Muhimu Kukumbuka History: Putin + Ukraine = Hitler + Czechoslovakia

Kichuguu

Platinum Member
Oct 11, 2006
15,578
19,463
Nimeona nikumbushie kidogo kutoka katika Historia kuwa Tarehe 16 March 1938, Hitler alivamia eneo la Czechoslovakia la Sudetenland kwa madai kuwa eneo hilo lilikuwa na wajerumani wengi ambao walikuwa wakionewa na utawala wa Czechoslovakia.

Wakati huo Hitler alikuwa na jeshi kubwa sana kiasi kuwa Czechoslovakia haikufurukuta kujitetetea. Kwa miezi sita Ujerumani ikawa imejimilikisha eneo hilo kwa mabavu huku ikiliita Protektorat Böhmen und Mähren (Protectorate of Bohemia and Moravia). Mwishowe serikali ya Czechoslovakia ikaona isiwe taabu wakakubali kuliachia eneo hilo chini ya makubaliano yaliyofanyika Munich tarehe 17 September 1938 yakijulikana kama Munich agreement kuwa Ujerumani haitajimegea eneo jingine la Czechoslovakia wala la nchi yoyote jirani.

Hata hivyo, baada ya Makubaliano hayo, yaani ndani ya wiki moja tu September 21, Ujerumani ikaivamaia Poland huku ikidai kuwa kuna sehemu fulani ya Poland nayo ilikuwa na wajerumani wengi lazima irudishwe chini ya utawala wa kijerumani. Kabla uvamizi huo wa Poland haujatulia , kesho yake Sepmbeter 22 wakavamia pia eneo la Hungary kwa madai hayo hayo. Uvamizi huo ndio uliochockea kuanza kwa vita ya dunia mwezi huo huo Sepember 1939.

Uvamizi uliofanywa na Ujerumani pia uliifanya Japan nayo ifanye hivyo hivyo kwa majirani zake China na Korea. Kwa hivyo vita iliyoanza Ulaya kutokana na dikiteta mmoja kuvamia ardhi za majirani zake ikajikuta imesambaa dunia nzima haraka sana na kuwa vita ya dunia.

Wanahistoria wamekuwa wanaona uvamizi wa Urusi huko Crimea, kwa madai kuwa ni sehemu ya Urusi, na baadaye huko Donetski kuwa kuna warusi wengi na amewahi pia kuvamia sehemu ya Moldova (transnistria) pamoja na maeneo mengine ya Georgia huko Abkhazia na South Ossetia, kwa madai hayo hayo ni kama yale ya Hitler wakati huo. Ushabihiani huo wa malengo ya Putini na ya Hitler ndiko kunakosababisha wapenda amani waisaide sana Ukraine kijeshi ishinde vita hivyo ili kuzuia Putin asije akaisambaza duniani kote.

Sasa hivi amekuwa anaweka pressure kwa Belarus nayo kuingia vitani kumsaida. Kujiunga kwa Irani kwenye vita hiyo kunaweza kuanza kuchochea Saudi Arabia na Israel kuwa upande wa Ukraine kijeshi kutokana na uhasama wao na Iran na mwisho vita ikasambaa out of control.
 
Uko delusional na umekuwa head washed na propaganda za mmarekani.
Mmarekani baada ya kuona dola inaelekea pabaya akamuweka rais wake Ukraine, na kuvunja makubaliano ya miaka mingi kati ya jeshi la Nato na Urusi kwamba hawatakiwi kuexpand zaidi kuelekea west, kuanza vita inayo mnufaisha Mmarekani na propaganda zake , ukiangalia muuzaji silaa mkuu ndo huyo Mmarekani ambaye biashara yake kuu ni silaha na kama vita hakuna inamaana silaha haziuziki ndomaana hawezi kuishi bila vita.

Ukrain ameitamani miaka mingi siyo tu kuuza silaha bali kwa resource hiyo nchi ndogo iliyonazo.Ukrain nikama Congo ya europe kwa madini adimu, chakula etc.

Hii vita nikati ya East na West kutetea propaganda zao na maslhi yao.
ukrain kama Ukrain siyo safi kama East wanavyoionyesha kwenye media ili kuionea huruma, inamengi sana mabaya inayotenda na aina ya viongozi wake ni mafisadi balaa lakini yote yamefukiwa ili nia ya Marekani na wafuasi wake itimie.

Jeshi la Ukrain limeisha vita i wanao pigana ni wanajeshi wa Nato na kila siku wanatumiwa silaha ili tu vita isiishe....Nchi imeharibika vibaya kwasababu tu ya mtu aliye na tamaa na kusahau watu wa karibu wanao teseka, kwenye hii vita mwananchi wa kawaida hana aatakacho kigain zaidi ya kupoteza kila alichonacho ....

Sioni yeyote katika nchi za kiarabu akimuunga mkono mmarekani, zaidi watakuwa katikati tu.
Waarabu na Mrusi wapo katika upande mmoja kwenye vita ya mafuta ambayo kwasababu mmarekani hana ya kumtosha analazimisha watu wahamie kwenye matumizi ya umeme ilikupunguza demand ya mafuta duniani na kuua uchumi wa nchi zinazo zalisha mafuta.

Juzi ameingia kwenye matatizo na marafiki zake wa ulaya wakimtuhimu kutumia vita kujinufaisha na wametaka makampuni yake yanayo pata supernormal profit kwasababu ya vita kama makampuni ya silaha na nishati sasa yatozwe kodi kubwa ya vita lakini yameweka pingamizi.

Ameingia kwenye matatizo na wenzake kwa kupitisha mswada wa kuweka mazingira mazuri kwenye makampuni yanayo research na kutengeneza bidhaa kama magari ya umeme kwake.

Huku akiwasahau wenzake na kutokujali ni jinsi gani watauwa biashara zao Ulaya kwasababu hawataweza kuwa competitive kwenye soko baada ya kuzalisha, kwasababu ya uhaba wao wa malighafi baada ya kukatazwa kuchukua malighafi na huduma kutoka Urusi na China vyenye bei nafuu na hali ya uchumi wa Ulaya kwa sasa imezidi kufanya mambo yawe magumu.

Jamaa Anataka kurudi kuwa mzalishaji mkuu, kitu ambacho kwa sasa amepoteza. Ameprint pesa nyingi kipindi cha hivi karibuni bila kuwa na uwezo wa kutosha hivyo kuongeza infaltion(mfumuko wa bei) ambao haujawahi kutokea muda mrefu sana nchini kwake, uchumi wake unamilikiwa na watu wachache Benki kuu yake ni yawatu binafsi, Ajira zimekuwa chini sana na watu kutolewa makazini. Wako mbioni kuhamia kwenye sarafu ya electronic kwasababu hali yao siyo nzuri kabisa, uaminifu katika dola umeshuka sana kuliko kipindi kingine kwenye historia yake.

West wamenunua dhahabu nyingi sana ili kuzipa nguvu sarafu zao ili kuacha utegemezi juu ya Dola ya Marekani.

West wakombioni kuanzisha makampuni makubwa ya insurance za meli ili kuondokana na utegemezi wa insurance za meli za europe ambapo imewezesha Mmarekani kutumia chanagmoto hiyo kuzuia uchukuaji wa mafuta ghafi kutoka Urusi kwa bei ya soko kwasababu meli zinaogopa kukataliwa kufungiwa na kutokupewa insurance za meli zao ambazo meli nyingi za mafuta ulimwenguni ni za wagiriki marafiki wa Marekani.

Rohigya, Yemen mbona wako kimya Why Ukrain only, hao wengine hawatakiwi kusaidiwa?

Nchi zilizo haribiwa au kuingiliwa na Marekani kwa jina la kusaidia kumbe wana agenda zao za siri :
China 1945-46

Korea 1950-53

China 1950-53

Guatemala 1954

Indonesia 1958

Cuba 1959-60

Guatemala 1960

Belgian Congo 1964

Guatemala 1964

Dominican Republic 1965-66

Peru 1965

Laos 1964-73

Vietnam 1961-73

Cambodia 1969-70

Guatemala 1967-69

Lebanon 1982-84

Grenada 1983-84

Libya 1986

El Salvador 1981-92

Nicaragua 1981-90

Iran 1987-88

Libya 1989

Panama 1989-90

Iraq 1991

Kuwait 1991

Somalia 1992-94

Bosnia 1995

Iran 1998

Sudan 1998

Afghanistan 1998

Yugoslavia – Serbia 1999

Afghanistan 2001

Libya 2011

Syria 2014

Katika kipindi chote hicho Urusi au China imejiingiza kwenye vita ipi??
Katika kipindi chote hicha Urusi au China imeharibu nchi ngapi kwa jina la demokrasia ambayo yenyewe imeishindwa?

Kwanini vita ya Ukrain iwe ya tofauti zaidi na hizo nyingine alizo pigana kulinda maslahi yake na kujinufaisha huku akijisifu kusaidia wengine.

Swali lakujiuliza anashindwaje kufadhili vita hata kwenye nchi zetu za kiafrica kwa maslai yake au kulinda maslai ya watu wake wa karibu??
Je hao wanasiasa wanao jikombakomba kwake anashindwaje kuwatumia kama alivyofanya kwa nchi nyingine za Africa?

Swali la mwisho: Je kwa mfano kama Tanzania ingekuwa na adui mkuu na Zanzibar watake kujiunga nao hao maadui... Tanzania kutetea maslahi yake (kama umoja, uhuru, usalama, katiba mila na desturi) itakuwa imetenda dhambi??

Tuwe makini.
Huyu _____ ni muongo na mnafiki.
 
Sijui ni kwanini neno"propaganda na kibaraka ni common sana kwa imbecile people". Imejen hapo mtaani kwako kuna watu wanakukubali kwenye vijiwe vya kahawa kwa uchambuzi uchwala kama huu.
Useless kabisa
Hahaah..Kumbe mpaka umeupa cheo cha uchambuzi, muandiko umekukera na umeuelewa😊😊.

Ukweli unauma hata kama wewe ni mnufaikaji wa Ushoga wao, GMO's zao au hata magonjwa yao
 
1) Vita ya kwanza ya Dunia ilifanyika ili wayahuni warudi Palestine.
2) Vita ya Pili ya Dunia ilifanyika ili Israel itambulike kama taifa.(imetumika Holocaust)
3) Vita ya tatu ya Dunia itakuja Israel iwe bwana wa dunia pia itajinyakulia ardhi ya Jordan,Syria na Egypt.
4) Vita ya mwisho hii atakaporudi Nabii Issa(Yesu) kuweka ukweli na haki ulimwenguni.
 
Putin uwa ana update madai yake so hayo ili uliloliandika limeshapotea kichwani mwake, sasa analingine.
Alianza na Ukrein inataka kujiunga Nato alivyoona wenye akili wamekataa kukubaliana na dai ilo akaja na dai la kuwepo kwa NAZI Ukraine nalo dai ilo likapwaya.
Akaja na dai kuwa"ukrein inaongozwaa na wauza Madawa ya kule ye, wenye akili wakampuuza. Kama shida ni wauza Madawa ya kulewa ya why asiende Colombia ama Mexco kuwashikisha adabu.
Alivyoona wenye akili wamempuuza akakimbili kudai kuwa amekwenda Ukraine kuwatete wakazi wenye asili ya Urusi.
So, usiamini chochote kinachotoka mdomoni mwa huyo mzee mpumbavu.
Ana bahati nchi yake haina mahakama huru na bunge huru.
 
Kulikua na ulazima wa kiasi hicho wa Ukrein kung'ang'ania kujiunga NATO?. Je Ukrein amepoteza au amenufaika na tamaa yake ya kujiunga NATO?. Kwa nini NATO wasiingie mazima Ukrein kumsaidia Kwa sababu anaonewa?. Hofu ya NATO kuivamia urusi ni nini?.
Putin anasema kaivamia Ukrein ili kurudisha ardhi ya Urusi(madai ya sasa) so wewe endelea kutumia Nato kama sababu ya Putin kuivamia Ukraine wakati Putin mwenye anasema shida ni ardhi na wakazi wenye asili ya urusi. Dunia haijui kesho atakuja madai gani.
 
Putin anasema kaivamia Ukrein ili kurudisha ardhi ya Urusi(madai ya sasa) so wewe endelea kutumia Nato kama sababu ya Putin kuivamia Ukraine wakati Putin mwenye anasema shida ni ardhi na wakazi wenye asili ya urusi. Dunia haijui kesho atakuja madai gani.
Mkuu na wewe unaamini shida ni aridhi kama alivyosema Putin?.

Ingawa fika nafahamu hakuna mahala popote aliposema shida ni aridhi?.
 
Mkuu na wewe unaamini shida ni aridhi kama alivyosema Putin?.

Ingawa fika nafahamu hakuna mahala popote aliposema shida ni aridhi?.
Wewe endelea kukaa hapo na wimbo wa Nato wakati mleta madai kashahama muda mrefu, yupo kwa Pita ze grit😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230121-000020_Chrome.jpg
    Screenshot_20230121-000020_Chrome.jpg
    225 KB · Views: 3
Tuseme unayoandika nikweli, Kwanini NATO badala yakutoa siraha kwa Ukrein, wasiingie na jeshi lao kabisa ili kumuadabisha huyu Putin?.
Sofar Ukrain ni kama hain jeshi kwasasa, Nato wako mzigoni lakini ngoma bado nzito,ngoma bado mbichi.
Mmarekani anatoa msaada mkubwa wa magari yakivita soon lakini magari ya zamani miaka ya90 ndo Mmarekani alikuwa ana yatumia.😃
Kama vile anasafisha store zake
 
Uko delusional na umekuwa head washed na propaganda za mmarekani.
Mmarekani baada ya kuona dola inaelekea pabaya akamuweka rais wake Ukraine, na kuvunja makubaliano ya miaka mingi kati ya jeshi la Nato na Urusi kwamba hawatakiwi kuexpand zaidi kuelekea west, kuanza vita inayo mnufaisha Mmarekani na propaganda zake , ukiangalia muuzaji silaa mkuu ndo huyo Mmarekani ambaye biashara yake kuu ni silaha na kama vita hakuna inamaana silaha haziuziki ndomaana hawezi kuishi bila vita.

Ukrain ameitamani miaka mingi siyo tu kuuza silaha bali kwa resource hiyo nchi ndogo iliyonazo.Ukrain nikama Congo ya europe kwa madini adimu, chakula etc.

Hii vita nikati ya East na West kutetea propaganda zao na maslhi yao.
ukrain kama Ukrain siyo safi kama East wanavyoionyesha kwenye media ili kuionea huruma, inamengi sana mabaya inayotenda na aina ya viongozi wake ni mafisadi balaa lakini yote yamefukiwa ili nia ya Marekani na wafuasi wake itimie.
Jeshi la Ukrain limeisha vita i wanao pigana ni wanajeshi wa Nato na kila siku wanatumiwa silaha ili tu vita isiishe....Nchi imeharibika vibaya kwasababu tu ya mtu aliye na tamaa na kusahau watu wa karibu wanao teseka, kwenye hii vita mwananchi wa kawaida hana aatakacho kigain zaidi ya kupoteza kila alichonacho ....

Sioni yeyote katika nchi za kiarabu akimuunga mkono mmarekani, zaidi watakuwa katikati tu.
Waarabu na Mrusi wapo katika upande mmoja kwenye vita ya mafuta ambayo kwasababu mmarekani hana ya kumtosha analazimisha watu wahamie kwenye matumizi ya umeme ilikupunguza demand ya mafuta duniani na kuua uchumi wa nchi zinazo zalisha mafuta.

Juzi ameingia kwenye matatizo na marafiki zake wa ulaya wakimtuhimu kutumia vita kujinufaisha na wametaka makampuni yake yanayo pata supernormal profit kwasababu ya vita kama makampuni ya silaha na nishati sasa yatozwe kodi kubwa ya vita lakini yameweka pingamizi.
Ameingia kwenye matatizo na wenzake kwa kupitisha mswada wa kuweka mazingira mazuri kwenye makampuni yanayo research na kutengeneza bidhaa kama magari ya umeme kwake.
Huku akiwasahau wenzake na kutokujali ni jinsi gani watauwa biashara zao Ulaya kwasababu hawataweza kuwa competitive kwenye soko baada ya kuzalisha, kwasababu ya uhaba wao wa malighafi baada ya kukatazwa kuchukua malighafi na huduma kutoka Urusi na China vyenye bei nafuu na hali ya uchumi wa Ulaya kwa sasa imezidi kufanya mambo yawe magumu.
Jamaa Anataka kurudi kuwa mzalishaji mkuu, kitu ambacho kwa sasa amepoteza.
Ameprint pesa nyingi kipindi cha hivi karibuni bila kuwa na uwezo wa kutosha hivyo kuongeza infaltion(mfumuko wa bei) ambao haujawahi kutokea muda mrefu sana nchini kwake, uchumi wake unamilikiwa na watu wachache Benki kuu yake ni yawatu binafsi, Ajira zimekuwa chini sana na watu kutolewa makazini. Wako mbioni kuhamia kwenye sarafu ya electronic kwasababu hali yao siyo nzuri kabisa, uaminifu katika dola umeshuka sana kuliko kipindi kingine kwenye historia yake.
West wamenunua dhahabu nyingi sana ili kuzipa nguvu sarafu zao ili kuacha utegemezi juu ya Dola ya Marekani.

West wakombioni kuanzisha makampuni makubwa ya insurance za meli ili kuondokana na utegemezi wa insurance za meli za europe ambapo imewezesha Mmarekani kutumia chanagmoto hiyo kuzuia uchukuaji wa mafuta ghafi kutoka Urusi kwa bei ya soko kwasababu meli zinaogopa kukataliwa kufungiwa na kutokupewa insurance za meli zao ambazo meli nyingi za mafuta ulimwenguni ni za wagiriki marafiki wa Marekani.

Rohigya, Yemen mbona wako kimya Why Ukrain only, hao wengine hawatakiwi kusaidiwa?

Nchi zilizo haribiwa au kuingiliwa na Marekani kwa jina la kusaidia kumbe wana agenda zao za siri :
China 1945-46

Korea 1950-53

China 1950-53

Guatemala 1954

Indonesia 1958

Cuba 1959-60

Guatemala 1960

Belgian Congo 1964

Guatemala 1964

Dominican Republic 1965-66

Peru 1965

Laos 1964-73

Vietnam 1961-73

Cambodia 1969-70

Guatemala 1967-69

Lebanon 1982-84

Grenada 1983-84

Libya 1986

El Salvador 1981-92

Nicaragua 1981-90

Iran 1987-88

Libya 1989

Panama 1989-90

Iraq 1991

Kuwait 1991

Somalia 1992-94

Bosnia 1995

Iran 1998

Sudan 1998

Afghanistan 1998

Yugoslavia – Serbia 1999

Afghanistan 2001

Libya 2011

Syria 2014

Katika kipindi chote hicho Urusi au China imejiingiza kwenye vita ipi??
Katika kipindi chote hicha Urusi au China imeharibu nchi ngapi kwa jina la demokrasia ambayo yenyewe imeishindwa?

Kwanini vita ya Ukrain iwe ya tofauti zaidi na hizo nyingine alizo pigana kulinda maslahi yake na kujinufaisha huku akijisifu kusaidia wengine.

Swali lakujiuliza anashindwaje kufadhili vita hata kwenye nchi zetu za kiafrica kwa maslai yake au kulinda maslai ya watu wake wa karibu??
Je hao wanasiasa wanao jikombakomba kwake anashindwaje kuwatumia kama alivyofanya kwa nchi nyingine za Africa?
Tuwe makini.
Huyu _____ ni muongo na mnafiki.

Pumba pro max
 
Putin uwa ana update madai yake so hayo ili uliloliandika limeshapotea kichwani mwake, sasa analingine.
Alianza na Ukrein inataka kujiunga Nato alivyoona wenye akili wamekataa kukubaliana na dai ilo akaja na dai la kuwepo kwa NAZI Ukraine nalo dai ilo likapwaya.
Akaja na dai kuwa"ukrein inaongozwaa na wauza Madawa ya kule ye, wenye akili wakampuuza. Kama shida ni wauza Madawa ya kulewa ya why asiende Colombia ama Mexco kuwashikisha adabu.
Alivyoona wenye akili wamempuuza akakimbili kudai kuwa amekwenda Ukraine kuwatete wakazi wenye asili ya Urusi.
So, usiamini chochote kinachotoka mdomoni mwa huyo mzee mpumbavu.
Ana bahati nchi yake haina mahakama huru na bunge huru.
Huna akili huko Marekani na Uingereza ambako kuna mahakama na bunge huru mbona awajamfunga Bush na aliye uwa mamilioni ya wairaq bila sababu?
 
1) Vita ya kwanza ya Dunia ilifanyika ili wayahuni warudi Palestine.
2) Vita ya Pili ya Dunia ilifanyika ili Israel itambulike kama taifa.(imetumika Holocaust)
3) Vita ya tatu ya Dunia itakuja Israel iwe bwana wa dunia pia itajinyakulia ardhi ya Jordan,Syria na Egypt.
4) Vita ya mwisho hii atakaporudi Nabii Issa(Yesu) kuweka ukweli na haki ulimwenguni.
Nawewe rudi duniani acha kusoma elim ahera tu. Balance, bado unaishi.
 
Back
Top Bottom