Muhimbili madaktari watimuliwa

safi sana kiburi kimewazidi. Wanafikiri wao ndio serikali, waache waone joto ya jiwe.
 
Solidarity forever,i appeal to you all intern doctors,Registrars and Specialist to go beyond the point of no return.
watakwenda kwenye point of no return wakiwa nyumbani kwao? Ujue mgomo huwa unawezekana mkiwa tu mahali pamoja ambapo mnakutanika kwa pamoja. Sasa mkishakuwa kwenu, mtajiorganize vipi? Maana ujue mkishafukuzwa, hamruhusiwi tena kuonekana mazingira ya kazini kwenu kwa zamani, mtakutana wapi, na mtakuwa mnafanya nini mkikutana.
 
watakwenda kwenye point of no return wakiwa nyumbani kwao? Ujue mgomo huwa unawezekana mkiwa tu mahali pamoja ambapo mnakutanika kwa pamoja. Sasa mkishakuwa kwenu, mtajiorganize vipi? Maana ujue mkishafukuzwa, hamruhusiwi tena kuonekana mazingira ya kazini kwenu kwa zamani, mtakutana wapi, na mtakuwa mnafanya nini mkikutana.
Watasubiri huruma ya serikali kuwarudisha kazini hakuna jingine
 
Madaktari wanajidanganya sana. Wanafikiri wao wote wanaweza kupata kazi hospitali binafsi.


Ngoja wafukuzwe halafu wote wakaombe kazi kwenye sekta binafsi huko Supply inakuwa ghafla na demand yao ipo constant wanajikuta hata hiyo TZS 900,000 ni ndoto wanaishia kufanya kazi kwa 300,000.
 
Tatizo la nchi kutokua na kiongozi mtoa maamuzi anachojua ni kusoma hotuba.Mbona wasifanye mjadala live pande zote mbili tusikie nani mkweli nani mwoga ?majibu tunayopata ni ONE sided ukisikiliza bunge haliruhusiwi kuzungumza MGOMO huu Madaktari hawana pa kusema zaidi ya vyombo vya habari vichache ambavyo vimeweza kupata hizo taarifa zao.

Timua timua ni nyepesi kwa viongozi wao wanatibiwa nje ,je sisi tutakaobaki kwenye WODI ZISIZO NA MADAKTARI NA WAHUDUMU WALA HUDUMA HILI JAMBO TUNAWAANGALIA WATU TULIOWAPA DHAMANA YA MAISHA YATU NA NCHI YETU WAKIKURUPUKA ?

Mjadala wa pande zote mbili unaonekana kuwa mgumu zaidi, sijui ni kwasababu ya nguvu ya serikali, swala lipo mahakamani ama kiungo chao muhimu kipo South Afrika kwa matibabu.
 
Utawala wa hospitali wanatapatapa tu. Hii ni ngoma nzito kwao.
 
watakwenda kwenye point of no return wakiwa nyumbani kwao? Ujue mgomo huwa unawezekana mkiwa tu mahali pamoja ambapo mnakutanika kwa pamoja. Sasa mkishakuwa kwenu, mtajiorganize vipi? Maana ujue mkishafukuzwa, hamruhusiwi tena kuonekana mazingira ya kazini kwenu kwa zamani, mtakutana wapi, na mtakuwa mnafanya nini mkikutana.

Fuatilia vizuri historia ya huu mgomo,kama hoja yako ni kukutana wamekuwa wakikutana nje ya hospitalini ili kufanya mikutano yao.na hata kama wakiwa nyumbani unadhani kama wakiwa na umoja wao serikali itayumba sana,na huenda ikawa ndo mwanzo wa safari yao kuachia madaraka,maana ukubali usikubali hakuna madaktari wa kutosha hata kama wakuu wa idara watabaki bado wao si wapiga mzigo wa kutibu mara nyingi wanashughulika na utawala tu.na hata kama JK ataamua kuajiri wengine bado hawatoshi,na hata kama atawaleta kutoka nje hapo ndio mwanzo wa kuwahoji wametoa wapi hela za kulipa madaktari wa nje.

Kwa hiyo wao wana njia zao za kuwasiliana na wataweza kufanya mikutano yao nje ya mahopitalini,na bado wana forum yao ya MAT ambayo kama sio doctor huna access ya kuingia,huko ndio wanawasiliana na kujadili sana mipango yao.
Mwisho nataka nikuambie hivi kama wataamua hataogopa vitisho vya JK,maana ni ukweli usiopingika kwamba maisha yapo pia hata nje ya ajira za serikali.
 
wafukuze na madaktari bigwa wote kama wana jeuri, by the way wanapima upepo watawarudisha wote
 
nani wa kumlipia intern za nje?

Hivi unafikiri interns huwa hawalipwi?? Kama huwa hawalipwi unafikiri wanaingiaje kwenye mgogoro wa mishahara?? Kwa ufahamu wangu, maintern Namibia, Botswana au South Africa huwa wanalipwa mishahara kama wafanyakazi wengine na pay scale zao ziko kwenye salary structure ya serikali. Kwa mfano Namibia utakuta interns wa Kinamibia, Zimbabwe, Zambia, Kenya, Congo..... na hata kuna watanzania ambao wamefanya internship Namibia kabla ya kuajiliwa kama madaktari kamili.
 
na wakirudi si watafanya kazi si ndio?


Hivi wewe unaeza kwenda kutibiwa na daktari aliyerudishwa kazini kwa nguvu alafu ukawa kabisa na moyo kuwa utapona?

Lets wait and see! Nijuavyo mm kuna watu unaweza kuwalazimisha kufanya kazi kama wakulima and the likes lakini doctors I'm afraid.
 
Hivi wewe unaeza kwenda kutibiwa na daktari aliyerudishwa kazini kwa nguvu alafu ukawa kabisa na moyo kuwa utapona?

Lets wait and see! Nijuavyo mm kuna watu unaweza kuwalazimisha kufanya kazi kama wakulima and the likes lakini doctors I'm afraid.

Usiwasemee mi nawajua ma dr. hawana moyo wa kutu kiiivyo inapokuja swala la individual
 
Back
Top Bottom