Muigizaji Joti wa Ze Komedi apata ajali

Habari zilizotangazwa leo asubuhi na shirika la utangazaji TBC one na za uhakika zinasema Muigizaji Joti amepata ajali kwa kugongwa na gari la Ubalozi wa Ubeligiji ,Kavunjika shingo na yuko Hospital ya Moi pale Muhimbili ,More info please mnaweza kutuletea


Duh, Kavunjika shingo, shingo ipi? Mungu amponye haraka!
 
Pole sna Joti jamni naombeni ni gari gani ilio mgonga maana niliwahi kufanya kazi huo Ubalozi, alikuwa dereva au mmoja wa madiplomat???
Asante FL kwa taarifa!
 
Habari zilizotangazwa leo asubuhi na shirika la utangazaji TBC one na za uhakika zinasema Muigizaji Joti amepata ajali kwa kugongwa na gari la Ubalozi wa Ubeligiji ,Kavunjika shingo na yuko Hospital ya Moi pale Muhimbili ,More info please mnaweza kutuletea
FirstLady, amevunjika shingo au amepata mshtuko wa shingo? mmhh!
 
Duu, huu ni mchanyato wa mambo kwani hata sala ya mtumishi KAKOBE, mara jini MANYOYA,
vyovyote vile pole kwa mkasa huo joti.
 
Maskini Asha wangu. Mh, pona haraka mwaya. Jamani naombeni mwenye uwezo awe anatuwekea clip za Komedi, sijui utaratibu wa haki miliki unakuwaje hapo. Manake huwa namiss sana vituko vyake.

Halafu kweli hawa watu ni vichwa, eti Masanja anasema mnashangaa nini mbona ana manyoya mengi tu miguuni?!
 
TBC walionyesha ile ajali, inaelekea aligongwa 'KIJOTIJOTI' utadhani labda ilikuwa sehemu ya igizo.
 
FirstLady, amevunjika shingo au amepata mshtuko wa shingo? mmhh!

habari hii niliitoa kama nilivyoipata pale TBC one sikuongeza wala kupunguza na ndo maana niliaja jukwaa liendelee kuleta mora info JosM
 
Pole sana Joti, ndio gharama ya uselebriti, kila mahala utajadiliwa. Kuna kipindi iliwahi kuwekwa habari humu kwamba mmoja wao aliliwa tiGO na vijana wa mjini. Sijui ilikuwa kuwachafua au ndo kweli.


What!!!?
 
Back
Top Bottom