Kuna wengine hawataki... Nilimuitaga daddy akasema subiri mpaka nikikuzalisha mtoto πKitu nachokipenda kutoka kwa mwenzangu na nina kifurahia kwa kweli na naona ananiheshimu ni anavyoniita daddy...
Ni sawa na mtu kukuambia you're badass..hapo anaweza kuwa kamaanisha wewe ni mkali(mzuri) kwenye ishu fulani
Na sisi tunadandiamo humohumo tunajifanya tunaelea kwenye dimbwi la mahabaWasiokuwa na wapenzi wana comment wapi? Nahitaji kujua.
pesa mai wangu pesa"My wangu" unachokikazia hapo ni nini π
Na sisi tunadandiamo humohumo tunajifanya tunaelea kwenye dimbwi la mahaba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe una sms zenye utata eeh? NgojaI calls her Babe or Babymama and she calls me Babe or Babydady,
Siku akiniita jina langu najua kimenuka fasta naanza kuwaza kama zile sms nilifuta, calls history niliclear kila kitu kikiwa sawa naitikia kwa bashasha zote.
Hahaha nimecheka kwa sauti.Hakuna moment napenda kama nimepigiwa simu napokea 'haloo beeeib', naskia 'Carleen, mama angu'...! Naitika 'beeeeh' (kwa kudeka), naambiwa 'hujambo mama'...!?
Huwa natamani nibandike hiyo convo kwenye nguzo za umeme barabarani..!! π
NB; tukiachana nitawaletea tena siredi.!!
Dea huwa unakula ya Chuga au Malawi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Kumbe je[emoji1787][emoji1787]unajifanya unaitwa laazizi[emoji23][emoji23]
Aki nimechekaaa ππunajifanya unaitwa laaziziππ
Mnaendeleaje saivi wife ake mtuπNilikuwa na BF huyo mkiongea kwa simu ni lazima aanze na "wife" kila simu ni "hello wife" bla bla hapo kati then ok wife take care "... Nilikuwa nachukia mwanzo mwanzo hizo wife zake mpaka nikaja kuzoea baadaye.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kama chizi, nani alikwambia umuache mdogo wangu ona sasa umepata taahira anakuita 'wewe'
π π ...π
Hakuna moment napenda kama nimepigiwa simu napokea 'haloo beeeib', naskia 'Carleen, mama angu'...! Naitika 'beeeeh' (kwa kudeka), naambiwa 'hujambo mama'...!?
Huwa natamani nibandike hiyo convo kwenye nguzo za umeme barabarani..!! [emoji28]
NB; tukiachana nitawaletea tena siredi.!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Poleni sanaNa sisi tunadandiamo humohumo tunajifanya tunaelea kwenye dimbwi la mahaba