wanaume 9 waliojifanya wanawake inamaana walitaka ndoa ya jinsia moja?........lakini hapa kuna maneno haya........''.waliofuatilia thread ya msingi wanajua sababu'',kwa vile .......sijafuatlia busara ni kuuchuna tu.
hao 9 wanaume walioapply walitaka ndoa ya jinsia moja? kuna maneno........'' waliofuatilia thread wanajua sababu.....aaaaaah ,mimi sijafuatilia bora niuchune.
i hope mtanialika,will be there for real,ingawa ni hatua.mkuu, zile banki zimeishakuwa historia........... binti mzuri kama huyu nimpoteze shauri ya bangi??????????/............ hata siku moja mkuu nimeishachange..........
mkuu babu kwa heshima ya mchumba wangu naomba isamehe........... truly unconditionally............
asante shem.......... nimeishachange mbona? tena sfari hii nimebadilika peranently...........
mkuu tunaomba pia utuombee wewe na familia yako yote tufikie malengo yetu as soon as possible...............
wala hakuna shaka mkuu, tumependana haswaaaaaaaaa............... unajua wengine wanadhani tunafanya mzaha......... time will tell............... God has endorsed our plan.............
i hope mtanialika,will be there for real,ingawa ni hatua.
Wow,umempata Pearl hongera sana.ur very luck.Mmeshaonana ana kwa ana?
sasa hapo ndo unakosea! huwa hatubadiliki ng'o
__________________
Love thy neighbor, just don't get caught.
kwenye kubadirika ndio issue!!! bibie ajitayarishe kama kuna mambo ya kubadirishwa kuna uwezekano yakabaki vivyo hivyo.
Haya sisi tunawatakia maisha mema, ila KUBADIRIKA MMMMMHHHH!!!
Akili na Pearl sasa nyie mnaanza ku date au ndio Ndoa... nijulisheni manake nianze kutafute nguo ya kuvaa harusini...
Na mimi usinisahau mkuu. Katika shortlist yako naamini kuna aliyekamata namba mbili. Hebu do the needful uni PM jina lake na wasifu wake. Unaweza kupata bestman na matron toka humuhumu JF.sure mkuu, huwezi kusahaulika.............. wewe tena!!!!! you played a very important role in this new achievement...................
Na mimi usinisahau mkuu. Katika shortlist yako naamini kuna aliyekamata namba mbili. Hebu do the needful uni PM jina lake na wasifu wake. Unaweza kupata bestman na matron toka humuhumu JF.
Hongera AK can't say more today !
Eeh kumbe nimepitwa na mengi... kweli yametimia! Hongereni sana
Annina