Mume: Hakuna kutengeneza nywele

Mume: Hakuna kutengeneza nywele

Kusuka ya elfu tu shida.......huyo unaweza mwambia ishu za lace wig au hata kubond tu weave akakuelewa......?......pole mwanamke mwenzetu kwa kumeza kimeo.........

Hata mimi nimeshangaa sana!...misuko ya Tshs 1000 au 2000 ni hapa Dar au ni huko vijijini? Na kama ni Dar basi kazi ipo.
 
Kwa hiyo maswali yasiulizwe kwa kuogopa tu judgement ya mtu???

Mweeeeeeh

Kwenye ndoa za kiafrika mwanamke unatii kila amri ya mume! huruhusiwi kuuliza swali! Tena hili la kwako ulistahili na kibao cha uso teh teh
 
No, siyo jinga sema approaching yake inaweza haikuwa nzuri!!

Nina miaka zaidi ya kumi kwenye ndoa, mke wangu hajawahi kanyaga saloon!! Ukimuona yupo smart na anabadilisha mitindo ya nywele kila siku na ni yoyote unayofahamu.

Aliacha kwenda saloon baada ya kugundua kuwa kuna wanaume wanawatumia wahudumu wa saloon kama makuwadi!!

So, kila akienda saloon anakuwadiwa kwa nguvu zote!! Na wanampa na mbinu zote, bahati nilishtuka mapema nikambana akanipa full story.

Tangu hapo mke wangu saloon ni big no!! Lengo ni kujaribu kupunguza ile risk ya kuchange tabia kwa ajili ya familia yangu na mimi mwenyewe.

Kama una swali uliza utajibiwa

Inaonekana mke wako hawezi kusema No...na akisema No basi kwa mtu ambae hajampenda au hana kitu mfukoni.

Sasa utamzuia sehemu ngapi? Maana kuna yeye kufanya kazi ofisi fulani,kwenda sokoni,kwenda hospital, kwenda shopping nk. Je hizo sehemu kama nako akitongozwa utamzuia asiende tena? Binafsi naona tatizo siyo wahudumu wa salon bali tatizo liko kwa mkewe.
 
Mwanamke urembo...
Hajui nini Huyo.

image.jpg
Na huwezi kumtenganisha mwanamke na urembo
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    517 KB · Views: 123
  • image.jpg
    image.jpg
    459.7 KB · Views: 113
Mwanamke no pamby katika Dania muache apendeze bwana
 
Unajuaje kama tatizo ni Gardner mwenyewe? utaniambia Gardner ana mtoto, una uthibitisho upi kama Gardner ndiye biological father? Kuna vitu vingine huwaga ni siri za ndani na zinahifadhiwa!

usitoke nje ya mada,mbona unazungumza kama wewe ndio jide?au maswahibu yako na yake yanafanana?
 
hayo ni macho ya nje...kwa macho ya ndani unauhakika alikuwa anamvumilia????

kwa muda waliokaa wote huwezi kunambia hakuna kuvumiliana,na hata reason yakuachana inaweza kuwa ni uvumilivu kufika kikomo baina ya wawili hao
 
Kuna rafiki yangu mme wake alimkataza kusuka au kuweka dawa na mama wa watu akatii akawa ananyoa nywele zake duniani hakuna siri mdogo wa huyu rafiki yangu wkt yuko kwenye drier anashangaa anamuona shemeji yake anaingia saloon na mwanamke mrembo tena anaulizia gharama ni shs ngapi akajibiwa akatoa pesa cash akamkiss kimada wake akamwambia ata mpitia akimaliza! Mdogo mtu kajikausha ndani ya drier then akaamua kurudi tena saloon baadae akadodosa wale wafanyakazi wa saloon wakamwambia huyo baba uwa anamleta huyo mwanamke every saturday na wakampa details zote.

Akaenda kwa dada ake akamuambia kila kitu dadake kupepeleza akajua ukweli akaamua aende saloon na yeye akatengenezwa vizuri mme kurudi jioni anashangaa mke kabadilika akaanza kumuuliza nani kakuruhusu kutengenneza nywele mke akamjibu mbona fulani unamruhusu mpk unamlipia! Akataja jina la kimada huyo mama hakumuuliza tena mme wake kuhusu huyo kimada na alianza kujitengenrxa na kuvaa atakavyo mme alibaki kimya hana cha kuongea maana anaogopa ila aliamua kufuatilia nyendo za mkewe!
So ktk maisha fanya kitu roho inapenda1
 
Kwahiyo huyo mkeo hajuwi kusema NO? Mpaka wewe umfungie ndani asionane na watu?

Tumia akili kidogo tu ya chekechekea, wala usitumie ya msingi na sekondari!!

Kuna kitu kinaitwa ushawishi, nguvu ya ushawishi ni kubwa kuliko ya jeshi unalijua hilo. Ili uwe kuwadi vitombi wanakuwa wameshaijua nguvu yako ya ushawishi!!! Sijui kama ushawahi kuishi na mtu mwenye nguvu ya ushawishi na keshajijua so anitumia vyema??

Sasa hiyo saloon kila weekend akienda linakaa jopo la wamama kadhaa, wanatumia kila hila kumshawishi afanye usaliti. Hivi wewe ukishtukia hapo utafanya au kuchukua hatua gani??

Haina maana kuwa hawezi kusema no, anaendelea na shuguli zake mbali mbali!! Akitaka kusaliti anaweza tu, isipokuwa kama mwanaume ninapoona hatari ni lazima nichukue hatua stahiki kuepusha makubwa mbeleni.

Umeniuliza hivyo kwa sababu nahisi huwajui vizuri watu wanoitwa makuwadi!! Ogopa sana ukisikia mkeo, mpenzi au yoyote anazengewa na kuwadi!!
 
Inaonekana mke wako hawezi kusema No...na akisema No basi kwa mtu ambae hajampenda au hana kitu mfukoni.

Sasa utamzuia sehemu ngapi? Maana kuna yeye kufanya kazi ofisi fulani,kwenda sokoni,kwenda hospital, kwenda shopping nk. Je hizo sehemu kama nako akitongozwa utamzuia asiende tena? Binafsi naona tatizo siyo wahudumu wa salon bali tatizo liko kwa mkewe.

Kuepusha shari siyo mpaka awe hawezi kusema no!! Ye mwenyewe alikereka na hali hiyo thus why alitoa ushirikiano maana angekaa kimya mi ningejuaje ilhali siingii saloon za kike!?

Ila inapotokea yeye mwenyewe amechoshwa na hali hiyo!! Kila saloon anayoingia anakutana na tabia hizo na akaniambia wanaume wa mji huu wanatumia watu wa saloon kama makuwadi!! Na akasema nimehama saloon kadhaa hali ni hiyo hiyo unadhani ningemfanyaje?? Nimlazimishe aendelee kwenda saloon au nimtafutie alternative?

Ndo mana nikasema huyo jamaa aproaching yake haikuwa nzuri ila ni kweli kuna tatizo atakuwa ameliona. Aende pole pole atasolve tatizo na mkewe akaendelea kujipodoa na kupendeza kila siku.

Nilichofanya ni kumfungulia mini saloon yake home na kumtafutia mtaalam inapobidi ila mengi anafanya mwenyewe!! Na nilipoamua kuvunja hiyo cheni haina maana hatongozwi ila siwezi kumuacha nimpendae aingie kwenye kitanzi ambacho kikimnasa ndo amesepa!! Na huo ndiyo uanaume, unapoona hatari ya kuibiwa basi pambana kiume siyo mpaka uibiwe ubaki unalalama

Hivi, makuwadi unawajua vizuri?? Nguvu ya ushawishi ya makuwadi unaijua vizuri?? Nahisi huijui, mi naijua vyema!! Ukisikia fulani ni kuwadi na yupo close na patner wako!! Hata kama unamuamini vipi pambana kuivunja hiyo cheni, kuwadi ni zaidi ya anayeomba kura hahahaaaaa!!
 
Habari wanaume mje mtujuze.

Mume anapomzuia mkewe kwenda kusuka au kutengeneza nywele kwa mafundi au saloon au kuja fundi au mtu wasaloon anamaasha nini?

Wakati anamuoa kamkuta na nywele safi za asili gharama ya kusuka kwa wiki anaweza tumia 1000 au 2000some time mwanamke anajigharamia.

Best yangu ana wakati mgumu wajuzi wa mambo wasomi wa mambo ya ndoa vitabu vya mungu vinasemaje?

Na huyu mwanaume anatatizo gani?

Karibuni nisiwachoshe

ukiona hivyo kuna jambo, wanaume hatuna tabia hiyo....parhaps anajaribu kumprotect mke wake
 
Mi ntamkataza tu kushonea nywele na kuvaa wigi. Otherwise mengine afanye.
 
Kuepusha shari siyo mpaka awe hawezi kusema no!! Ye mwenyewe alikereka na hali hiyo thus why alitoa ushirikiano maana angekaa kimya mi ningejuaje ilhali siingii saloon za kike!?

Ila inapotokea yeye mwenyewe amechoshwa na hali hiyo!! Kila saloon anayoingia anakutana na tabia hizo na akaniambia wanaume wa mji huu wanatumia watu wa saloon kama makuwadi!! Na akasema nimehama saloon kadhaa hali ni hiyo hiyo unadhani ningemfanyaje?? Nimlazimishe aendelee kwenda saloon au nimtafutie alternative?

Ndo mana nikasema huyo jamaa aproaching yake haikuwa nzuri ila ni kweli kuna tatizo atakuwa ameliona. Aende pole pole atasolve tatizo na mkewe akaendelea kujipodoa na kupendeza kila siku.

Nilichofanya ni kumfungulia mini saloon yake home na kumtafutia mtaalam inapobidi ila mengi anafanya mwenyewe!! Na nilipoamua kuvunja hiyo cheni haina maana hatongozwi ila siwezi kumuacha nimpendae aingie kwenye kitanzi ambacho kikimnasa ndo amesepa!! Na huo ndiyo uanaume, unapoona hatari ya kuibiwa basi pambana kiume siyo mpaka uibiwe ubaki unalalama


Acha kamba zako mkuu!!…huyo mke wako ni mzuri kiasi gani hadi kufikia kila salon anayokwenda anatongozwa? angalau basi ata ungesema baadhi ya salon…lakini wewe unasema salon zote? Nooo i cant buy that.

Yaani kila salon ya kike anayokwenda anatongozwa yeye!!? Eti nimemfungulia salon nyumbani…are you sure?
Nisije nikakuuliza maswali hapa alafu ukala chocho.

 
Back
Top Bottom