Mukazi Wange Search: Yametimiahaya hapa matokeo kamili

__________________
PEARL HUYO NDIO MUMEO MTARAJIWA!KAZI UNAYO

jamani wivu nao ni kaazi kwelikweli............... umeona hiyo ndo kete ya maaanaaa...........!!!!!!!!!!!! kajinyonge nilishawashauri wote a type yako................
 
Usipate tabu bana c unajua walisema "if you knw your history....u shud knw wea ur cming frm"
mm pia si malaika amesema kile alichokifanya na alichokipenda mbn kuna wengi tu wangesema "mshikaji alikuwa na dem ananuka kikwapa"kasema ukweli wake na kila jambo lina history sina kazi kama unavyodhani but nadhani kuna watu watakuwa na kazi ya kujua maendeleo yetu.
Akili Kichwani
user_online.gif

Akili Kichwani has no status.
JF Senior Expert Member

red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png

green.png

green_right.png
Join Date: Thu Jan 2010
Posts: 626
Thanks: 342
Thanked 313 Times in 183 Posts
Rep Power: 22
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Harufu ya Kikwapa
jamani bwabwa is right............. haya mambo ni mtu na mtu............. mnaijua harufu ya watu wazima ambayo hata akioga bado unaisikia?????????? nadhani ndiyo anayoiongelea.............. niliwahi kuwa na uhusiano na binti mmoja mwaka 96 alikuwa na harufu kali sana hata akioga namna gani haiishi hata akipiga pafyum, ukmkumbatia unaisikia................ loh, nilitokea kuipenda sana............... ukichanganya na ujana wangu wakati ule........... ilikuwa inanipa wazimu kabisaaaaaaaaaaaaa.....................
__________________
PEARL HUYO NDIO MUMEO MTARAJIWA!KAZI UNAYO
 
Usipate tabu bana c unajua walisema "if you knw your history....u shud knw wea ur cming frm"
mm pia si malaika amesema kile alichokifanya na alichokipenda mbn kuna wengi tu wangesema "mshikaji alikuwa na dem ananuka kikwapa"kasema ukweli wake na kila jambo lina history sina kazi kama unavyodhani but nadhani kuna watu watakuwa na kazi ya kujua maendeleo yetu.
ok thats good of you,he has to be proud to get you,wish you two good life,lini michango tuandae?
 
si utani balantanda vp maana kuna siku mlikua mnagongana mara kwa mara ilikuaje.

we are doing just fine, yale yalikuwa madogo tuliyamaliza.....migongano ya kawaida tu kwenye maisha!!!
he is the treasure of my heart......I thank God for giving me such a wonderful man!!
 
we are doing just fine, yale yalikuwa madogo tuliyamaliza.....migongano ya kawaida tu kwenye maisha!!!
he is the treasure of my heart......I thank God for giving me such a wonderful man!!
yaah thats good,i think nayeye anafikiria hivyohivyo,nafurahia watu wakipendana kwa dhati.
 
yaah thats good,i think nayeye anafikiria hivyohivyo,nafurahia watu wakipendana kwa dhati.

are you sure?????????????//..............donge litakuua babu..................... singles wanisha JF na wewe bado unarukia miti isiyona matunda..............
 
are you sure?????????????//..............donge litakuua babu..................... singles wanisha JF na wewe bado unarukia miti isiyona matunda..............
ha haa,kweli tena,lakini nawewe punguza bangi ushapata mwenza mzuri,mi nikikufuma mahali unabip bip namtonya pearl.
 
Akili anamaanisha alichokisema bwana,babu atakuwa nanapenda kuona watu wanapatana plz usisema vby si ulipromis utachange?Mwambie babu samahani dia plz"babu samahani kwa niamba ya akili
are you sure?????????????//..............donge litakuua babu..................... singles wanisha JF na wewe bado unarukia miti isiyona matunda..............
 
ha haa,kweli tena,lakini nawewe punguza bangi ushapata mwenza mzuri,mi nikikufuma mahali unabip bip namtonya pearl.

wewe ndo mwenyewe sasa!!! wala usisite tena uniambie hata mie tukamfume laivu
hahaaa shemeji AK don worry bana haya mazungumzo baada ya habari tu...
 
dah!akili KUMUKICHWA umenizid maujanja!....NAOMBA NIJITOE RASMI kwenye mashindano ya kumpata mnyange pearl........!

i will always love her hata hivyo:D:D
 
Akili anamaanisha alichokisema bwana,babu atakuwa nanapenda kuona watu wanapatana plz usisema vby si ulipromis utachange?Mwambie babu samahani dia plz"babu samahani kwa niamba ya akili
wow! thats good one,nimeshasamehe kabla hata hujatamka i knew you will do so,anyway hicho ndo nnachokupendea,jaribu kumuweka sawa huyu jamaa kichwa chake kitulie km mmependana kweli.
 
Pearl, kuna usemi wa kiswahili -FIMBO YA MBALI HAIUI NYOKA !!! April mbali, na usikute ikawa ile siku ya wajinga !
 
ha haa,kweli tena,lakini nawewe punguza bangi ushapata mwenza mzuri,mi nikikufuma mahali unabip bip namtonya pearl.

mkuu, zile banki zimeishakuwa historia........... binti mzuri kama huyu nimpoteze shauri ya bangi??????????/............ hata siku moja mkuu nimeishachange..........

Akili anamaanisha alichokisema bwana,babu atakuwa nanapenda kuona watu wanapatana plz usisema vby si ulipromis utachange?Mwambie babu samahani dia plz"babu samahani kwa niamba ya akili

mkuu babu kwa heshima ya mchumba wangu naomba isamehe........... truly unconditionally............

wewe ndo mwenyewe sasa!!! wala usisite tena uniambie hata mie tukamfume laivu
hahaaa shemeji AK don worry bana haya mazungumzo baada ya habari tu...

asante shem.......... nimeishachange mbona? tena sfari hii nimebadilika peranently...........

dah!akili KUMUKICHWA umenizid maujanja!....NAOMBA NIJITOE RASMI kwenye mashindano ya kumpata mnyange pearl........!

i will always love her hata hivyo:D:D

mkuu tunaomba pia utuombee wewe na familia yako yote tufikie malengo yetu as soon as possible...............

wow! thats good one,nimeshasamehe kabla hata hujatamka i knew you will do so,anyway hicho ndo nnachokupendea,jaribu kumuweka sawa huyu jamaa kichwa chake kitulie km mmependana kweli.

wala hakuna shaka mkuu, tumependana haswaaaaaaaaa............... unajua wengine wanadhani tunafanya mzaha......... time will tell............... God has endorsed our plan.............
 
Back
Top Bottom