Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
absolutely kaka akeNi kama majani mabichi, yameayo kando kando ya mto...kamwe hayawezi kunyauka..![]()
absolutely kaka akeNi kama majani mabichi, yameayo kando kando ya mto...kamwe hayawezi kunyauka..![]()
....Ngoja tuyajenge.....naona msingi unaelekea kuimarika...My thread is undergoing
Love Triangle and Blind Dating between Crushes and Their Mates
Go on


Kwamba wahudumu watakutega? Ukitegeka ujue umeamua mwenyewe kutegeka....Thank you my chocolate..
Nitanywea kahawa yangu nyumbani honey, huko fifi naogopa wale wahudumu wasije nitega, nikategeka halafu penzi letu likaingia dosari..![]()
Bado kitambo kidogo mambo yatakua fresh....Ngoja tuyajenge.....naona msingi unaelekea kuimarika...![]()
......yaani hapa nilipo najilinda...Kwamba wahudumu watakutega? Ukitegeka ujue umeamua mwenyewe kutegeka....



....sasa dada nibembelezee kule pm alegeze kakufuli japo kwa dakika 10 tu, kuna mambo mazito hayafai kuelezea hapa..Bado kitambo kidogo mambo yatakua fresh






Itakua bado anakupima, mpe mda kidogo ila wakati huo endelea kutengeneza CV vizuri.....sasa dada nibembelezee kule pm alegeze kakufuli japo kwa dakika 10 tu, kuna mambo mazito hayafai kuelezea hapa..![]()
Nimekuelewa kupita maelezo..Itakua bado anakupima, mpe mda kidogo ila wakati huo endelea kutengeneza CV vizuri.
Haifai leo leo tu akubali, sawa kaka eeh.
Kuna raha flani hivi mtu akiwa anakufkuzia... full kucare, mpatie hizo macare kwanza, enda polepole.





Love you more kaka ake😊Nimekuelewa kupita maelezo..
Nafurahi baba yetu hakupoteza ada zake bure..
Love uuuu..
Ameen...nakuaminia...najua hatokubali kumpoteza wifi mrembo...Love you more kaka ake
Wacha tusubiri soon tu kitaeleweka


mi ananiitaga wewe kweny simu yake kanisave B

Na me sitokubali tumkose huyu mrembo mwenzangu.Ameen...nakuaminia...najua hatokubali kumpoteza wifi mrembo...![]()
Mungu akufanyie wepesi katika kipindi hiki cha uchaguzi..mi ananiitaga wewe kweny simu yake kanisave B






Yaani ni mrembo..hata coments zake huwa zinanukia marashi .Na me sitokubali tumkose huyu mrembo mwenzangu.

Kumbe na we unaskiaga, yuko vizuriYaani ni mrembo..hata coments zake huwa zinanukia marashi .![]()
Yaani ni mrembo..hata coments zake huwa zinanukia marashi .![]()
Nyie watu 😂😂😂😂😂Kumbe na we unaskiaga, yuko vizuri




Nyie watu![]()
Yaani hata kama nipo kwenye umati wa watu, nikisikia tu harufu nzuri ya marashi imepita, najua tu hii ni coment ya Depal imeingia..Kumbe na we unaskiaga, yuko vizuri



