missa
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 360
- 193
Pole sana mdada, nakushauri jichunguze care yako kwake, je ulivyokuwa unamjali na kumpetipeti kabla hujawa na familia ndo ivo unavyofanya sasa?ilivyokuwa unajikeep smart before u have kids ndo ivo bado uko smart au kuna changes? na je unapata muda wa kutosha even week ends kuwa na mumeo muda wa kutosha kuzungumzia mambo ya mapenzi yenu ikiwemo kukumbushana mambo mliyoyafanya mlipokuwa wapenzi?je unatumia polite language kuzungumza na mume wako au ndo bora liende?
Nimekuuliza maswali kadhaa coz i know wanawake tukipata watoto huwa na tabia ya kujisahau katika baadhi ya vitu, care kubwa inakuwa kwa watoto zaidi jichunguze katika hivyo vitu na kama vp jenga tabia ya kumuomba mumeo mtoke hata out kidogo na familia ili walau awe anapata refreshment ya uchovu anayopata kazini,hii ni njia mojawapo ya kumuweka karibu mumeo na kama mumeo ana nyumba ndogo itakuwa rahisi kwako kujua kama utamuweka karibu zaidi kama ilivyokuwa before marriage, avoid tabia za mazoea mfanye awe anakuona bado mpya kila siku.
Sababu nyingine yawezekana pia kapata mtu wa nje anayemfanyia vitu tofauti vinavyomfanya arudi home kachoka sana,hiyo yaweza kuwa sababu pia mana kuna wanawake wakishika mume wako wanahakikisha wanampa maujuzi ya kufa mtu ambayo wewe huyajui au hujawahi kumpa ivo anakuwa ananogewa na kukusahau mkewe,ki ukweli ubunifu katika mapenzi una matter,jifunze namna tofauti tofauti za kumridhisha mume wako nina imani atarudi katika hali yake na kama kuna watu wanamzuzua out atapunguza route.
Mwisho nakushauri usitafute kidumu cha nje mana "mwanamke mpumbavu.....................kwa mikono yake",jaribu tuliyokushauri japo inaonesha ulishajitafutia ka solution kako, kufanya ivo ni kutaka kukutanisha VVU sebuleni,atakavyovileta mume akigundua unatoka out nae atatafuta na vile utakavyovileta wewe kutoka kwa kidumu chako!!be wise!
Nimekuuliza maswali kadhaa coz i know wanawake tukipata watoto huwa na tabia ya kujisahau katika baadhi ya vitu, care kubwa inakuwa kwa watoto zaidi jichunguze katika hivyo vitu na kama vp jenga tabia ya kumuomba mumeo mtoke hata out kidogo na familia ili walau awe anapata refreshment ya uchovu anayopata kazini,hii ni njia mojawapo ya kumuweka karibu mumeo na kama mumeo ana nyumba ndogo itakuwa rahisi kwako kujua kama utamuweka karibu zaidi kama ilivyokuwa before marriage, avoid tabia za mazoea mfanye awe anakuona bado mpya kila siku.
Sababu nyingine yawezekana pia kapata mtu wa nje anayemfanyia vitu tofauti vinavyomfanya arudi home kachoka sana,hiyo yaweza kuwa sababu pia mana kuna wanawake wakishika mume wako wanahakikisha wanampa maujuzi ya kufa mtu ambayo wewe huyajui au hujawahi kumpa ivo anakuwa ananogewa na kukusahau mkewe,ki ukweli ubunifu katika mapenzi una matter,jifunze namna tofauti tofauti za kumridhisha mume wako nina imani atarudi katika hali yake na kama kuna watu wanamzuzua out atapunguza route.
Mwisho nakushauri usitafute kidumu cha nje mana "mwanamke mpumbavu.....................kwa mikono yake",jaribu tuliyokushauri japo inaonesha ulishajitafutia ka solution kako, kufanya ivo ni kutaka kukutanisha VVU sebuleni,atakavyovileta mume akigundua unatoka out nae atatafuta na vile utakavyovileta wewe kutoka kwa kidumu chako!!be wise!