Muktasari wa Nchi Zilizokomboa Mataifa Yao Kupitia Jitihada za Makanisa, Misikiti na Nyumba za Ibada

Muktasari wa Nchi Zilizokomboa Mataifa Yao Kupitia Jitihada za Makanisa, Misikiti na Nyumba za Ibada

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
4,770
Reaction score
10,665
Katika baadhi ya mataifa, makanisa, misikiti, na nyumba nyingine za ibada zilichukua nafasi muhimu katika kupigania uhuru na haki, kwa kutoa uongozi na kuhamasisha umoja wa kitaifa, na kusimama dhidi ya dhuluma zinazofanywa na watawala mbalimbali.

Hapa chini ni muktasari wa nchi saba ambazo zilikomboa mataifa yao kwa msaada wa taasisi za kidini:

1. Poland
Kanisa Katoliki

Kanisa liliongoza upinzani dhidi ya utawala wa kikomunisti, likisaidia vuguvugu la sauti ya wengi na Uongozi wa Papa John Paul II uliwapa watu ujasiri wa kudai uhuru wao wa kisiasa na za usawa kwenye chaguzi.

2. Sudan Kusini
Makanisa ya Kikristo
Makanisa yalikuwa mstari wa mbele katika kusaidia waathirika wa vita, kueneza ujumbe wa matumaini, na kushinikiza jamii ya kimataifa kuunga mkono uhuru wa Sudan Kusini kutoka Kaskazini mwaka 2011.

3. Haiti
Makanisa ya Kikristo na ibada za Vodou
Wakati wa mapinduzi dhidi ya ukoloni wa Ufaransa, dini ilitumika kama chombo cha kuhamasisha wananchi kushikamana, wakiongozwa na viongozi wa kidini waliounganisha imani na mapambano.

4. India
Mahekalu ya Kihindu, Misikiti, Makanisa

Viongozi wa kidini walisaidia kuhamasisha watu kupitia mafundisho ya amani, umoja, na upinzani wa kutotumia nguvu.

Mahatma Gandhi aliongoza vuguvugu la ukombozi kwa misingi ya maadili ya dini.

5. Iran
Misikiti ya Kishia
Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 yaliunganishwa na imani ya kidini, ambapo misikiti ilitumika kama vituo vya harakati na viongozi wa kidini waliongoza mapambano dhidi ya utawala wa kifalme wa Shah.

6. Afrika Kusini
Makanisa
Viongozi wa dini kama Askofu Desmond Tutu waliongoza harakati za kupinga ubaguzi wa rangi (apartheid), wakitumia mimbari za makanisa kama majukwaa ya kupaza sauti dhidi ya dhuluma na ikaleta matokeo chanya.

7. Algeria
Misikiti
Wakati wa mapambano dhidi ya ukoloni wa Ufaransa, Uislamu ulikuwa chanzo cha mshikamano na misikiti ilitumika kueneza ujumbe wa ukombozi, huku viongozi wa kidini wakihamasisha mapambano ya kitaifa kupitia mimbari za misikiti . Hii ilipelekea watu kuingia mtaan na kumtoa Mfaransa. Uhuru wa kisiasa hauombwi…It is demanded….. NIPEE.

Kupitia DEMAND, ndio kunakuwa na heshima kati ya watawala na watawaliwa….lakini pia kunakuwa na heshima kati ya vyama na vyama. Bila kuheshimiana kisiasa… hatutotoboa kama Taifa…tutaendelea kuona MINORITY wakila mema ya nchi na kunenepeana thinking they are SMART than others

As a COUNTRY, we must stand up and demand our political Freedom
It is now or NEVER … 👎

Mwisho, ukimsikia mtu anasema viongozi wa dini msiingie kwenye SIASA …, jua huyo ni mtu mpumbavu asiyekuwa na akili au ni befeneficiary wa mfumo dhalimu. Full stop 🛑


Dr Megalodon Mushi. PhD Fellow
University of Ottawa
Canada
 
Katika baadhi ya mataifa, makanisa, misikiti, na nyumba nyingine za ibada zilichukua nafasi muhimu katika kupigania uhuru na haki, kwa kutoa uongozi na kuhamasisha umoja wa kitaifa, na kusimama dhidi ya dhuluma zinazofanywa na watawala mbalimbali.

Hapa chini ni muktasari wa nchi saba ambazo zilikomboa mataifa yao kwa msaada wa taasisi za kidini:

1. Poland
Kanisa Katoliki

Kanisa liliongoza upinzani dhidi ya utawala wa kikomunisti, likisaidia vuguvugu la sauti ya wengi na Uongozi wa Papa John Paul II uliwapa watu ujasiri wa kudai uhuru wao wa kisiasa na za usawa kwenye chaguzi.

2. Sudan Kusini
Makanisa ya Kikristo
Makanisa yalikuwa mstari wa mbele katika kusaidia waathirika wa vita, kueneza ujumbe wa matumaini, na kushinikiza jamii ya kimataifa kuunga mkono uhuru wa Sudan Kusini kutoka Kaskazini mwaka 2011.

3. Haiti
Makanisa ya Kikristo na ibada za Vodou
Wakati wa mapinduzi dhidi ya ukoloni wa Ufaransa, dini ilitumika kama chombo cha kuhamasisha wananchi kushikamana, wakiongozwa na viongozi wa kidini waliounganisha imani na mapambano.

4. India
Mahekalu ya Kihindu, Misikiti, Makanisa

Viongozi wa kidini walisaidia kuhamasisha watu kupitia mafundisho ya amani, umoja, na upinzani wa kutotumia nguvu.

Mahatma Gandhi aliongoza vuguvugu la ukombozi kwa misingi ya maadili ya dini.

5. Iran
Misikiti ya Kishia
Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 yaliunganishwa na imani ya kidini, ambapo misikiti ilitumika kama vituo vya harakati na viongozi wa kidini waliongoza mapambano dhidi ya utawala wa kifalme wa Shah.

6. Afrika Kusini
Makanisa
Viongozi wa dini kama Askofu Desmond Tutu waliongoza harakati za kupinga ubaguzi wa rangi (apartheid), wakitumia mimbari za makanisa kama majukwaa ya kupaza sauti dhidi ya dhuluma na ikaleta matokeo chanya.

7. Algeria
Misikiti
Wakati wa mapambano dhidi ya ukoloni wa Ufaransa, Uislamu ulikuwa chanzo cha mshikamano na misikiti ilitumika kueneza ujumbe wa ukombozi, huku viongozi wa kidini wakihamasisha mapambano ya kitaifa kupitia mimbari za misikiti . Hii ilipelekea watu kuingia mtaan na kumtoa Mfaransa. Uhuru wa kisiasa hauombwi…It is demanded….. NIPEE.

Mwisho, ukimsikia mtu anasema viongozi wa dini msiingie kwenye SIASA …, jua huyo ni mtu mpumbavu asiyekuwa na akili au ni befeneficiary wa mfumo dhalimu.

Dini na taasisi za kidini zimekuwa zikiwapa watu dira na msukumo wa kupinga ukandamizaji sambamba na kudai haki za kisiasa.


Dr Megalodon Mushi. PhD Fellow
University of Ottawa
Canada
Gentleman,
sasa wabaguzi wa kidini si mkusanyane muende huko ulikopaorodhesha mkasaidie madhehebu ya dini zenu kutawala, na muiache Tanzania isiyofungamana na dini yoyote isonge mbele kisiasa, kijamii na kiuchmi na wananchi wake wachapa kazi wasiohitaji ubaguzi wala migawanyiko ya kidini?🐒
 
Katika historia ya harakati za ukombozi duniani, dini imekuwa na mchango mkubwa si tu kiroho bali pia kijamii na kisiasa.

Aidha, Katika baadhi ya mataifa, makanisa, misikiti, na nyumba nyingine za ibada zilichukua nafasi muhimu katika kupigania uhuru na haki, kwa kutoa uongozi na kuhamasisha umoja wa kitaifa, na kusimama dhidi ya dhuluma zinazofanywa na watawala mbalimbali.

Hapa chini ni muktasari wa nchi saba ambazo zilikomboa mataifa yao kwa msaada wa taasisi za kidini:

1. Poland
Kanisa Katoliki

Kanisa liliongoza upinzani dhidi ya utawala wa kikomunisti, likisaidia vuguvugu la sauti ya wengi na Uongozi wa Papa John Paul II uliwapa watu ujasiri wa kudai uhuru wao wa kisiasa na za usawa kwenye chaguzi.

2. Sudan Kusini
Makanisa ya Kikristo
Makanisa yalikuwa mstari wa mbele katika kusaidia waathirika wa vita, kueneza ujumbe wa matumaini, na kushinikiza jamii ya kimataifa kuunga mkono uhuru wa Sudan Kusini kutoka Kaskazini mwaka 2011.

3. Haiti
Makanisa ya Kikristo na ibada za Vodou
Wakati wa mapinduzi dhidi ya ukoloni wa Ufaransa, dini ilitumika kama chombo cha kuhamasisha wananchi kushikamana, wakiongozwa na viongozi wa kidini waliounganisha imani na mapambano.

4. India
Mahekalu ya Kihindu, Misikiti, Makanisa

Viongozi wa kidini walisaidia kuhamasisha watu kupitia mafundisho ya amani, umoja, na upinzani wa kutotumia nguvu.

Mahatma Gandhi aliongoza vuguvugu la ukombozi kwa misingi ya maadili ya dini.

5. Iran
Misikiti ya Kishia
Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 yaliunganishwa na imani ya kidini, ambapo misikiti ilitumika kama vituo vya harakati na viongozi wa kidini waliongoza mapambano dhidi ya utawala wa kifalme wa Shah.

6. Afrika Kusini
Makanisa
Viongozi wa dini kama Askofu Desmond Tutu waliongoza harakati za kupinga ubaguzi wa rangi (apartheid), wakitumia mimbari za makanisa kama majukwaa ya kupaza sauti dhidi ya dhuluma na ikaleta matokeo chanya.

7. Algeria
Misikiti
Wakati wa mapambano dhidi ya ukoloni wa Ufaransa, Uislamu ulikuwa chanzo cha mshikamano na misikiti ilitumika kueneza ujumbe wa ukombozi, huku viongozi wa kidini wakihamasisha mapambano ya kitaifa kupitia mimbari za misikiti . Hii ilipelekea watu kuingia mtaan na kumtoa Mfaransa. Uhuru wa kisiasa hauombwi…It is demanded….. NIPEE.

Mwisho, ukimsikia mtu anasema viongozi wa dini msiingie kwenye SIASA …, jua huyo ni mtu mpumbavu asiyekuwa na akili au ni befeneficiary wa mfumo dhalimu.

Dini na taasisi za kidini zimekuwa zikiwapa watu dira na msukumo wa kupinga ukandamizaji sambamba na kudai haki za kisiasa.


Dr Megalodon Mushi. PhD Fellow
University of Ottawa
Canada


Dr. Ujumbe umeuchamua kwa mifano halisi na umetufika kwa jamii yetu. Wale wahuni wanaopinga hiki kilio ni miongoni mwa waouvu wanaonufaika na huu mfumo dhalimu
 

Attachments

  • Facebook video.mp4
    6.3 MB
Gentleman,
sasa wabaguzi wa kidini si mkusanyane muende huko ulikopaorodhesha mkasaidie madhehebu ya dini zenu kutawala, na muiache Tanzania isiyofungamana na dini yoyote isonge mbele kisiasa, kijamii na kiuchmi na wananchi wake wachapa kazi wasiohitaji ubaguzi wala migawanyiko ya kidini?🐒
Unfortunately, hujawahi kuwa SMART . Kuna namna umechagua maisha yako … I respect that
 
Unfortunately, hujawahi kuwa SMART . Kuna namna umechagua maisha yako … I respect that
mbona weo kasongo?

huna point ispokua mihemko tupu na wewe ni smart?
hiyo si completely nonsense kasongo?🐒
 
Katika baadhi ya mataifa, makanisa, misikiti, na nyumba nyingine za ibada zilichukua nafasi muhimu katika kupigania uhuru na haki, kwa kutoa uongozi na kuhamasisha umoja wa kitaifa, na kusimama dhidi ya dhuluma zinazofanywa na watawala mbalimbali.

Hapa chini ni muktasari wa nchi saba ambazo zilikomboa mataifa yao kwa msaada wa taasisi za kidini:

1. Poland
Kanisa Katoliki

Kanisa liliongoza upinzani dhidi ya utawala wa kikomunisti, likisaidia vuguvugu la sauti ya wengi na Uongozi wa Papa John Paul II uliwapa watu ujasiri wa kudai uhuru wao wa kisiasa na za usawa kwenye chaguzi.

2. Sudan Kusini
Makanisa ya Kikristo
Makanisa yalikuwa mstari wa mbele katika kusaidia waathirika wa vita, kueneza ujumbe wa matumaini, na kushinikiza jamii ya kimataifa kuunga mkono uhuru wa Sudan Kusini kutoka Kaskazini mwaka 2011.

3. Haiti
Makanisa ya Kikristo na ibada za Vodou
Wakati wa mapinduzi dhidi ya ukoloni wa Ufaransa, dini ilitumika kama chombo cha kuhamasisha wananchi kushikamana, wakiongozwa na viongozi wa kidini waliounganisha imani na mapambano.

4. India
Mahekalu ya Kihindu, Misikiti, Makanisa

Viongozi wa kidini walisaidia kuhamasisha watu kupitia mafundisho ya amani, umoja, na upinzani wa kutotumia nguvu.

Mahatma Gandhi aliongoza vuguvugu la ukombozi kwa misingi ya maadili ya dini.

5. Iran
Misikiti ya Kishia
Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 yaliunganishwa na imani ya kidini, ambapo misikiti ilitumika kama vituo vya harakati na viongozi wa kidini waliongoza mapambano dhidi ya utawala wa kifalme wa Shah.

6. Afrika Kusini
Makanisa
Viongozi wa dini kama Askofu Desmond Tutu waliongoza harakati za kupinga ubaguzi wa rangi (apartheid), wakitumia mimbari za makanisa kama majukwaa ya kupaza sauti dhidi ya dhuluma na ikaleta matokeo chanya.

7. Algeria
Misikiti
Wakati wa mapambano dhidi ya ukoloni wa Ufaransa, Uislamu ulikuwa chanzo cha mshikamano na misikiti ilitumika kueneza ujumbe wa ukombozi, huku viongozi wa kidini wakihamasisha mapambano ya kitaifa kupitia mimbari za misikiti . Hii ilipelekea watu kuingia mtaan na kumtoa Mfaransa. Uhuru wa kisiasa hauombwi…It is demanded….. NIPEE.

Kupitia DEMAND, ndio kunakuwa na heshima kati ya watawala na watawaliwa….lakini pia kunakuwa na heshima kati ya vyama na vyama. Bila kuheshimiana kisiasa… hatutotoboa kama Taifa…tutaendelea kuona MINORITY wakila mema ya nchi na kunenepeana thinking they are SMART than others

As a COUNTRY, we must stand up and demand our political Freedom
It is now or NEVER … 👎

Mwisho, ukimsikia mtu anasema viongozi wa dini msiingie kwenye SIASA …, jua huyo ni mtu mpumbavu asiyekuwa na akili au ni befeneficiary wa mfumo dhalimu. Full stop 🛑


Dr Megalodon Mushi. PhD Fellow
University of Ottawa
Canada
Kwenye dini (ukristo) hasa za Afrika kuna mawili maana nyingi ziliingia kwa mgongo wa ukoloni au biashara toka kwa mwarabu, kuna madhehebu ambayo ni Afrocentric hawapatani na misingi ya kanisa la kikoloni/ influence za waarabu, .....kuna makanisa yenye mkono wa mkoloni (puppets) ndo maana jamaa hata kwenye somo la historia waliwekwa kwenye ma agent wa ukoloni.........acha tujionee mtanange nani yupo na wakoloni na nani yupo na wazawa
 
Kwenye dini hasa za Afrika kuna mawili maana nyingi ziliingia kwa mgongo wa ukoloni, kuna madhehebu ambayo ni Afrocentric hawapatani na misingi ya kanisa la kikoloni na kuna makanisa yenye mkono wa mkoloni (puppets) ndo maana jamaa hata kwenye somo la historia waliwekwa kwenye ma agent wa ukoloni.........acha tujionee mtanange nani yupo na wakoloni na nani yupo na wazawa
Okay 👍🏿
 
Usiumie….. kutokuwa smart sio tusi….. umechagua ujinga….. hilo ni tatizo lako sio langu
relax bas gentleman,
mihemko na makasiriko si mzigo sana kila mahali umeng'ang'ana nao tu si unajichosha sana gentleman 🐒
 
Mwisho, ukimsikia mtu anasema viongozi wa dini msiingie kwenye SIASA …, jua huyo ni mtu mpumbavu asiyekuwa na akili au ni befeneficiary wa mfumo dhalimu. Full stop 🛑
Tanzania
Kanisa Karoriki

Hutaki nenda kajinyonge km Yuda
 
Dr. Ujumbe umeuchamua kwa mifano halisi na umetufika kwa jamii yetu. Wale wahuni wanaopinga hiki kilio ni miongoni mwa waouvu wanaonufaika na huu mfumo dhalimu
Safi sana. Huyu ndiyo askofu kwa maana ya askofu. Amepita kwenye mistari ya no reforms no election.
 
Safi sana. Huyu ndiyo askofu kwa maana ya askofu. Amepita kwenye mistari ya no reforms no election.
Haki Haki Haki

Waambie wale Chama Cha Mboga waache Wizi watende haki za Mwizi 40 ikifika 41 anapigwa kiberiti tu na mchanganyo wa Petrol
 
relax bas gentleman,
mihemko na makasiriko si mzigo sana kila mahali umeng'ang'ana nao tu si unajichosha sana gentleman 🐒
Neno MIHEMKO ndio defensive mechanism yako? 🤣
 
Back
Top Bottom