Muhimbili madaktari watimuliwa

kwa ilipofika hapa hawawezi tena kuungana
Hawa Madaktari waondoke, sasa wanalalama nini? Waende wakapewe kazi huko Makanisani,TAMWA,TGNP,NK. HALAFU WALIPWE HIZO M.7. Ama kama wanataka sana hizo pesa, Mzee Cameroun anawakaribisha. Nendeneni UK
 
Watu wanatofautiana kiuchumi nakwambia mwingine anaweza kuendelea kugoma kwa kua ana hospitali yake anapata chochote ila nakwambia kwa hii move ilipofika wote wanarudi kazini. Wameshashikwa pabaya na hawawezi tena kua na nguvu nakwambia

Niwakumbushe watanzania uoga ni kitu hatari kinachoweza kukufanya ukawa mtumwa,ukawa mnafiki,ukawa mtu wa kujipendekeza na hata kusababisha webgine wakadhurika kwa muda mrefu,niseme tu ya kwamba mimi ni mhanga wa huduma duni za hospitalini kwa kutokewa na tukio la kupoteza mtoto na mama akaokoka,alkini ni kwa sababu ya huduma duni,ukosefu wa vifaa,moral mdogo wa madaktari,na mengine kama hayo.sasa kama wataogopa na wakarudi fine lakini mkumbuke kuwa vifo ni vingi tu vinavyotokea consecutively nje ya mgomo.na si sector ya afya tu ni sehemu nyingi,angalia mashuleni,watoto wanafaulu kwenda secondary huku hawajui kusoma,hayo ni matokeo ya moral ndogo ya waalimu na ivyo kuingia kwenye mgomo baridi.anyway all in all wewe unaamini hakuna maisha nje ya ajira za serikali?
Anyway i have to sit aside and wait what our beloved doctors shall decide kwa ukoja wao ama individual.
 
Fuatilia vizuri historia ya huu mgomo,kama hoja yako ni kukutana wamekuwa wakikutana nje ya hospitalini ili kufanya mikutano yao.na hata kama wakiwa nyumbani unadhani kama wakiwa na umoja wao serikali itayumba sana,na huenda ikawa ndo mwanzo wa safari yao kuachia madaraka,maana ukubali usikubali hakuna madaktari wa kutosha hata kama wakuu wa idara watabaki bado wao si wapiga mzigo wa kutibu mara nyingi wanashughulika na utawala tu.na hata kama JK ataamua kuajiri wengine bado hawatoshi,na hata kama atawaleta kutoka nje hapo ndio mwanzo wa kuwahoji wametoa wapi hela za kulipa madaktari wa nje.

Kwa hiyo wao wana njia zao za kuwasiliana na wataweza kufanya mikutano yao nje ya mahopitalini,na bado wana forum yao ya MAT ambayo kama sio doctor huna access ya kuingia,huko ndio wanawasiliana na kujadili sana mipango yao.
Mwisho nataka nikuambie hivi kama wataamua hataogopa vitisho vya JK,maana ni ukweli usiopingika kwamba maisha yapo pia hata nje ya ajira za serikali.

Ndugu yangu, wewe unaishi Tanzania kweli? Mshahara wa mfanyakazi wa serikali unaweza kukaa kwa muda gani mfukoni? Kabla hata mwisho wa mwezi haujafika mshahara ulishakwisha siku nyingi. Hawa walizoea kamshahara hako na marupurupu ya hapa na pale wakienda kukaa nyumbani mwezi mmoja tu watakuwa wanarudi serikalini kuomba msamaha.

Kwa mtu aliyezoea kuishi kwa mshahara itakuwa ni vigumu sana kuendeleza jeuri akiwa nje ya kazi. By the way, mkishakuwa mmefukuzwa kazini, hata mkutane kokote na kufanya mikutano yenu, hamna tena impact kwa serikali, maana tayari imeshachukua risk. sanasana mtamaliza hela za nauli za kukutana huko, na baadaye hiyo mikutano itakufa natural death.

hivi wewe huna uzoefu wa migomo ya wanafunzi. Umoja wao na ujanja wao unaishia pale chuoni, wakishafukuzwa tu hawana tena kinga, maana wakileta fujo mtaani huko watakamatwa na kushughulikiwa kama wahalifu wa kawaida tu na si wapigania haki, ukizingatia na ajira watakuwa tayari washafukuzwa! Ujue serikali yetu ni kind sana, lakini kama kweli serikali ikiamua kufanya maamuzi yake kulingana na vile inavyotaka mambo yaende, nadhani baada ya negotiation kushindikana, yangeshafanyika mambo makbwa sana.

Maana serikali inaweza kuwafukuza kazi, halafu ikabadilisha sera ya ulipaji mikopo, mkajikuta within the same week baada ya kufukuzwa, mnakamatwa mlipe mikopo mliyokopa bodi ya mikopo. Ukizingatia walipewa 100% udhamini wa serikali. Mie nafikiri wakati mwingine tuwe tunamshukuru tu Kikwete kwamba ni mtu mwenye huruma sana, hapendi kufanya maamuzi ya kumuumiza mtu. Though ameharibu kwa kila alichomfanyia Ulimboka.
 
Ni aibu kwa serikali Dhaifu kucheza na fani kama Udaktari ata USA na UK Madaktari awatoshi.inachukua miaka 5 mpaka 7 kumtrain Dokta mmoja.let see miracles

Tushasema Liwalo na Liwe ! Waende zao!!! Botswana itawaajiri
 
Madaktari wanajidanganya sana. Wanafikiri wao wote wanaweza kupata kazi hospitali binafsi.


Ngoja wafukuzwe halafu wote wakaombe kazi kwenye sekta binafsi huko Supply inakuwa ghafla na demand yao ipo constant wanajikuta hata hiyo TZS 900,000 ni ndoto wanaishia kufanya kazi kwa 300,000.

Du! Mkuu umepora wazo langu,We mkali!
 
Niwakumbushe watanzania uoga ni kitu hatari kinachoweza kukufanya ukawa mtumwa,ukawa mnafiki,ukawa mtu wa kujipendekeza na hata kusababisha webgine wakadhurika kwa muda mrefu,niseme tu ya kwamba mimi ni mhanga wa huduma duni za hospitalini kwa kutokewa na tukio la kupoteza mtoto na mama akaokoka,alkini ni kwa sababu ya huduma duni,ukosefu wa vifaa,moral mdogo wa madaktari,na mengine kama hayo.sasa kama wataogopa na wakarudi fine lakini mkumbuke kuwa vifo ni vingi tu vinavyotokea consecutively nje ya mgomo.na si sector ya afya tu ni sehemu nyingi,angalia mashuleni,watoto wanafaulu kwenda secondary huku hawajui kusoma,hayo ni matokeo ya moral ndogo ya waalimu na ivyo kuingia kwenye mgomo baridi.anyway all in all wewe unaamini hakuna maisha nje ya ajira za serikali?
Anyway i have to sit aside and wait what our beloved doctors shall decide kwa ukoja wao ama individual.
Kwa hiyo ndugu we unaona suluhu ya hayo matatizo kede kede ni kuendelea kusapoti mgomo wa hao ma dr au kuna kingine unashauri kifanyike?
 
hahaha...very funny, TZ ina
neurosurgeons 4,
Orthopeadics Surgeon less than 15,
Physician 30,
Otorhinolaryngolist 7,
Anaesthesiologist 25,
Ophthamologist(sio optician) 20,
Psychiatrist(not psychologist) 20,
Pediatrician 35,
Obstetrician and Gynaecologist 35,
Surgeons(Urologist,Thoracic,Pediatrics,Gastro, Plastic, Vascular and Oralmaxillofacial) 40,
Radiologist 12,


wote hawa wamegoma, hebu tuone kama serikali yetu ya kutufukuza na pamoja na wadogo wetu(residents, registrar, intern) tuone mtatupatia wapi?!
besides hata hao AMO wenyewe(madaktari wa fastafasta waliosoma miaka 3) inawahitaji tena kusoma 5years again!!
you dont know what someone can do until you push him to the edge, ..we have reached ours!
 
ni suala gumu sana linahitaji busara sana katika maamuzi na si kukurupuka
 
Usiwasemee mi nawajua ma dr. hawana moyo wa kutu kiiivyo inapokuja swala la individual

Una uhakika gani mimi sio Dr! Baada ya wao kupelekwa mabwepande na kungolewa kucha na meno and u still think they are the same? Kukiwa hakuna mgomo wanawafanyia wagonjwa kutu vile vile itakuwa baada ya kungolewa meno na kucha!
 
They need really to unite manake ni shida. Ila jamani hospitali zetu zinatia aibu. Sasa hivi 80% ya vipimo na dawa unaambiwa nenda hospitali binafsi. Wananchi wenzangu haya yanatugusa? Au ndo tunakuwa na ule upeo wa aah madaktari wanadai maslahi. Nenda hospitali sasa uandikiwe dawa uone. Ila kwa bahati mbaya sana mheshimiwa hakuthubutu kutaja hayo. Tumempoteza rafiki yetu wa bodaboda kisa kapata ajali kaumia kicwa kwa kuvila damu na nothing was done kwa vite scan ya kichwa haifanyiki. Wadau hali ni mbaya mno!
sipendi kuamini kama lawama zote kwa serikali nafikiri tatizo hapa hata hao madaktari na matechnician kwenye hospital wanaharibu vifaa vingi na vingine kuvihamishia hospitali zao binafsi wananchi hilo nalo mlitambue. ukienda hospitali ya serikali utaambiwa kipimo fulani hakuna nenda hospitali fulani utakipata wakati kumbe hata hapo kipo ila usanii tu
 
Ukisimama mbele ya Polisi unasema unagoma kwa mshahara wa 900,000 anawesa kukuchapa kirungu cha utosi!
 
Naipongeza serikali kwa kufanya maamuzi magumu,watakaotaka kurudi warudi kwa masharti,kuna msemo wa kiswahili unasema "ukizira wenzio wala" na masharti yenyewe wakatuanzishie zile kambi za JKT,waende huko kwanza,wakakanyagwe sawasawa mbona wengine tulipigwa sana huko na tumejaa woga wa nchi na mungu.kwanini isiwe wao, au JK kutaka kuongeza idadi ya madaktari nchini imekuwa nongwa?.Safi sana liwalo na liwe.
 
Back
Top Bottom