Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,302
Sasa ni dhahiri kwamba huyu Makonda amepigwa marufuku kukanyaga Marekani , kuendelea kumbakisha kama Mshauri Mkuu wa bodi ya Simba ni kuiingiza timu yetu kwenye uchafu wake ulioshitukiwa dunia nzima . Simba ni Taasisi kubwa yenye mipango mingi ndani na nje ya nchi , mtu mwenye tuhuma za kuzuia haki ya kuishi ya binadamu wenzake hafai si kwa simba tu , bali anapaswa kutengwa hata kwenye nyumba za ibada .
Nashauri atimuliwe haraka
Nashauri atimuliwe haraka