wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,402
dalali wa gesi na ufisadi wa esklow ktk ubora wake.
'pesa chukueni.... lkn mjue wengi mafisadi' - dk kitine.
'pesa chukueni.... lkn mjue wengi mafisadi' - dk kitine.
Watanzania watu wa ajabu sana,c ni nyie ndo mlikua mnalia kila cku huyu jamaa ajiuzulu kwenye skendo ya ESCROW!
Huyu jamaa aunge na Lowasa ili awe waziri mkuuu
Zinakutosha Kweli Sawasawa Ktk Medula Oblangata Yako?
Nakumbuka alisema hakuna mtanzania mwenye pesa ya kuwekeza kwenye miradi ya gesi, eti uwekezaji katika gesi unahitaji matrilioni kwa akili yake ndogo anafikiri hao wazungu wanaowekeza kwenye gesi wanayo hayo matriilioni mifukoni mwao!!!!!!!!!
Anafaa tu kuwa mtafiti katika maswala ya nishati lakini sio kuongoza nchi, ni kazi kubwa kuliko kuwekeza kwenye miradi ya gesi
Hapana
Umenisaidia Hivyo Siwezi Tena Kupoteza Muda Wangu Kuendelea Kujibizana Na Wewe.
dalali wa gesi na ufisadi wa esklow ktk ubora wake.
'pesa chukueni.... lkn mjue wengi mafisadi' - dk kitine.
Asante
Haupishani Sana Kwa Uwezo Mdogo Wa Akili Kama Mwenyekiti Wa SPUTANZA Mohamed Kisoky Na Mchezaji POPOMA ALIYETUKA Ramadhan Singano Na Mchambuzi Mwenye Tabia Za Kimbea Na Kipashkuna Kama Dauda.
dalali wa gesi na ufisadi wa esklow ktk ubora wake.
'pesa chukueni.... lkn mjue wengi mafisadi' - dk kitine.
Kwani nimekataa kitu...
We sema yote ukimaliza kaa kimya
jaman kashfa ya escrow imesha sahauliwa!?
Angeweza kuzuia kivipi mkuu? kama mshauri mkuu wa serikali kwenye mambo ya sheria AG alishauri hela itoke baada ya ule uamuzi wa mahakama yeye kama waziri angefanyaje??? au tuseme wewe kama waziri ungefanyaje???