Mume hanifikishi kisawasawa

Mume hanifikishi kisawasawa

Toka nje ya ndoa watu wakatatue marinda ya mknd nadhani ndio unachotaka...halafu inaelekea ww golikipa unakaa hm unawaza kupigwa dudu tu wakat wenzio wanahangahika na maisha.

Hahahahahahahahahahahahah
 
Umewaza mbali sana bibie yaan 6month kama haja change bas unatafuta nawewe anaeweza kukuhesabisha nyota vzur mmm hapana just kaeni jion muongeee mwambie mkiwa bado hamja ruka bed mwambie leo nimemic mno so ineed good perfomance sio kama za sikukadhaa zimeniboa leo nataka good naukinipa kisawasawa ntakupa zawad ok
 
Ni kweli huyu bwana hana tatizo.Jichunguze mwenyewe.
Pili hata kama ana underperform pevuka acha utoto. Hukuolewa kwa ajil ya hilo.
Nina mfano wa mwenzako ambaye jamaa wake hawaiibiki tena kwenye hayo mambo ila anampenda sana.
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

kwa hapo yote yanawezekana labda wewe au mumeo ndo anamatatizo.Chamsingi kaeni chini mzungumze.Lazima atakusikiliza naisi hii itaraisisha kutambua tatizo.Kazi itabaki kwako kusolve
 
muonjeshe tigo atarudi kwa speed.

Upumbavu huu! Kesho akiomba tigo kwa mwanao wa kiume utamlaumu? Mnapiga kelele kila siku za kuwakataa mashoga aafu nyie mnawategeshea Mik.....u yenu eti ndio mtapendwa.!!
 
Miezi 6 ishapita ushapata a new date Jamii Forum best?
 
Tukusaidie nini tena wakati umeshajipa majibu mwenyewe, kwamba unampa muda asipobadilika umeshajipa alternatives (imagine unampa deadline wakati hata hujaongea naye, maybe tatizo ni wewe?) tukusaidie nini tena? Ndoa hujengwa kwa hekima na busara...................... Unaweza kujiona mzuri unatongozwa kila kukicha soon unaachana na mumeo usione hata mmoja 'THE DEVIL YOU KNOW IS BETTER THAN ANGEL YOU DO NOT'
 
kwa hapo yote yanawezekana labda wewe au mumeo ndo anamatatizo.Chamsingi kaeni chini mzungumze.Lazima atakusikiliza naisi hii itaraisisha kutambua tatizo.Kazi itabaki kwako kusolve

Shida dogo hilo acha kufikiria walet yake saa zile mko kwenye shugli .jitume tu bila fikre ya feeza utapata uhondo
 
Ww umekubuhu mumeo anatakiwa kukuongezea dozi kwa kutwa mara 5 si 3 tena maana ugonjwa wako umekuwa sugu.Magenye yakikuzidi tafuta mtaalamu.
 
Jaribu kukaa na mumeo muongee kiurefu sana,ujue unatatizo gani kwake au ana tatizo gani kwako??usithubutu kwenda nje ya ndoa yako mungu atakuhukumu vibaya,muelezee filling zako kwanza kabla ht kuelezea au kutaka ushauri kwenye mitandao,mungu atakusaidia
 
Back
Top Bottom