Kwahiyo akienda Hospitali akikutana na stuation kama hiyo utamfungulia hospital hapo ndani? Akienda dukani akikutana tena na hali kama hiyo utamfungulia duka hapo ndani? kama anafanya kazi sehemu fulani na akakutana na hali kama hiyo utamfungulia ofisi ya peke yake hapo ndani? Akienda shopping kubwa na akikutana na hali kama hiyo utamfungulia Supermarket hapo ndani yenye mfano wa hizi plaza?
Acha longo longo mkuu!
by theway naamini hichi usemacho hapa si kweli bali unajifurahisha nafsi yako tu.
Ukijichunguza vizuri utagunduwa kuna kitu hakipo sawa kwa upande wako. Haya endelea kuifurahisha nafsi yako.
Whatever you think or interpret my comments sir!! Hatujadili yangu hapa tunajadili ya huyo aliyekatazwa kwenda saloon...!!
Nakuonea bure kukwambia una uzito wa kufikiri, nimegundua najadili na mtoto mdogo sana hapa!!
Awali kabisa nilisema, huyo jamaa atakuwa amegundua tatizo la mkewe kwenda saloon!! Je unadhani alipomkataza ni sahihi??
Thus why nikatoa mfano huu kwa nia njema na wengine pia wanaweza kufanya.
Unadhani mi sijui kwamba huko kwote ulikotaja hafiki au hakutani na maswala hayo?? Nilisema hivi yeye mwenyewe alionekana kuchoshwa na anayoyakuta saloon!! Naa mie kama mwanaume ni lazima nipambane kwa nafasi yangu, au ulitaka nimpige marufuku? Hapa kama kuna jambo uliweza kulitatua na kero yake ikaisha ukimwelekeza mtu kuna tatizo?? Au unahisi nimeandika kwa ajili ya kushow?? Mi si wa kihivyo bro, mi ni choka mbaya ila sikubali kushindwa kirahisi! Laki moja tu kuendana mahitaji yake muhimu ya saloo unamfungulia yake hapo home!! Vingine vitakuja kadiri mahitaji yanavyopanuka.
Siku moja kumuita mtaalam akamfanyia jambo unadhani itakugharimu milioni?? Mbona wengi wanataka elfu tano tuu imezidi sana kumi na tano tena anaweza kuja mara moja kwa miezi miwili hadi mitatu!! Mengi keshayajua mwenyewe.
Kikubwa unachotakiwa kujua ni kwamba, mke ni kika kitu! Sio kama hawara au changudoa, na mwenye jukumu la kuhakikisha mke hapati vishawishi vya kusaliti ni wewe mumewe! Kama umeoa utanielewa kwa nini nasema hivi!! Unapaswa kufanya chochote kile mkeo akae kwa amani na utulivu, na pia aridhike kama kiapo ulichokula siku ya ndoa yenu.
Unatakiwa uhakikishe kuwa mkeo akisaliti ni tamaa zake na kishawishi chochote kile!! Na hayo yatawezekana ikiwa likitokea tatizo mnakaa na kusolve na kutafuta suluhu na si kutumia ubabe!!!