Muhimu Kukumbuka History: Putin + Ukraine = Hitler + Czechoslovakia

Uko delusional na umekuwa head washed na propaganda za mmarekani.
Mmarekani baada ya kuona dola inaelekea pabaya akamuweka rais wake Ukraine, na kuvunja makubaliano ya miaka mingi kati ya jeshi la Nato na Urusi kwamba hawatakiwi kuexpand zaidi kuelekea west, kuanza vita inayo mnufaisha Mmarekani na propaganda zake , ukiangalia muuzaji silaa mkuu ndo huyo Mmarekani ambaye biashara yake kuu ni silaha na kama vita hakuna inamaana silaha haziuziki ndomaana hawezi kuishi bila vita.

Ukrain ameitamani miaka mingi siyo tu kuuza silaha bali kwa resource hiyo nchi ndogo iliyonazo.Ukrain nikama Congo ya europe kwa madini adimu, chakula etc.

Hii vita nikati ya East na West kutetea propaganda zao na maslhi yao.
ukrain kama Ukrain siyo safi kama East wanavyoionyesha kwenye media ili kuionea huruma, inamengi sana mabaya inayotenda na aina ya viongozi wake ni mafisadi balaa lakini yote yamefukiwa ili nia ya Marekani na wafuasi wake itimie.

Jeshi la Ukrain limeisha vita i wanao pigana ni wanajeshi wa Nato na kila siku wanatumiwa silaha ili tu vita isiishe....Nchi imeharibika vibaya kwasababu tu ya mtu aliye na tamaa na kusahau watu wa karibu wanao teseka, kwenye hii vita mwananchi wa kawaida hana aatakacho kigain zaidi ya kupoteza kila alichonacho ....

Sioni yeyote katika nchi za kiarabu akimuunga mkono mmarekani, zaidi watakuwa katikati tu.
Waarabu na Mrusi wapo katika upande mmoja kwenye vita ya mafuta ambayo kwasababu mmarekani hana ya kumtosha analazimisha watu wahamie kwenye matumizi ya umeme ilikupunguza demand ya mafuta duniani na kuua uchumi wa nchi zinazo zalisha mafuta.

Juzi ameingia kwenye matatizo na marafiki zake wa ulaya wakimtuhimu kutumia vita kujinufaisha na wametaka makampuni yake yanayo pata supernormal profit kwasababu ya vita kama makampuni ya silaha na nishati sasa yatozwe kodi kubwa ya vita lakini yameweka pingamizi.

Ameingia kwenye matatizo na wenzake kwa kupitisha mswada wa kuweka mazingira mazuri kwenye makampuni yanayo research na kutengeneza bidhaa kama magari ya umeme kwake.

Huku akiwasahau wenzake na kutokujali ni jinsi gani watauwa biashara zao Ulaya kwasababu hawataweza kuwa competitive kwenye soko baada ya kuzalisha, kwasababu ya uhaba wao wa malighafi baada ya kukatazwa kuchukua malighafi na huduma kutoka Urusi na China vyenye bei nafuu na hali ya uchumi wa Ulaya kwa sasa imezidi kufanya mambo yawe magumu.

Jamaa Anataka kurudi kuwa mzalishaji mkuu, kitu ambacho kwa sasa amepoteza. Ameprint pesa nyingi kipindi cha hivi karibuni bila kuwa na uwezo wa kutosha hivyo kuongeza infaltion(mfumuko wa bei) ambao haujawahi kutokea muda mrefu sana nchini kwake, uchumi wake unamilikiwa na watu wachache Benki kuu yake ni yawatu binafsi, Ajira zimekuwa chini sana na watu kutolewa makazini. Wako mbioni kuhamia kwenye sarafu ya electronic kwasababu hali yao siyo nzuri kabisa, uaminifu katika dola umeshuka sana kuliko kipindi kingine kwenye historia yake.

West wamenunua dhahabu nyingi sana ili kuzipa nguvu sarafu zao ili kuacha utegemezi juu ya Dola ya Marekani.

West wakombioni kuanzisha makampuni makubwa ya insurance za meli ili kuondokana na utegemezi wa insurance za meli za europe ambapo imewezesha Mmarekani kutumia chanagmoto hiyo kuzuia uchukuaji wa mafuta ghafi kutoka Urusi kwa bei ya soko kwasababu meli zinaogopa kukataliwa kufungiwa na kutokupewa insurance za meli zao ambazo meli nyingi za mafuta ulimwenguni ni za wagiriki marafiki wa Marekani.

Rohigya, Yemen mbona wako kimya Why Ukrain only, hao wengine hawatakiwi kusaidiwa?

Nchi zilizo haribiwa au kuingiliwa na Marekani kwa jina la kusaidia kumbe wana agenda zao za siri :
China 1945-46

Korea 1950-53

China 1950-53

Guatemala 1954

Indonesia 1958

Cuba 1959-60

Guatemala 1960

Belgian Congo 1964

Guatemala 1964

Dominican Republic 1965-66

Peru 1965

Laos 1964-73

Vietnam 1961-73

Cambodia 1969-70

Guatemala 1967-69

Lebanon 1982-84

Grenada 1983-84

Libya 1986

El Salvador 1981-92

Nicaragua 1981-90

Iran 1987-88

Libya 1989

Panama 1989-90

Iraq 1991

Kuwait 1991

Somalia 1992-94

Bosnia 1995

Iran 1998

Sudan 1998

Afghanistan 1998

Yugoslavia – Serbia 1999

Afghanistan 2001

Libya 2011

Syria 2014

Katika kipindi chote hicho Urusi au China imejiingiza kwenye vita ipi??
Katika kipindi chote hicha Urusi au China imeharibu nchi ngapi kwa jina la demokrasia ambayo yenyewe imeishindwa?

Kwanini vita ya Ukrain iwe ya tofauti zaidi na hizo nyingine alizo pigana kulinda maslahi yake na kujinufaisha huku akijisifu kusaidia wengine.

Swali lakujiuliza anashindwaje kufadhili vita hata kwenye nchi zetu za kiafrica kwa maslai yake au kulinda maslai ya watu wake wa karibu??
Je hao wanasiasa wanao jikombakomba kwake anashindwaje kuwatumia kama alivyofanya kwa nchi nyingine za Africa?

Swali la mwisho: Je kwa mfano kama Tanzania ingekuwa na adui mkuu na Zanzibar watake kujiunga nao hao maadui... Tanzania kutetea maslahi yake (kama umoja, uhuru, usalama, katiba mila na desturi) itakuwa imetenda dhambi??

Tuwe makini.
Huyu _____ ni muongo na mnafiki.
Unawatetea sana weupe mbona umesahau uvamizi wa libya?nenda libya uone mateso wanayopata,hayo hujayaona,nenda Congo,Afganistan na hata Palestine,wewe umewaona Ukrane tu enh??acheni upendeleo
 
Sasa hivi wamarekani wako wametemwa na Saudi Arabia..na wamekataa mtumo wa Petrodollar. Wanataka kutumia sarafu ya China. Muda so mrefu mtashikishwa ukuta
Sawa,acha iwe hivyo. Turudi kule nilichokuuliza" na wewe unakubali kuwa inflation iliyopo ni duniani kote ni kwasababu Marekani kaplint madolali mengi na sio vikwazo vya west dhidi ya Urusi? ".
 
Aiseee hii ni aibu kwa JF, mods wafute hii comment, ni aibu kwetu sote.
Kombe la linaanzia hatua za mchujo mpaka zinabakia 'last 32' ambazo ndio huenda kwenye fainali ya kombe la dunia.
Tanzania na Kenya na nchi nyinginezo hushiriki ila hutolewa mapema.
Hebu TUKUMBUSHE ni wapi nchi zilikaa kikao cha kuanzi VITA YA DUNIA ili tujiridhishe kwamba kweli posti ya huyu bwana inastahili kufutwa.
 
Nimeona nikumbushie kidogo kutoka katika Historia kuwa Tarehe 16 March 1938, Hitler alivamia eneo la Czechoslovakia la Sudetenland kwa madai kuwa eneo hilo lilikuwa na wajerumani wengi ambao walikuwa wakionewa na utawala wa Czechoslovakia.

Wakati huo Hitler alikuwa na jeshi kubwa sana kiasi kuwa Czechoslovakia haikufurukuta kujitetetea. Kwa miezi sita Ujerumani ikawa imejimilikisha eneo hilo kwa mabavu huku ikiliita Protektorat Böhmen und Mähren (Protectorate of Bohemia and Moravia). Mwishowe serikali ya Czechoslovakia ikaona isiwe taabu wakakubali kuliachia eneo hilo chini ya makubaliano yaliyofanyika Munich tarehe 17 September 1938 yakijulikana kama Munich agreement kuwa Ujerumani haitajimegea eneo jingine la Czechoslovakia wala la nchi yoyote jirani.

Hata hivyo, baada ya Makubaliano hayo, yaani ndani ya wiki moja tu September 21, Ujerumani ikaivamaia Poland huku ikidai kuwa kuna sehemu fulani ya Poland nayo ilikuwa na wajerumani wengi lazima irudishwe chini ya utawala wa kijerumani. Kabla uvamizi huo wa Poland haujatulia , kesho yake Sepmbeter 22 wakavamia pia eneo la Hungary kwa madai hayo hayo. Uvamizi huo ndio uliochockea kuanza kwa vita ya dunia mwezi huo huo Sepember 1939.

Uvamizi uliofanywa na Ujerumani pia uliifanya Japan nayo ifanye hivyo hivyo kwa majirani zake China na Korea. Kwa hivyo vita iliyoanza Ulaya kutokana na dikiteta mmoja kuvamia ardhi za majirani zake ikajikuta imesambaa dunia nzima haraka sana na kuwa vita ya dunia.

Wanahistoria wamekuwa wanaona uvamizi wa Urusi huko Crimea, kwa madaia kuwa ni sehemu ya Urusi, na baadaye huko Donetski kuwa kuna warusi wengi na amewahi pia kuvamia sehemu ya Moldova (transnistria) pamoja na maeneo mengine ya Georgia huko Abkhazia na South Ossetia, kwa madai hayo hayo. Ushabihiani huo wa malengo ya Putini na ya Hitler ndiko kunakosababisha wapenda amanai waisaidea sana Ukraine kijishi ishinde vita hivyo ili kuzuia Putin asije akaisambaza duniani kote.

Sasa hivi amekuwa anaweka [pressure kwa belarus nayo kuingia vitani kumsaida. Kujiunga kwa Irani kwenye vita hiyo kunaweza kuanza kuchochea Saudi Arabia na Israel kuwa upande wa Ukraine kijeshi kutokana na uhasama wao na irani na mwisho vita ikasambaa out of control.
Mzee Putin amekuwa na tabia ya kujitanua kweli kweli....ngoja tuone kama hivi Vita vitahitimisha hilo.
 
Uko delusional na umekuwa head washed na propaganda za mmarekani.
Mmarekani baada ya kuona dola inaelekea pabaya akamuweka rais wake Ukraine, na kuvunja makubaliano ya miaka mingi kati ya jeshi la Nato na Urusi kwamba hawatakiwi kuexpand zaidi kuelekea west, kuanza vita inayo mnufaisha Mmarekani na propaganda zake , ukiangalia muuzaji silaa mkuu ndo huyo Mmarekani ambaye biashara yake kuu ni silaha na kama vita hakuna inamaana silaha haziuziki ndomaana hawezi kuishi bila vita.

Ukrain ameitamani miaka mingi siyo tu kuuza silaha bali kwa resource hiyo nchi ndogo iliyonazo.Ukrain nikama Congo ya europe kwa madini adimu, chakula etc.

Hii vita nikati ya East na West kutetea propaganda zao na maslhi yao.
ukrain kama Ukrain siyo safi kama East wanavyoionyesha kwenye media ili kuionea huruma, inamengi sana mabaya inayotenda na aina ya viongozi wake ni mafisadi balaa lakini yote yamefukiwa ili nia ya Marekani na wafuasi wake itimie.

Jeshi la Ukrain limeisha vita i wanao pigana ni wanajeshi wa Nato na kila siku wanatumiwa silaha ili tu vita isiishe....Nchi imeharibika vibaya kwasababu tu ya mtu aliye na tamaa na kusahau watu wa karibu wanao teseka, kwenye hii vita mwananchi wa kawaida hana aatakacho kigain zaidi ya kupoteza kila alichonacho ....

Sioni yeyote katika nchi za kiarabu akimuunga mkono mmarekani, zaidi watakuwa katikati tu.
Waarabu na Mrusi wapo katika upande mmoja kwenye vita ya mafuta ambayo kwasababu mmarekani hana ya kumtosha analazimisha watu wahamie kwenye matumizi ya umeme ilikupunguza demand ya mafuta duniani na kuua uchumi wa nchi zinazo zalisha mafuta.

Juzi ameingia kwenye matatizo na marafiki zake wa ulaya wakimtuhimu kutumia vita kujinufaisha na wametaka makampuni yake yanayo pata supernormal profit kwasababu ya vita kama makampuni ya silaha na nishati sasa yatozwe kodi kubwa ya vita lakini yameweka pingamizi.

Ameingia kwenye matatizo na wenzake kwa kupitisha mswada wa kuweka mazingira mazuri kwenye makampuni yanayo research na kutengeneza bidhaa kama magari ya umeme kwake.

Huku akiwasahau wenzake na kutokujali ni jinsi gani watauwa biashara zao Ulaya kwasababu hawataweza kuwa competitive kwenye soko baada ya kuzalisha, kwasababu ya uhaba wao wa malighafi baada ya kukatazwa kuchukua malighafi na huduma kutoka Urusi na China vyenye bei nafuu na hali ya uchumi wa Ulaya kwa sasa imezidi kufanya mambo yawe magumu.

Jamaa Anataka kurudi kuwa mzalishaji mkuu, kitu ambacho kwa sasa amepoteza. Ameprint pesa nyingi kipindi cha hivi karibuni bila kuwa na uwezo wa kutosha hivyo kuongeza infaltion(mfumuko wa bei) ambao haujawahi kutokea muda mrefu sana nchini kwake, uchumi wake unamilikiwa na watu wachache Benki kuu yake ni yawatu binafsi, Ajira zimekuwa chini sana na watu kutolewa makazini. Wako mbioni kuhamia kwenye sarafu ya electronic kwasababu hali yao siyo nzuri kabisa, uaminifu katika dola umeshuka sana kuliko kipindi kingine kwenye historia yake.

West wamenunua dhahabu nyingi sana ili kuzipa nguvu sarafu zao ili kuacha utegemezi juu ya Dola ya Marekani.

West wakombioni kuanzisha makampuni makubwa ya insurance za meli ili kuondokana na utegemezi wa insurance za meli za europe ambapo imewezesha Mmarekani kutumia chanagmoto hiyo kuzuia uchukuaji wa mafuta ghafi kutoka Urusi kwa bei ya soko kwasababu meli zinaogopa kukataliwa kufungiwa na kutokupewa insurance za meli zao ambazo meli nyingi za mafuta ulimwenguni ni za wagiriki marafiki wa Marekani.

Rohigya, Yemen mbona wako kimya Why Ukrain only, hao wengine hawatakiwi kusaidiwa?

Nchi zilizo haribiwa au kuingiliwa na Marekani kwa jina la kusaidia kumbe wana agenda zao za siri :
China 1945-46

Korea 1950-53

China 1950-53

Guatemala 1954

Indonesia 1958

Cuba 1959-60

Guatemala 1960

Belgian Congo 1964

Guatemala 1964

Dominican Republic 1965-66

Peru 1965

Laos 1964-73

Vietnam 1961-73

Cambodia 1969-70

Guatemala 1967-69

Lebanon 1982-84

Grenada 1983-84

Libya 1986

El Salvador 1981-92

Nicaragua 1981-90

Iran 1987-88

Libya 1989

Panama 1989-90

Iraq 1991

Kuwait 1991

Somalia 1992-94

Bosnia 1995

Iran 1998

Sudan 1998

Afghanistan 1998

Yugoslavia – Serbia 1999

Afghanistan 2001

Libya 2011

Syria 2014

Katika kipindi chote hicho Urusi au China imejiingiza kwenye vita ipi??
Katika kipindi chote hicha Urusi au China imeharibu nchi ngapi kwa jina la demokrasia ambayo yenyewe imeishindwa?

Kwanini vita ya Ukrain iwe ya tofauti zaidi na hizo nyingine alizo pigana kulinda maslahi yake na kujinufaisha huku akijisifu kusaidia wengine.

Swali lakujiuliza anashindwaje kufadhili vita hata kwenye nchi zetu za kiafrica kwa maslai yake au kulinda maslai ya watu wake wa karibu??
Je hao wanasiasa wanao jikombakomba kwake anashindwaje kuwatumia kama alivyofanya kwa nchi nyingine za Africa?

Swali la mwisho: Je kwa mfano kama Tanzania ingekuwa na adui mkuu na Zanzibar watake kujiunga nao hao maadui... Tanzania kutetea maslahi yake (kama umoja, uhuru, usalama, katiba mila na desturi) itakuwa imetenda dhambi??

Tuwe makini.
Huyu _____ ni muongo na mnafiki.

Dunaini kuna watu wa aina nyingi na lazima tuish nao wote kama dunia moja. Kuna mtu ukimwambia kuwa glasi hiyo ina maji ya betri usiyanywe atakujibu kuwa mbona wewe unakunywa pombe na sijakuuzuia!! Tuelewane kuwa logic zinazotumiwa na vichwa vyetu zinatofuatiana. Ndiyo maana vitu vizuri vyote tunavyotumia duniani leo vimegunduliwa kutoka nchi hizo hizo za "mabeberu" ila wengine kama Huawei tunaiga na kukopi tu
 
Moja ya makosa mabaya ambayo aliturithisha Hayati ni kufungamana na mifumo ya mashariki. Alipaswa kuchambua mema yao na mabaya yao kuyaweka pembeni.

Ni kweli kabisa, wakati vita inaanza Putin alitangaza ishu ya Ukraine kujiunga NATO. Baadae akabadili gia na kusema kuna NAZI humo ndani, mwisho tunakuja kuona anasema kuna warusi wengi kwenye hiyo mikoa aliyoimeza.

NATO walimjibu sawia Putin, amepigishwa hesabu vibaya za hii vita, ninaamini wote waliomshawishi kuingia ukraine atakuwa ameshawapiga kitanzi. Pengine Putin alikubali kuingia Ukraine sababu alijua miaka ijayo Ukraine ingeitaka kuirudisha Crimea kimtutu, akaona vyema aivamie wakati huu kabla Ukraine haijaiva vyema kijeshi.

Umejibu vyema kabisa, umeonesha upo detailed toka vita vilipoanza.
Duh...Hembu jaribu kujifunza au kusoma historia ya nchi yako Tanzania,Africa na dunia.

Ulishawahi kusikia :
Urusi, China au nchi za mashariki zina koloni?, Zinajihusisha na utumwa kama zilivyo nchi za magharibi?

Historia ipo kutuonyesha ya nyuma ili tujiandae na yajayo, kujua marafiki, maadui na kuchagua upande kulingana na tunao waona wanafaa kwa ustawi chanya wajamii yetu.
Kulinda maadili, mila na desturi zetu zinazo tutambulisha kama waAfrica na waTanzania.
 
Uko delusional na umekuwa head washed na propaganda za mmarekani.
Mmarekani baada ya kuona dola inaelekea pabaya akamuweka rais wake Ukraine, na kuvunja makubaliano ya miaka mingi kati ya jeshi la Nato na Urusi kwamba hawatakiwi kuexpand zaidi kuelekea west, kuanza vita inayo mnufaisha Mmarekani na propaganda zake , ukiangalia muuzaji silaa mkuu ndo huyo Mmarekani ambaye biashara yake kuu ni silaha na kama vita hakuna inamaana silaha haziuziki ndomaana hawezi kuishi bila vita.

Ukrain ameitamani miaka mingi siyo tu kuuza silaha bali kwa resource hiyo nchi ndogo iliyonazo.Ukrain nikama Congo ya europe kwa madini adimu, chakula etc.

Hii vita nikati ya East na West kutetea propaganda zao na maslhi yao.
ukrain kama Ukrain siyo safi kama East wanavyoionyesha kwenye media ili kuionea huruma, inamengi sana mabaya inayotenda na aina ya viongozi wake ni mafisadi balaa lakini yote yamefukiwa ili nia ya Marekani na wafuasi wake itimie.

Jeshi la Ukrain limeisha vita i wanao pigana ni wanajeshi wa Nato na kila siku wanatumiwa silaha ili tu vita isiishe....Nchi imeharibika vibaya kwasababu tu ya mtu aliye na tamaa na kusahau watu wa karibu wanao teseka, kwenye hii vita mwananchi wa kawaida hana aatakacho kigain zaidi ya kupoteza kila alichonacho ....

Sioni yeyote katika nchi za kiarabu akimuunga mkono mmarekani, zaidi watakuwa katikati tu.
Waarabu na Mrusi wapo katika upande mmoja kwenye vita ya mafuta ambayo kwasababu mmarekani hana ya kumtosha analazimisha watu wahamie kwenye matumizi ya umeme ilikupunguza demand ya mafuta duniani na kuua uchumi wa nchi zinazo zalisha mafuta.

Juzi ameingia kwenye matatizo na marafiki zake wa ulaya wakimtuhimu kutumia vita kujinufaisha na wametaka makampuni yake yanayo pata supernormal profit kwasababu ya vita kama makampuni ya silaha na nishati sasa yatozwe kodi kubwa ya vita lakini yameweka pingamizi.

Ameingia kwenye matatizo na wenzake kwa kupitisha mswada wa kuweka mazingira mazuri kwenye makampuni yanayo research na kutengeneza bidhaa kama magari ya umeme kwake.

Huku akiwasahau wenzake na kutokujali ni jinsi gani watauwa biashara zao Ulaya kwasababu hawataweza kuwa competitive kwenye soko baada ya kuzalisha, kwasababu ya uhaba wao wa malighafi baada ya kukatazwa kuchukua malighafi na huduma kutoka Urusi na China vyenye bei nafuu na hali ya uchumi wa Ulaya kwa sasa imezidi kufanya mambo yawe magumu.

Jamaa Anataka kurudi kuwa mzalishaji mkuu, kitu ambacho kwa sasa amepoteza. Ameprint pesa nyingi kipindi cha hivi karibuni bila kuwa na uwezo wa kutosha hivyo kuongeza infaltion(mfumuko wa bei) ambao haujawahi kutokea muda mrefu sana nchini kwake, uchumi wake unamilikiwa na watu wachache Benki kuu yake ni yawatu binafsi, Ajira zimekuwa chini sana na watu kutolewa makazini. Wako mbioni kuhamia kwenye sarafu ya electronic kwasababu hali yao siyo nzuri kabisa, uaminifu katika dola umeshuka sana kuliko kipindi kingine kwenye historia yake.

West wamenunua dhahabu nyingi sana ili kuzipa nguvu sarafu zao ili kuacha utegemezi juu ya Dola ya Marekani.

West wakombioni kuanzisha makampuni makubwa ya insurance za meli ili kuondokana na utegemezi wa insurance za meli za europe ambapo imewezesha Mmarekani kutumia chanagmoto hiyo kuzuia uchukuaji wa mafuta ghafi kutoka Urusi kwa bei ya soko kwasababu meli zinaogopa kukataliwa kufungiwa na kutokupewa insurance za meli zao ambazo meli nyingi za mafuta ulimwenguni ni za wagiriki marafiki wa Marekani.

Rohigya, Yemen mbona wako kimya Why Ukrain only, hao wengine hawatakiwi kusaidiwa?

Nchi zilizo haribiwa au kuingiliwa na Marekani kwa jina la kusaidia kumbe wana agenda zao za siri :
China 1945-46

Korea 1950-53

China 1950-53

Guatemala 1954

Indonesia 1958

Cuba 1959-60

Guatemala 1960

Belgian Congo 1964

Guatemala 1964

Dominican Republic 1965-66

Peru 1965

Laos 1964-73

Vietnam 1961-73

Cambodia 1969-70

Guatemala 1967-69

Lebanon 1982-84

Grenada 1983-84

Libya 1986

El Salvador 1981-92

Nicaragua 1981-90

Iran 1987-88

Libya 1989

Panama 1989-90

Iraq 1991

Kuwait 1991

Somalia 1992-94

Bosnia 1995

Iran 1998

Sudan 1998

Afghanistan 1998

Yugoslavia – Serbia 1999

Afghanistan 2001

Libya 2011

Syria 2014

Katika kipindi chote hicho Urusi au China imejiingiza kwenye vita ipi??
Katika kipindi chote hicha Urusi au China imeharibu nchi ngapi kwa jina la demokrasia ambayo yenyewe imeishindwa?

Kwanini vita ya Ukrain iwe ya tofauti zaidi na hizo nyingine alizo pigana kulinda maslahi yake na kujinufaisha huku akijisifu kusaidia wengine.

Swali lakujiuliza anashindwaje kufadhili vita hata kwenye nchi zetu za kiafrica kwa maslai yake au kulinda maslai ya watu wake wa karibu??
Je hao wanasiasa wanao jikombakomba kwake anashindwaje kuwatumia kama alivyofanya kwa nchi nyingine za Africa?

Swali la mwisho: Je kwa mfano kama Tanzania ingekuwa na adui mkuu na Zanzibar watake kujiunga nao hao maadui... Tanzania kutetea maslahi yake (kama umoja, uhuru, usalama, katiba mila na desturi) itakuwa imetenda dhambi??

Tuwe makini.
Huyu _____ ni muongo na mnafiki.
Mvaa makobazi
 
Uko delusional na umekuwa head washed na propaganda za mmarekani.
Mmarekani baada ya kuona dola inaelekea pabaya akamuweka rais wake Ukraine, na kuvunja makubaliano ya miaka mingi kati ya jeshi la Nato na Urusi kwamba hawatakiwi kuexpand zaidi kuelekea west, kuanza vita inayo mnufaisha Mmarekani na propaganda zake , ukiangalia muuzaji silaa mkuu ndo huyo Mmarekani ambaye biashara yake kuu ni silaha na kama vita hakuna inamaana silaha haziuziki ndomaana hawezi kuishi bila vita.

Ukrain ameitamani miaka mingi siyo tu kuuza silaha bali kwa resource hiyo nchi ndogo iliyonazo.Ukrain nikama Congo ya europe kwa madini adimu, chakula etc.

Hii vita nikati ya East na West kutetea propaganda zao na maslhi yao.
ukrain kama Ukrain siyo safi kama East wanavyoionyesha kwenye media ili kuionea huruma, inamengi sana mabaya inayotenda na aina ya viongozi wake ni mafisadi balaa lakini yote yamefukiwa ili nia ya Marekani na wafuasi wake itimie.

Jeshi la Ukrain limeisha vita i wanao pigana ni wanajeshi wa Nato na kila siku wanatumiwa silaha ili tu vita isiishe....Nchi imeharibika vibaya kwasababu tu ya mtu aliye na tamaa na kusahau watu wa karibu wanao teseka, kwenye hii vita mwananchi wa kawaida hana aatakacho kigain zaidi ya kupoteza kila alichonacho ....

Sioni yeyote katika nchi za kiarabu akimuunga mkono mmarekani, zaidi watakuwa katikati tu.
Waarabu na Mrusi wapo katika upande mmoja kwenye vita ya mafuta ambayo kwasababu mmarekani hana ya kumtosha analazimisha watu wahamie kwenye matumizi ya umeme ilikupunguza demand ya mafuta duniani na kuua uchumi wa nchi zinazo zalisha mafuta.

Juzi ameingia kwenye matatizo na marafiki zake wa ulaya wakimtuhimu kutumia vita kujinufaisha na wametaka makampuni yake yanayo pata supernormal profit kwasababu ya vita kama makampuni ya silaha na nishati sasa yatozwe kodi kubwa ya vita lakini yameweka pingamizi.

Ameingia kwenye matatizo na wenzake kwa kupitisha mswada wa kuweka mazingira mazuri kwenye makampuni yanayo research na kutengeneza bidhaa kama magari ya umeme kwake.

Huku akiwasahau wenzake na kutokujali ni jinsi gani watauwa biashara zao Ulaya kwasababu hawataweza kuwa competitive kwenye soko baada ya kuzalisha, kwasababu ya uhaba wao wa malighafi baada ya kukatazwa kuchukua malighafi na huduma kutoka Urusi na China vyenye bei nafuu na hali ya uchumi wa Ulaya kwa sasa imezidi kufanya mambo yawe magumu.

Jamaa Anataka kurudi kuwa mzalishaji mkuu, kitu ambacho kwa sasa amepoteza. Ameprint pesa nyingi kipindi cha hivi karibuni bila kuwa na uwezo wa kutosha hivyo kuongeza infaltion(mfumuko wa bei) ambao haujawahi kutokea muda mrefu sana nchini kwake, uchumi wake unamilikiwa na watu wachache Benki kuu yake ni yawatu binafsi, Ajira zimekuwa chini sana na watu kutolewa makazini. Wako mbioni kuhamia kwenye sarafu ya electronic kwasababu hali yao siyo nzuri kabisa, uaminifu katika dola umeshuka sana kuliko kipindi kingine kwenye historia yake.

West wamenunua dhahabu nyingi sana ili kuzipa nguvu sarafu zao ili kuacha utegemezi juu ya Dola ya Marekani.

West wakombioni kuanzisha makampuni makubwa ya insurance za meli ili kuondokana na utegemezi wa insurance za meli za europe ambapo imewezesha Mmarekani kutumia chanagmoto hiyo kuzuia uchukuaji wa mafuta ghafi kutoka Urusi kwa bei ya soko kwasababu meli zinaogopa kukataliwa kufungiwa na kutokupewa insurance za meli zao ambazo meli nyingi za mafuta ulimwenguni ni za wagiriki marafiki wa Marekani.

Rohigya, Yemen mbona wako kimya Why Ukrain only, hao wengine hawatakiwi kusaidiwa?

Nchi zilizo haribiwa au kuingiliwa na Marekani kwa jina la kusaidia kumbe wana agenda zao za siri :
China 1945-46

Korea 1950-53

China 1950-53

Guatemala 1954

Indonesia 1958

Cuba 1959-60

Guatemala 1960

Belgian Congo 1964

Guatemala 1964

Dominican Republic 1965-66

Peru 1965

Laos 1964-73

Vietnam 1961-73

Cambodia 1969-70

Guatemala 1967-69

Lebanon 1982-84

Grenada 1983-84

Libya 1986

El Salvador 1981-92

Nicaragua 1981-90

Iran 1987-88

Libya 1989

Panama 1989-90

Iraq 1991

Kuwait 1991

Somalia 1992-94

Bosnia 1995

Iran 1998

Sudan 1998

Afghanistan 1998

Yugoslavia – Serbia 1999

Afghanistan 2001

Libya 2011

Syria 2014

Katika kipindi chote hicho Urusi au China imejiingiza kwenye vita ipi??
Katika kipindi chote hicha Urusi au China imeharibu nchi ngapi kwa jina la demokrasia ambayo yenyewe imeishindwa?

Kwanini vita ya Ukrain iwe ya tofauti zaidi na hizo nyingine alizo pigana kulinda maslahi yake na kujinufaisha huku akijisifu kusaidia wengine.

Swali lakujiuliza anashindwaje kufadhili vita hata kwenye nchi zetu za kiafrica kwa maslai yake au kulinda maslai ya watu wake wa karibu??
Je hao wanasiasa wanao jikombakomba kwake anashindwaje kuwatumia kama alivyofanya kwa nchi nyingine za Africa?

Swali la mwisho: Je kwa mfano kama Tanzania ingekuwa na adui mkuu na Zanzibar watake kujiunga nao hao maadui... Tanzania kutetea maslahi yake (kama umoja, uhuru, usalama, katiba mila na desturi) itakuwa imetenda dhambi??

Tuwe makini.
Huyu _____ ni muongo na mnafiki.
Taifa ovu zaidi duniani🤔
 
Historia ya Hitler na Czechoslovakia ni miongoni mwa sababu zinazopelekea mataifa ya magharibi kutounga mkono mazungumzo ya amani (at the expense of Ukraine) kama yale yaliyofanywa na kina Neville Chamberlain kuihusu Czechoslovakia kabla ya WW2.
 
Mmarekani baada ya kuona dola inaelekea pabaya akamuweka rais wake Ukraine, na kuvunja makubaliano ya miaka mingi kati ya jeshi la Nato na Urusi kwamba hawatakiwi kuexpand zaidi kuelekea west, kuanza vita inayo mnufaisha Mmarekani na propaganda zake , ukiangalia muuzaji silaa mkuu ndo huyo Mmarekani ambaye biashara yake kuu ni silaha na kama vita hakuna inamaana silaha haziuziki ndomaana hawezi kuishi bila vita.
Ndugu,

Wakati naanza kusoma maoni yako, nimeona niishie hapo kwenye hiyo aya (paragraph) ya kwanza, maana kuna maswali mengi umeyazalisha hapo kwenye aya hiyo.

Sioni kama ni vyema kuendelea kusoma zaidi ulichoandika kama hapo mwanzoni tu kuna shida kubwa!

Mimi nina maswali kadhaa kutokana na kile ulichosema katika aya hiyo.

Umeanza kwa kusema, "Marekani ilimuweka rais wake Ukraine". Huyo rais aliwekwaje? Mipango ilifanyikaje? Lini? Wapi? Na, ni kina nani hasa walioratibu mipango mahususi pamoja na vikao vya utekelezaji wa mipango hiyo?

Jambo la pili:
Naomba unipatie nakala ya mkataba ama angalau tarehe na mahali yalipofanyikia makubaliano rasmi (treaty) kati ya NATO na Urusi kwamba NATO haitotakiwa ku-expand kuelekea "west" (nafikiri ulitaka kusema "east").

Nitashukuru sana kwa majibu sahihi ya masuala hayo mawili!
 
Hakujawahi kuwa na vita ya dunia kamwe. Kumewahi kuwa na vita ya Ulaya na Asia tu. Afrika na Amerika Kusini hatujapigana hizo vita.

Au Afrika siyo sehemu ya dunia? Au nchi gani Africa ilipiganwa hiyo vita?
Hoja sio eneo ambalo vita inapiganwa. Muhimu zaidi ni ushiriki ama uhusika wa watu na jamii mbalimbali duniani katika hizo vita mbili.

Unataka kusema kuwa Afrika na Amerika Kusini ama jamii za Waafrika na Waamerika Kusini hazikuhusika kwenye mapigano katika hizo vita mbili?

Kamsome jamaa mmoja maarufu sana enzi hizo, Erwin Rommel, aka "The Desert Fox", pengine utafahamu uhusika wa Afrika ikiwemo ardhi na jamii za Waafrika katika Vita Kuu ya Dunia.
 
Back
Top Bottom