na yeye afanye mtihani na hawa madogo am sure atapata dv 5!
Kuna kufaulu na kufeli. Ndani ya kufaulu ndiko unakuwa na 'Divisions - 1,2,3,4 n.k - kulingana na viwango vya nchi husika. Kufeli ni hakuna 'Divisions'. Call a spade a spade.
Mkuu kwa mpango wa sasa hakuna ya kusindwa,dvs 5 ni ufaulu wa kiwango cha chini.
Hakuna anayeshindwa au kufeli!..
Mizengo pinda janga la taifa.Mabata wadogo wadogo wanaogelea kaktika shamba zuri la elimu la Tanzania. Ni nchi pekee ambayo huwezi kutofautisha profesa na aliyeishia darasa la nhuune. Tunamsubiria Pinda na yeye aropoke lake. Tuendelee kusubiri tuone Alhamisi akitwangwa swali kuhusu hilo atajibu nn?
wajinga huko juu ni wengi kuliko nilivyodhania!! puuuuuuuuuuuuu!
Hii system ianzishwe hata vyuo vikuuNadhani kiwango cha ufaulu ni kuchaguliwa kuendelea na masomo ya juu kama credits zinaruhusu ndio utaratibu unaotakiwa, vinginevyo mpango wa elimu ulivyobuniwa sasa ni bora zaidi kuwa na kifuta jacho cha wanafunzi kuwepo shuleni vinginevyo ni maumivu tupu wakati mtoto amahenya miaka minne hata mahudhurio tu ni sifuri wakati alikuwepo shuleni muda wote.
Mafanikio ya mwanafunzi shuleni si zile alama za masomo tu, kuna mengi ikiwemo ukomavu kiakili, kiutambuzi nk, sisi tunaona alama za asilimia tu.
Mabata wadogo wadogo wanaogelea kaktika shamba zuri la elimu la Tanzania. Ni nchi pekee ambayo huwezi kutofautisha profesa na aliyeishia darasa la nne. Tunamsubiria Pinda na yeye aropoke lake. Tuendelee kusubiri tuone Alhamisi akitwangwa swali kuhusu hilo atajibu nn?
Haiwezekani mwanafunzi aliyesoma miaka minne atoke na sifuri kana kwamba hata darasani hakuhudhuria hicho ndicho nilichokuwa nalalamikia mara zote kwamba uwepo uwiano wa mahudhurio darasani, hali kadhalika wastani wa majaribio na homeworks ndipo yajumlishwe na final exam. Kwa mantiki hiyo hakuna atayakepata "O" kwa vile amehudhuria darasa. Tatizo hatuelewi kinagaubaga, kwangu wizara ya elimu imefanya vema kabisa.
Mzazi anaelewa uchungu wa mtoto kumsomesha miaka yote hiyo hata mahudhurio ambayo nayo ni sehemu ya nidhamu ya shule yasimletee credit mtoto si vema kabisa.
Mbaya zaidi mitihani inayotungwa zaidi ni ya kuwakomoa watoto si ya kiwango chao, hilo lilishazungumzwa hapo nyuma.
Haiwezekani mwanafunzi aliyesoma miaka minne atoke na sifuri kana kwamba hata darasani hakuhudhuria hicho ndicho nilichokuwa nalalamikia mara zote kwamba uwepo uwiano wa mahudhurio darasani, hali kadhalika wastani wa majaribio na homeworks ndipo yajumlishwe na final exam. Kwa mantiki hiyo hakuna atayakepata "O" kwa vile amehudhuria darasa. Tatizo hatuelewi kinagaubaga, kwangu wizara ya elimu imefanya vema kabisa.
Mzazi anaelewa uchungu wa mtoto kumsomesha miaka yote hiyo hata mahudhurio ambayo nayo ni sehemu ya nidhamu ya shule yasimletee credit mtoto si vema kabisa.
Mbaya zaidi mitihani inayotungwa zaidi ni ya kuwakomoa watoto si ya kiwango chao, hilo lilishazungumzwa hapo nyuma.
## #hata mtoto asome miaka kumi kama ni mzembe ni mzembe tu & no alternative,hv hapa pakizembewa taifa litakuwaje by future?
waziri mulugo muda huu yupo ndani ya radio one akiongelea kuhusu mitihani
Hivi huyu Mulugo alipataga divisheni gani?