Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,732
- 750
Naangalia TBC 1 hapa,naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi philipo mulugo,amekanusha maneno ya mchome ya kuongeza daraja la 5 na kusema daraja hilo halipo na sifuri ipo pale pale. Source; TBC 1
Huyu aliyesema Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Zanzibar ndo tumwani? wakati kuna press release ya wizara inasema yote hayo?