mimi43
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 411
- 422
- Thread starter
- #121
Iv wadau kuna mtu anayemjua raia yeyote aliyepata division II au ana GPA chini ya 4.0 na amechaguliwa udom mzumbe sua ifm au udsm.
Mimi ninaona rai wawili nawajua mmoja anayo division . 7 PCB huku huku JF amekosa chuo hadi sasa. Kuna mwingine CBG anayo division. 9
Kuna raia kibao wanazo GPA za kuanzia 4.0 hadi 4.7 na wametemwa round zote.
Kama unajua mtu ambaye hana izo sifa ainishwa hapo juu na amepata chuo tujuze tujue kama ni Bahati inawabeba watu au nini
Asante
Mimi ninaona rai wawili nawajua mmoja anayo division . 7 PCB huku huku JF amekosa chuo hadi sasa. Kuna mwingine CBG anayo division. 9
Kuna raia kibao wanazo GPA za kuanzia 4.0 hadi 4.7 na wametemwa round zote.
Kama unajua mtu ambaye hana izo sifa ainishwa hapo juu na amepata chuo tujuze tujue kama ni Bahati inawabeba watu au nini
Asante