FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Habari zilizotangazwa leo asubuhi na shirika la utangazaji TBC one na za uhakika zinasema Muigizaji Joti amepata ajali kwa kugongwa na gari la Ubalozi wa Ubeligiji ,Kavunjika shingo na yuko Hospital ya Moi pale Muhimbili ,More info please mnaweza kutuletea