Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 788
kama wewe unaweza ni one in hundred. sikusema wote ni perfect. We ukipigwa na mwingine ukashindwa kumrudishia alie kupiga ukaja kunipiga mimi basi ni mnyama.Una uhakika gani mimi sio Dr! Baada ya wao kupelekwa mabwepande na kungolewa kucha na meno and u still think they are the same? Kukiwa hakuna mgomo wanawafanyia wagonjwa kutu vile vile itakuwa baada ya kungolewa meno na kucha!