Muhimu tu, tusipigane mizinga

Muhimu tu, tusipigane mizinga

Kuna warembo humu, watu wanawaogopa kuwatongoza na kuwanyima haki yao ya msingi ya kupendwa.

Wapo humu waliokwisha jikatia tamaa, kutokana na kutokusemeshwa maneno mazuri mazuri na mabaharia.

Kupitia uzi huu, nimeamua kuwa mkombozi wenu; kama wewe ni mrembo mkali unayejiamini, na watu wanakuogopa kukutongoza, ebu njoo hapa tutete jambo, haki yako ya msingi ni kupendwa.

Muhimu tu, tusipigane mizinga.​
Maisha yamebadilika sana ndugu wana jamii wenzangu hata dada zetu wame adopt formula ya LUKU lipa kwa kadri unavyomtumia,hii ndiyo shida hakuna bint wa kukukataa ukimbonyezea 30,000/-50,000/-,Upendo umekwisha......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom