Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,132
- 10,514
Miaka ya nyuma, sindano baada ya matumizi zilikuwa hazitupwi. Zikitumika zinachemshwa kwenye maji ya moto kama inavyoonekana pichani na baadaye hutumika kuchoma tena watu wengine. Sindano inatoka kwenye sufuria huku maji yakiwa moto balaa.
Nakumbuka kuna kipindi bro alikwenda shule na wakapewa chanjo walichomwa sindano moja darasa zima. Aliporudi alikuwa analia hatari akidai sindano ni ya moto kupita maelezo.
Siku hizi ni sindano moja mtu mmoja, ukishachomwa inatupwa. Unakumbuka wapi Muhenga?
Nakumbuka kuna kipindi bro alikwenda shule na wakapewa chanjo walichomwa sindano moja darasa zima. Aliporudi alikuwa analia hatari akidai sindano ni ya moto kupita maelezo.
Siku hizi ni sindano moja mtu mmoja, ukishachomwa inatupwa. Unakumbuka wapi Muhenga?