wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,402
Last edited by a moderator:
Na huo ndo ushahidi wako?????? Seriosly????? Kweli sijui una elimu gani na kama upo sober kichwani saivi.View attachment 259082
ukweli utabaki kuwa ukweli daima .
Duuuh muamala wa stanbic tu mmedaiwa muweke ushahidi humu mmeshindwa,saivi unanisema na mie nimelipwa??????
Dharau zake kivipi???Tatizo lake moja tu, dharau na kujifanya anajua. Prof Lipumba ni mchumi wa dunia hadi world economic crisis inamjua lakin hatujasikia hata siku moja kujisifu sifu, yeye mpasua miamba kuutwa kujisifu tu, hapa hana nafasi
View attachment 259082
ukweli utabaki kuwa ukweli daima .
Acha undorobo wewe kama kauli yake ni ya uongo, si muende mkakope kwenye hayo mabenki na muwekeze ili kumprove wrong. Muhongo alifafanua hiyo kauli kuwa biashara ya gesi ni ya kubahatisha ndio maana anashauri watu wawekeze kwingine anawaonea huruma msifilisike,
angalia uwezo wa makampuni yanayofanya utafiti nchini halafu ndo upige kelele. Hayo mabenki yanakopesha kama yakiona una uweZo wa kurudisha salio hata kama ukikosa unachobahatisha. Hakuna benki inayokopesha kiholela, hao unaowatetea waambie wakakope kama watapata hiyo mikopo, sio unabwabwaja tu.
Tusaidie ndugu yangu unayejua aliruhusuje escrow kupita?angekuwa muadilifu asinge ruhusu escrow ipite alijua akaogopa afai
just wasting time
Mtu akiongea ukweli mnaanza kutunga eti mtu ana ubini nae.Yaani unavotetea ujinga! kama sio Muhongo wewe basi ni toto lake maana naona mawazo yanaelekeana. Nduguyangu, kama umesoma utatambua tu huwezi kuwa bingwa wa kila kitu, wewe mtaalam wa Geology waachie maswala ya uchumi na uwekezaji wenye fani yao.
Makosa ya Muhongo ni kujiona anajua kila kitu na kutoa maamzi ya fani ambazo hana uelewa nazo na kutotafuta ushauri kwa wenye uelewa!
Kwa ufupi Muhongo hafai kuwa Rais, period!
Watanzania tuna akili sana tunajua escrow waliingizwa waliokuwamo na wasiokuwamo kwa sababu watu walitaka mwiba wa wakwepa kodi utoke walifanikiwa katika hilo ila mjue kuwa mmempiga chura teke hahahahhaha jembe hilo linakuja kwa mara nyingine, sijui mtamtungia uongo gani safari hii, kejeli zenu na ngebe zinawarudia wote, mmoja tayari uongo wake umemponza na sasa anaujutia.
Nakumbuka alisema hakuna mtanzania mwenye pesa ya kuwekeza kwenye miradi ya gesi, eti uwekezaji katika gesi unahitaji matrilioni kwa akili yake ndogo anafikiri hao wazungu wanaowekeza kwenye gesi wanayo hayo matriilioni mifukoni mwao!!!!!!!!!
Anafaa tu kuwa mtafiti katika maswala ya nishati lakini sio kuongoza nchi, ni kazi kubwa kuliko kuwekeza kwenye miradi ya gesi