Habari zilizotangazwa leo asubuhi na shirika la utangazaji TBC one na za uhakika zinasema Muigizaji Joti amepata ajali kwa kugongwa na gari la Ubalozi wa Ubeligiji ,Kavunjika shingo na yuko Hospital ya Moi pale Muhimbili ,More info please mnaweza kutuletea
RIP Joti!!
Sorry I meant to say .....Get well soon Joti wa Joti!
Duh, Kavunjika shingo, shingo ipi? Mungu amponye haraka!
FirstLady, amevunjika shingo au amepata mshtuko wa shingo? mmhh!Habari zilizotangazwa leo asubuhi na shirika la utangazaji TBC one na za uhakika zinasema Muigizaji Joti amepata ajali kwa kugongwa na gari la Ubalozi wa Ubeligiji ,Kavunjika shingo na yuko Hospital ya Moi pale Muhimbili ,More info please mnaweza kutuletea
pearl wewe unanichokoza sio ndugu yangu bwana muulize pacha wa BHT atakwambia ni nani ati
FirstLady, amevunjika shingo au amepata mshtuko wa shingo? mmhh!
habari hii niliitoa kama nilivyoipata pale TBC one sikuongeza wala kupunguza na ndo maana niliaja jukwaa liendelee kuleta mora info JosM
Nadhani ameumia maeneo ya kwenye shigo! kuvunjika ni habari pevu
mis u........
Pole sana Joti, ndio gharama ya uselebriti, kila mahala utajadiliwa. Kuna kipindi iliwahi kuwekwa habari humu kwamba mmoja wao aliliwa tiGO na vijana wa mjini. Sijui ilikuwa kuwachafua au ndo kweli.