokuwa mwanzo. Aidha, epuka kuwasimulia marafiki zako wa kike, itakugharimu zaidi.

nimependa sana huu ushauri wako aisee, hasa hapo kwa red. Natamani Oti Kate azingatie huu ushauri
 
Last edited by a moderator:
Bora ww watu wanaolewa mpaka wanazeeka lkn hawajawai fikishwa kunako, ila wanavumilia na ndoa inakwenda, vumilia buni mbinu mpya, badirisha mazingira, vunja ikimya mambo yatakwenda tu
 
POle sana Oti ni ukweli usio pingika kuwa sisi wanaume kadiri familia inavyo ongezeka majukumu pia yanaongezeka ,hofu ya maisha inazidi kuongezeka jinsi gani mtu utasomesha watoto, utajenga nyumba utatunza familia na hii hupelekea mwanaume kutumia muda mwingi kuwaza jambo linalo punguza sana kujenga progesterone hormones. hivyo damu hukimbilia kichwani kwa wingi ili kutoa sukari ya kulisha ubongo ambao kwa sasa unakazi kubwa ya kufikiri badala ya kupeleka damu kunako viwanda viwili vinavyo zalisha mbegu na kufanya uume ujae damu na uwe ngumu kama kigunzi, tayari kwa kufanya kazi ya uumbaji na hata kuziburudisha nafsi za wote wawili wakati huo. USHAURI WANGU tafuta siku moja mpigie sim akiwa bado kazini mwambie leo ninajisikia kufanya mapenzi naomba ukimaliza kazi uje moja kwa moja nyumbani. badilisha mpangilioo wa vitu chumbani na uhamishe kitanda kikae upande tofauti na alivyo zoea kukiona akifika mkaribishe kwa busu zito muangalie usoni kama sekunde 40 mwambie ninakupenda baba ... kitakacho fuata utanisimulia ninakushauri pi kama anakunywa sana pombe mkeep busy ili apunguze kunya pombe unaweza kuwa unamnunulia na kumuwekea nyumbani huku ukipunguza kiasi kadiri muda unavyo enda. siku nyingine mwamushe alfajiri mwambie naomba tufanye mazoezi ya viungo mnaanza kukimbizana chumbani kunyooshana viungo. kikubwa zaidi jitahidi kuwandalia chakula kisicho na mafuta na kiwe na viumgo vya asili kama vile karanga ,ufuta au tetere.
 
Kama kweli unalosema,jaribu kukaa na mumeo zungumza nae na uone pia mabadiliko ya maisha aidha mahangaiko ya maisha yamemzidi mumeo,ukumbuke nae si jiwe ni binadamu.halafu inabidi kuridhika na mumeo na wakti huo na wewe ukiongeza ujuzi acha kubweteka dada.
 
Umbile lako lenyewe kikwazo mana wanaoweza kufanya hayo mambo na majitu mabonge mabonge wanakipaji oinawezekana umbile lako lokawa kikwazo
 
Plz, and plz, wapuuze wanao kushauri uachane na Mumeo. Nikwambie. Zungumza naye kwa upole, tena mbembeleze sana. Lakin pia angalia namna ya kurudisha mwili wako wa zamani (mwembamba) maana si uongo ni kweli sisi wanaume wengi wetu hatupendelei wana wake wanene na wenye makario makubwa. Jaribu kudadisi ninamna gani unaweza kurudisha furaha ya ndoa yako. Ukishindwa kabisa wewe mwenyewe.... Angalia njia ya kutafuta mshauri wa mambo ya ndoa awasaidie. Asante kwa kutushirikisha.
Sent from: emanuelbwire@gmail.com
 
Pole sana Oti Kate, unachotakiwa kufanya sio kukimbilia nje, bali ni kutafuta chanzo cha hayo mabadiliko. Wakati mwingine jinsi manavyozidi kuishi kwenye ndoa manazidi kuzoeana ikiwa ni pamoja na mvuto kupungua kwa mwenzio, sina maana kuwa uzuri wako unapungua bali wewe unabaki kuwa mzuri lakini mwenzio anakuona wa kawaida ilihali sisi wa nje tunakumezea mate. Lakini ukumbuke kuwa sisi wa nje tunatamani uzuri wako kwa kuwa gharama zinabebwa na mumeo, akikuacha tu hasa ukiwa huna kipato tunakimbia wote. Kwa kuwa ninyi ni mwili mmoja, pata faragha, kaa na mwenzio mwulize kwa upole kulikoni siku hizi, mbona hutusafiri kama ilivyokuwa mwanzo. Aidha, epuka kuwasimulia marafiki zako wa kike, itakugharimu zaidi.



Bro umetisha,good msg, azingatie kuwa style ziko nying za kuwafikisha,pia atawatesa sana watoto akianza kutoka nje,ndo kuvunjika,magonjwa, etc,matatizo yapo dawa ni kuyatatua na si kuyakimbia.
 
Last edited by a moderator:
duh em weka hyo pic ya hyo 0714 tusafishe tongotongo manake unasema imekuwa kubwa maradufu.
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

Kwani issue ni jinsi ya ku-solve matatizo yako au ni idadi ya wanaume wanaotaka kuonja kipochi manyoya chako?
Yebo, mimi hapana elewa wewe!
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

fanya kama unanipm namba yako miezi sita ndo inakaribia
 
embu fanya kama vile na wewe hauna hamu nae kama wiki 2 hivi alafu uone kama hajakutafuata au hatohisi kama anapigiwa nje ila ukion kimya ujue kuna jambao ambalo sio zuri linaendelea ndani ya ndoa yako!!
 
Back
Top Bottom