Muhtasari wa mkutano wa Humphrey Polepole

Muhtasari wa mkutano wa Humphrey Polepole

Ryan Holiday

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
3,475
Reaction score
5,900
SUMMARY YA PRESS YA POLEPOLE
@AbroadTanzania

1. Pole pole amemkataa Mgombea wa CCM Ataja kikwete kuvuruga mchakato, asema Utaratibu ulivunjwa, ataka wagombea wawe wengi siyo mmoja.

2. Asema SERIKALI ya Samia ni Kama Nyumba ambayo haina mwenyewe hakuna mwenye kauli ya kimamlaka.

3. Asema ndugai alimuonya kuhusu shule ya uongozi na kusema asipoacha atauwawa!

4. Asema kwamba Hata Magufuli alitoka nje kupigiwa kura upya

5. SERIKALI ya Samia kumejaa wahuni wanaomzunguka Ndo sababu ya kwanza kujiuzulu ili awe huru kusema

6. Wazee kwenye colido wanamkataa Samia Ila kwenye vikao wanakaa kimya

#KataaWahuni
 
Back
Top Bottom