mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Itabidi WCB nao wampige chini kama mlezi wao.mshauri mkuu wa Simba Sports Club ni muuaji full stop.
dodge
Itabidi WCB nao wampige chini kama mlezi wao.mshauri mkuu wa Simba Sports Club ni muuaji full stop.
Mhhh!Sasa ni dhahiri kwamba huyu Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani , kuendelea kumbakisha kama Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba ni kuiingiza timu yetu kwenye uchafu wake ulioshitukiwa dunia nzima . Simba ni Taasisi kubwa yenye mipango mingi ndani na nje ya nchi , mtu mwenye tuhuma za kuzuia haki ya kuishi ya binadamu wenzake hafai si kwa simba tu , bali anapaswa kutengwa hata kwenye nyumba za ibada .
Nashauri atimuliwe haraka
Tetesi zinadokeza kwamba wawili kutoka Wasafi wapo kwenye orodha ya kupigwa pini kutokana na ukaribu wenye mashaka na Makonda , tuendelee kutega sikioItabidi WCB nao wampige chini kama mlezi wao.
dodge
Acha wafanye utani waje wasikie MO kapigwa pin asiende huko kwani ana ukaribu Makonda ndio watajua kuwa kucheza cheza na MTU anukaye mavi nawe utanuka tuuTetesi zinadokeza kwamba wawili kutoka Wasafi wapo kwenye orodha ya kupigwa pini kutokana na ukaribu wenye mashaka na Makonda , tuendelee kutega sikio
Mo anataka kutuletea uccm simbaSasa ni dhahiri kwamba huyu Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani , kuendelea kumbakisha kama Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba ni kuiingiza timu yetu kwenye uchafu wake ulioshitukiwa dunia nzima . Simba ni Taasisi kubwa yenye mipango mingi ndani na nje ya nchi , mtu mwenye tuhuma za kuzuia haki ya kuishi ya binadamu wenzake hafai si kwa simba tu , bali anapaswa kutengwa hata kwenye nyumba za ibada .
Nashauri atimuliwe haraka
Huu upumbavu wako peleka UfipaSasa ni dhahiri kwamba huyu Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani , kuendelea kumbakisha kama Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba ni kuiingiza timu yetu kwenye uchafu wake ulioshitukiwa dunia nzima . Simba ni Taasisi kubwa yenye mipango mingi ndani na nje ya nchi , mtu mwenye tuhuma za kuzuia haki ya kuishi ya binadamu wenzake hafai si kwa simba tu , bali anapaswa kutengwa hata kwenye nyumba za ibada .
Nashauri atimuliwe haraka
Mharifu anaanzaje anzaje kufanya kazi za simba? ni aibu klabu kubwa kama simba kuwa na mshauri anayetuhumiwa kukiuka haki za binadamukwani anasimamia mambo ya foreign affairs ya simba? atafanya kazi humu humu nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapuuzi wawili wanapo lishana upuuzi waoAcha wafanye utani waje wasikie MO kapigwa pin asiende huko kwani ana ukaribu Makonda ndio watajua kuwa kucheza cheza na MTU anukaye mavi nawe utanuka tuu
kila aliye karibu na Makonda yuko hatariniWapuuzi wawili wanapo lishana upuuzi wao
Hapa si siasa mkuu,huyu mtu katuhumiwa kufaya mambo mengi yasiyofaa kwenye jamii,timu ya simba ipo kwa ajiri ya jamii,sasa inawezaje kushauriwa na mtu wa namna hii?Ushauri wa Kipumbavu. Mambo ya Siasa acha kwenye Siasa. Usilete kwe Mpira. Yeye kupigwa marufuku kwenda USA kuna athiri nini Simba? Acha ushabiki maandazi.mpira ni upendo,mpira ni amani. Tutashirikiana kwenye mpira tutashindana kwenye siasa. Msilete upumbavu wenu kwenye siasa kwenye michezo.
Hapa si siasa mkuu,huyu mtu katuhumiwa kufaya mambo mengi yasiyofaa kwenye jamii,timu ya simba ipo kwa ajiri ya jamii,sasa inawezaje kushauriwa na mtu wa namna hii?
Wewe unadhani huo udhibitisho watu hawana? adingepigwa pin bila udhibitisho,akaapeal aone wanayopewa za usoKutuhumiwa ni jambo moja. Kuthibitishwa ni jambo jingine. Tukianza kuhukumu kwa kutuhumiana sijui kama kuna mtu atapona. Mimi siungi mkono tuhuma zake.lakini sipendi ziingilie mpira.
Makonda ni mshauri Mkuu wa MagufuliSasa ni dhahiri kwamba huyu Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani , kuendelea kumbakisha kama Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba ni kuiingiza timu yetu kwenye uchafu wake ulioshitukiwa dunia nzima . Simba ni Taasisi kubwa yenye mipango mingi ndani na nje ya nchi , mtu mwenye tuhuma za kuzuia haki ya kuishi ya binadamu wenzake hafai si kwa simba tu , bali anapaswa kutengwa hata kwenye nyumba za ibada .
Nashauri atimuliwe haraka
Marekani siyo peponi mjue, angezuiliwa kwenda Buza tungestuka marekeni siyo maji ya kunywa punguzeni mihemko hawa Mashoga dawa iwaingie kutetea ujinga ujinga wa midume mizima kuko-jolewaSiku zake zinahesabiwa na Marekani