Muhammad sio mzao wa Ishamael

Muhammad sio mzao wa Ishamael

Mtu mzima na akili yako unakaa kuongelea ukoo na uzao wa jamii nyingine badala uzungumzie uzao wa kwenu.

Unakesha kufuatilia uzao wa mwanaume mwingine na ukoo wake ukiacha kufuatilia uzao wa mababu zako. Ama huyo Ibrahim alikua mwanaume kuliko babu yako?

Dini zimepumbaza sana waafrika.
Dini ni utumwa mkubwa sana kwa waafrika, na ni upumbavu!!
 
Labda niandike hivi ili unielewe vyema:

Pamoja na tabia zote za kiyahudi hatujawahi kusikia hata mara moja wakristo wakilaani wayahudi na kutaka waangamizwe, na wakristo wanakiri wazi kuwa misingi ya baraka za kiimani zinatokea kwa wayahudi, maana wanajua msingi wa imani yao na Mungu wanayemuabudu ana mizizi ya kiyahudi kwa 100%.
Hali ni tofauti kabisa kwa uislamu na mafundisho yote ya kiislamu ambayo yamejikita kuwalaani na kuwabeza wayahudi kwa karibu kila kitu huku yakiwahusudu waarabu.

Sasa yatakuwa maajabu makubwa mnoo, katika mazingira hayo tuambiwe Mohamad ana vinasaba vya kiyahudi.
Mafundisho haya ya Wakristo kuwaona Mayahudi hivyo wameyatoa wapi ?

Ashakum si matusi ila Wakristo ni vilaza sana.
 
Kusema Muhammad ana undugu na Ishmail mtoto wa Ibrahimu hiyo maana yake Mohammad ana asili ya kiyahudi. Hiyo ni kufuru kubwa sana katika uislamu.
Mimi nakupa miaka kumi, achilia mbali tu kwa Ismaili, uje ututhibitishie ya kuwa Yesu naye alikuwa ni Myahudi.
 
Ibrahimu hakuna Myahudi kijana. Hivi hizi habari huwa mnazipata wapi ?

Hapa nitakuuliza swali na ukisoma historia, inaonyesha wazi mpaka nabii Musa yuko hai Uyahudi kama dini ilikuwa haipo. Imekuja huko mbeleni japo tarehe haijadhibitiwa.
Neno uyahudi halimaanishi dini pekee.
 
Labda nikuulize swali
Akiwa familia ya Ishmael na asipokuwa familia hiyo inabadilisha nini?
Mbona mtume Mussa amefanya mengi tu na hutujawahi kutumia nguvu kufuatilia uzao wake?
Unavyosema technologia haidanganyi, kwani haujui walioweka hizo data kwenye technologia ni watu? Na kwa taarifa tu, watu wanaweka taarifa kwenye technologia wakikusudia kufikisha ujumbe wanao utaka na ndio sababu mara zote tunawakumbusha kuwa; Hadithi kwenye uislam ziliandikwa takriban miaka 600 baada ya muhamadi na zipo nyingi tu zimeandikwa na wasio waislam kwa lengo la kupotosha na ndio hizo mara nyingi wapotoshaji huzitumia....
Unajua lengo la mudi na wapambe wake kujisingizia ni uzao wa Ishmael,lengo hasa ni kujinasibisha na wayahudi ili wakubalike
 
orodha hyo hapo.mnatakanini tena
Hakuna Hadith Sahih ya moja kwa moja inayothibitisha nasaba ya Ismail

Hadith zinazotajwa mara nyingi ni za daraja la "mursal" au "dhaif" ambazo hazikidhi masharti ya usahihi. Kwa mfano:

"Allah chose Kinanah from among the children of Ishmael, and He chose Quraysh from among Kinanah, and He chose Banu Hashim from among Quraysh, and He chose me from among Banu Hashim."
(Muslim, Hadith 2276)



Hadith hii inaonyesha kuchaguliwa kwa ukoo, lakini haithibitishi silsila ya moja kwa moja hadi kwa Ismail, na baadhi ya wanazuoni wanasema ni Hadith ya ki-ibn 'Abbas au imetokana na wafuasi wake na si maneno ya Mtume moja kwa moja.
 
BADO UNA MASHAKA?
Hakuna Hadith Sahih ya moja kwa moja inayothibitisha nasaba ya Ismail

Hadith zinazotajwa mara nyingi ni za daraja la "mursal" au "dhaif" ambazo hazikidhi masharti ya usahihi. Kwa mfano:

"Allah chose Kinanah from among the children of Ishmael, and He chose Quraysh from among Kinanah, and He chose Banu Hashim from among Quraysh, and He chose me from among Banu Hashim."
(Muslim, Hadith 2276)



Hadith hii inaonyesha kuchaguliwa kwa ukoo, lakini haithibitishi silsila ya moja kwa moja hadi kwa Ismail, na baadhi ya wanazuoni wanasema ni Hadith ya ki-ibn 'Abbas au imetokana na wafuasi wake na si maneno ya Mtume moja kwa moja.
 
Hivi hao waislamu unaohangaika nao walikugongea mama yako bila kondomu? Yaani wewe kila ukiamka uislamu kila muda uislamu huoni aibu malaya wewe?
 
Hakuna Hadith Sahih ya moja kwa moja inayothibitisha nasaba ya Ismail

Hadith zinazotajwa mara nyingi ni za daraja la "mursal" au "dhaif" ambazo hazikidhi masharti ya usahihi. Kwa mfano:


(Muslim, Hadith 2276)



Hadith hii inaonyesha kuchaguliwa kwa ukoo, lakini haithibitishi silsila ya moja kwa moja hadi kwa Ismail, na baadhi ya wanazuoni wanasema ni Hadith ya ki-ibn 'Abbas au imetokana na wafuasi wake na si maneno ya Mtume moja kwa moja.
muslin sio sahihi?
una matatizo wewe
 
Hivi hao waislamu unaohangaika nao walikugongea mama yako bila kondomu? Yaani wewe kila ukiamka uislamu kila muda uislamu huoni aibu malaya wewe?
Madrasa mnafundishwa kutukana bila kujibu hoja
 
Unajua lengo la mudi na wapambe wake kujisingizia ni uzao wa Ishmael,lengo hasa ni kujinasibisha na wayahudi ili wakubalike
Mudi asili yake ni Muarabu na wala hajawahi kukataa hilo na anajulikana kama mtume (mwarabu), hiyo ya kufikiri kujinajibisha na wayahudi walio muasi Mungu mara kadhaa ni sifa, nafikiri ni mtazamo wako....
 
Back
Top Bottom