Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

Mulugo: Division Five haipo na sifuri ipo palepale

Mulugo naye kwa mara ya kwanza kaongea pointi, hongera mzee wa tanzania imetokana na visiwa vya zimbabwe na tanganyika
 
Huyu schoolmate wangu huwa mropokaji kama mbunge wetu lema. Any way ziro na div 5 yale yale ila ni majna tu yamebadlika!!
 
Akijibu swali bungeni leo, Mulugo amedai ni mkanganyiko tu, bali division ni zile zile I,II,III, IV na 0.
 
mh mulugo leo akiwa bungeni ameleta mkanganyiko kwa taarifa yake pale alipo kuwa akijibu swali la nyongeza la mbunge maige kwa kusema kuwa hakuna division v kama taarifa zilizopo kwenye vyombo vya habari vilivyoripoti ila kuna division zero ....
 
wajinga huko juu ni wengi kuliko nilivyodhania!! puuuuuuuuuuuuu!

salama dada cacico?
Mic u.
BACK TO TOPIC
Collective responsibility umekuwa msamiati mgumu kwa serikali hii.
Imekuwa family ya panya,kila mmoja ana ndevu!
Nadhan ishu si iitwe div zero au V,ila zle pts 30 dv three ndio zinanichosha kbs!
Pts 46 div IV,Uuh!
 
Last edited by a moderator:
wajinga huko juu ni wengi kuliko nilivyodhania!! puuuuuuuuuuuuu!

salama dada cacico?
Mic u.
BACK TO TOPIC
Collective responsibility umekuwa msamiati mgumu kwa serikali hii.
Imekuwa family ya panya,kila mmoja ana ndevu!
Nadhan ishu si iitwe div zero au V,ila zle pts 30 dv three ndio zinanichosha kbs!
Pts 46 div IV,Uuh!
 
Last edited by a moderator:
Nimemsikia naibu waziri wa elimu Mulugo, akisema kuwa zamani ZERO ilianzia 0 hadi 39, kuna ukweli hapa 39 kuwa 0? au hajui grade ya 0 inaishia marks zipi, mimi najua 39 iko daraja D na si 0 kama kuna mabadiliko tujulishane.
 
Elim imekuwa kama mchezo wa kitoto vile
 
Hiv hii wizara vp. Kila anaejiskia anaongea apendavyo? Wizara nnyet kama hii unaweka mambulula? Jaman tz yangu hii
 
Supplimentary ni somo kama somo lingine lazima kufaulu@Mulugo

Na haiwezekani ww unasumbuka miaka yote hii kupandishwa daraja ukiwa upo palepale daraja C,nipe jina lako nikirudi ofisini nitahakikisha daraja lako la mshahara linapanda mpaka A.
 
dah inashangaza sana wizara moja majibu tofauti, tuamini lipi?
 
afadhali maana kwa div 5
walichemsha,mulugo kaongea
point khaaa!!
 
Wadau tangazo la Wizara hilo hapo angalieni nani mkweli nani muongo

Duuuh, nimepitia hilo tangazo lao yaani eti kama wangetumia viwango hivyo vipya kwenye matokeo ya 2012 ufaulu ungepanda kutoka 43% hadi 93%.Ama kweli hii ni nchi ya miujiza ikizingatiwa kuwa hata hiyo 43% ilipatikana kwa njia ya mazingaombwe ambapo awali ilikuwa ufaulu wa 35%..

Ama kweli TZ ni nchi yamiujiza
 
Back
Top Bottom