Pole sana Oti Kate, unachotakiwa kufanya sio kukimbilia nje, bali ni kutafuta chanzo cha hayo mabadiliko. Wakati mwingine jinsi manavyozidi kuishi kwenye ndoa manazidi kuzoeana ikiwa ni pamoja na mvuto kupungua kwa mwenzio, sina maana kuwa uzuri wako unapungua bali wewe unabaki kuwa mzuri lakini mwenzio anakuona wa kawaida ilihali sisi wa nje tunakumezea mate. Lakini ukumbuke kuwa sisi wa nje tunatamani uzuri wako kwa kuwa gharama zinabebwa na mumeo, akikuacha tu hasa ukiwa huna kipato tunakimbia wote. Kwa kuwa ninyi ni mwili mmoja, pata faragha, kaa na mwenzio mwulize kwa upole kulikoni siku hizi, mbona hutusafiri kama ilivyokuwa mwanzo. Aidha, epuka kuwasimulia marafiki zako wa kike, itakugharimu zaidi.
Sakapal.. umewahi ku-practice ukafanikiwa kumrudisha wa kwako?
Umekopi mkasa dada sio wako nmeusoma ktka gazet la ijumaa! COPY & PASTE WABONGO
Pole sana Oti Kate, unachotakiwa kufanya sio kukimbilia nje, bali ni kutafuta chanzo cha hayo mabadiliko. Wakati mwingine jinsi manavyozidi kuishi kwenye ndoa manazidi kuzoeana ikiwa ni pamoja na mvuto kupungua kwa mwenzio, sina maana kuwa uzuri wako unapungua bali wewe unabaki kuwa mzuri lakini mwenzio anakuona wa kawaida ilihali sisi wa nje tunakumezea mate. Lakini ukumbuke kuwa sisi wa nje tunatamani uzuri wako kwa kuwa gharama zinabebwa na mumeo, akikuacha tu hasa ukiwa huna kipato tunakimbia wote. Kwa kuwa ninyi ni mwili mmoja, pata faragha, kaa na mwenzio mwulize kwa upole kulikoni siku hizi, mbona hutusafiri kama ilivyokuwa mwanzo. Aidha, epuka kuwasimulia marafiki zako wa kike, itakugharimu zaidi.
Habari wanajamvi,
Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.
Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:
1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi
2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.
Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.
Naomba mnisadies what to do at the moment!
Habari wanajamvi,
Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.
Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:
1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi
2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.
Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.
Naomba mnisadies what to do at the moment!