Muhammad sio mzao wa Ishamael

Muhammad sio mzao wa Ishamael

Kusema Muhammad ana undugu na Ishmail mtoto wa Ibrahimu hiyo maana yake Mohammad ana asili ya kiyahudi. Hiyo ni kufuru kubwa sana katika uislamu.
 
nimekuuliza adnan baba yake nani
Umeuliza swali ambalo wanazuoni wamelijibu vzr sana ,

Kwa mujibu wa riwaya nyingi za kihistoria, hasa zile zinazopatikana katika vitabu vya nasab (genealogy) vya waarabu, jina la baba wa Adnan mara nyingi hutajwa kuwa ni Ma‘add bin Adnan.

Muhammad bin Abdullah bin Abdul-Muttalib bin Hashim bin Abd Manaf bin Qusay bin Kilab bin Murrah bin Ka‘b bin Lu’ayy bin Ghalib bin Fihr bin Malik bin al-Nazr bin Kinana bin Khuzaymah bin Mudrikah bin Ilyas bin Mudar bin Nizar bin Ma‘add bin Adnan.

Maana yake ni kuwa:

Baba wa Adnan ni haijulikani kwa uhakika.

Mwana wa Adnan anayeaminika ni Ma‘add, ambaye ndiye chanzo cha ukoo wa Waarabu wa kaskazini (al-‘Arab al-Musta‘ribah).


Wanazuoni Wanasemaje kuhusu Baba wa Adnan?

1. Ibn Kathir anasema:

“Watu wamesimulia kwa wingi kuhusu waliokuwa juu ya Adnan, lakini hakuna cha kuaminika.”

2. Imam al-Tabari anawasilisha orodha ndefu ya vizazi vya juu ya Adnan, lakini anasema wazi kuwa:

“Simulizi hizo hazina ushahidi wa kusadikika.”

3. Imam Ibn Hajar al-Asqalani:

“Ma‘add ni mtoto pekee wa Adnan aliye thibitishwa.”

Ma‘add ni mwana wa Adnan anayekubalika kihistoria.

Baba wa Adnan hakujulikani kwa hakika, na hata kama kuna majina yanayotajwa kama Udad au Send, hayo ni ya kukisia tu na hayana dalili za hadith au sanad sahihi
 
Naona munafungua makanisa tu kila kukicha. Anyway haitusumbui since mtume wa Allah aliyatabiri haya. Cha kukushauri ni kwamba usiwe unasoma hadith na aayat kama vipeperushi vya bibilia vinavyohamasisha ushoga
 
kwa hyo kukaa kimya kwa wakristo juu ya uovu wa wayahudi ndo una ona wako sahihi?
Mada hapa ni historia ya mchongo kuhusu Ismail (myahudi) kuwa sehemu ya ukoo wa Mohammad (muarabu).
Mimi nikatoa logic ya kawaida kabisa kuwa, kwa namna uislamu na Muhammad alivyojenga chuki mbaya dhidi ya wahayudi yatakuwa ni maajabu makubwa yeye kuwa na asili ya uyahudi.

Upande wa pili, wakristo huwezi kusikia wakilaani wayahudi kwa sababu ya asili ya Imani ya kikristoe na Mungu wa kikristo kuwa na mizizi katika uyahudi pasipo kujali nini kibaya ambacho jamii za kiyahudi imewahi kukifanya dhidi ya ukristo, Yesu na mitume wake.
 
Kuangaika na kitu kinachoitwa riwaya sijui hadithi kunahitaji muda wa kupoteza.
 
Labda niandike hivi ili unielewe vyema:

Pamoja na tabia zote za kiyahudi hatujawahi kusikia hata mara moja wakristo wakilaani wayahudi na kutaka waangamizwe, na wakristo wanakiri wazi kuwa misingi ya baraka za kiimani zinatokea kwa wayahudi, maana wanajua msingi wa imani yao na Mungu wanayemuabudu ana mizizi ya kiyahudi kwa 100%.
Hali ni tofauti kabisa kwa uislamu na mafundisho yote ya kiislamu ambayo yamejikita kuwalaani na kuwabeza wayahudi kwa karibu kila kitu huku yakiwahusudu waarabu.

Sasa yatakuwa maajabu makubwa mnoo, katika mazingira hayo tuambiwe Mohamad ana vinasaba vya kiyahudi.
Hii naona ina make sense. Kuwa inakuaje tena mudy awe na uyahudi ndani yake
 
Mada hapa ni historia ya mchongo kuhusu Ismail (myahudi) kuwa sehemu ya ukoo wa Mohammad (muarabu).
Mimi nikatoa logic ya kawaida kabisa kuwa, kwa namna uislamu na Muhammad alivyojenga chuki mbaya dhidi ya wahayudi yatakuwa ni maajabu makubwa yeye kuwa na asili ya uyahudi.

Upande wa pili, wakristo huwezi kusikia wakilaani wayahudi kwa sababu ya asili ya Imani ya kikristoe na Mungu wa kikristo kuwa na mizizi katika uyahudi pasipo kujali nini kibaya ambacho jamii za kiyahudi imewahi kukifanya dhidi ya ukristo, Yesu na mitume wake.
muhammad hakujenga chuki.aliongea ukweli kuhusu tabia za wayahud
 
Naona munafungua makanisa tu kila kukicha. Anyway haitusumbui since mtume wa Allah aliyatabiri haya. Cha kukushauri ni kwamba usiwe unasoma hadith na aayat kama vipeperushi vya bibilia vinavyohamasisha ushoga

Ungeweka mchango wako hapa katika hii mada fikirishi kuliko mipasho. Wewe una uelewa gani katika hili suala uliyehamasishwa kuwa shoga. Unajua muhamad aliwanyonya watoto ulimi?
 
Umeuliza swali ambalo wanazuoni wamelijibu vzr sana ,

Kwa mujibu wa riwaya nyingi za kihistoria, hasa zile zinazopatikana katika vitabu vya nasab (genealogy) vya waarabu, jina la baba wa Adnan mara nyingi hutajwa kuwa ni Ma‘add bin Adnan.

Muhammad bin Abdullah bin Abdul-Muttalib bin Hashim bin Abd Manaf bin Qusay bin Kilab bin Murrah bin Ka‘b bin Lu’ayy bin Ghalib bin Fihr bin Malik bin al-Nazr bin Kinana bin Khuzaymah bin Mudrikah bin Ilyas bin Mudar bin Nizar bin Ma‘add bin Adnan.

Maana yake ni kuwa:

Baba wa Adnan ni haijulikani kwa uhakika.

Mwana wa Adnan anayeaminika ni Ma‘add, ambaye ndiye chanzo cha ukoo wa Waarabu wa kaskazini (al-‘Arab al-Musta‘ribah).


Wanazuoni Wanasemaje kuhusu Baba wa Adnan?

1. Ibn Kathir anasema:

“Watu wamesimulia kwa wingi kuhusu waliokuwa juu ya Adnan, lakini hakuna cha kuaminika.”

2. Imam al-Tabari anawasilisha orodha ndefu ya vizazi vya juu ya Adnan, lakini anasema wazi kuwa:

“Simulizi hizo hazina ushahidi wa kusadikika.”

3. Imam Ibn Hajar al-Asqalani:

“Ma‘add ni mtoto pekee wa Adnan aliye thibitishwa.”

Ma‘add ni mwana wa Adnan anayekubalika kihistoria.

Baba wa Adnan hakujulikani kwa hakika, na hata kama kuna majina yanayotajwa kama Udad au Send, hayo ni ya kukisia tu na hayana dalili za hadith au sanad sahihi
sasa baba yake adnan umewwkewa wewe una kataa.tukueleweje!?
 
muhammad hakujenga chuki.aliongea ukweli kuhusu tabia za wayahud
Kwa hiyo Mohammad alisema ukweli kuhusu tabia za wayahudi akiwa kama nani?
Kama sehemu ya wayahudi au waarabu?
Kusema ukweli wa tabia za watu ni kuagiza watu wale waangamizwe popote?
Mohammad alisema hayo akiwa amesahau kuwa naye ni myahudi?

Logic iko wapi?
 
Uislamu ni dini ILIYOJENGWA Kwa propaganda kubwa sana, kila fundisho kwenye uislamu msingi wake ni propaganda yenye kujinasibisha na kizazi cha Uyahudi na manabii wake ,

Shukrani kwa Teknolojia ,kila kitu kinazidi kuwekwa wazi, moja ya propaganda ya Uislamu iliyomezeshwa kwa wengi Hadi wakristo wengine wanaamini ni hii ya kusema Muhammad ni uzao wa Ishmael,

Je, Mtume Muhammad ni mzao wa Ismail?

Kuna imani maarufu miongoni mwa Waislamu kuwa Mtume Muhammad ﷺ ni mzao wa Ismail bin Ibrahim, kupitia kizazi cha Adnan. Hata hivyo, ushahidi wa kihistoria na wa hadith unaonyesha kuwa Mtume mwenyewe hakuwahi kuthibitisha uhusiano huo wa nasaba, na badala yake alionyesha tahadhari kubwa juu ya madai hayo.


Mtume Muhammad ﷺ alinukuliwa akisema:




Kauli hii inaonyesha wazi kuwa Mtume alikataa kujihusisha na madai ya ukoo unaopita Adnan, akiwaita waongo wale wanaodai kufahamu nasaba hiyo hadi Ismail.

Leo waislamu wametengeneza Hadi family tree za uongo nyingi zinazoonesha kuanzia ibrahimu Hadi Muhammad,

Hii ni kauli nzito inayobomoa msingi wa dai la moja kwa moja la ukoo wa Ismail hadi kwa Muhammad.


Wanazuoni wa zamani pia walikuwa waangalifu juu ya suala hili. Imam Malik, mmoja wa wanazuoni wakubwa wa fiqh wa Madina, alinukuliwa akisema:




Hii inaonesha kuwa hata katika karne za mwanzo za Uislamu, hoja ya ukoo wa Muhammad hadi kwa Ismail haikuchukuliwa kwa uzito wa kihistoria bali ilikuwa dhana ya kiimani.


Wanahistoria wa Kiislamu kama Ibn Khaldun pia walisisitiza tahadhari. Ibn Khaldun aliandika:




Wengine kama Ibn Sa'd waliorodhesha nasaba ya Mtume kwa tahadhari kubwa hadi Adnan tu, na walipoelekezwa kuuliza zaidi, walikataa:




Kwa hivyo, tunaona wazi kuwa tofauti na madai ya kisasa, Mtume mwenyewe hakutumia hadhi ya kizazi cha Ismail kama uthibitisho wa utume wake, bali alitegemea wahyi alipowe kule mapangoni na kumbe cha ajabu ,na kubashiriwa utume na Padre Waraq na bi Khadija kama msingi wa mamlaka yake ya kiroho.


Ikumbukwe pia kuwa Qur’an haijawahi kutamka moja kwa moja kuwa Muhammad ni mzao wa Ismail. Badala yake, Qur’an imemueleza Muhammad kama Nabii wa mwisho, mjumbe kwa Waarabu, na rehema kwa walimwengu wote, bila kulazimisha kuhusiana kwa nasaba na Ibrahim au Ismail.(Fundisho la kuwa Muhammad ni uzao wa Ishamael ni wahuni wachache walikaa wakabuni ili dini ya Uislamu ikubalike ,na kwakweli hii propaganda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa)


Tafakuri ya kina inaonyesha kuwa dhana ya Muhammad kutoka kwa Ismail ilijengwa baadaye ili kuwapa Waarabu msingi wa kihistoria katika dini mpya. Hili lilikuwa jambo la kisiasa pia kuonyesha kuwa Waarabu nao wana nafasi katika urithi wa Ibrahim, ambaye Wayahudi na Wakristo walimdai kama wa kwao.


Katika muktadha huo, hoja ya ukoo ikawa si suala la ukweli wa kihistoria, bali silaha ya kisiasa na kimbilio la utambulisho wa kikabila. Kwa sababu hiyo, Mtume akawa makini asikubali kubebwa na maelezo ya kihistoria yasiyo na msingi wa hakika.



Kwa hiyo, msingi wa utume wa Muhammad haukujengwa juu ya damu au ukoo wa kifalme wa kinabii, bali juu ya wahyi wa kiume cha ajabu kule mapangoni,Waraq na bi Khadija Na kama Mtume mwenyewe hakujigamba kwa ukoo wala kutaja Ismail, basi hatuna sababu ya kuendeleza hizi propaganda kama hoja ya msingi katika imani.

Nimekuwa nikiona wakristo wengi wakibebwa na huu UPOTOSHAJI ,ukweli ni kwamba Ishamael sio baba wa waarabu kama propaganda zinavyosema ,na kumezeshwa ,


Ukweli huu unapaswa kufungua milango ya tafakuri mpya kwa Waislamu wa sasa,ambao wamekuwa wakimezeshwa uongo


TEKNOLOJIA IMEKUJA KUWEKA UCHI UISLAMU

Wagalatia mmeshagundua kuwa hamuna hoja za kushindana na Quran kuhusu uislam maana Quran ndio kiboko ya makafiri

Badala yake Sasa mnatafuta tafuta hoja kutoka katika riwaya za watu Ili muendelee kudanganyana

Kwa kuwa mmezoea kudanganyana endeleeni maana huko katika riwaya ndio maala pake Kwa wanaopenda kudanganyana
 
Kazi ya Quran ni kuwatakasa manabii wa Mungu

Nyinyi wagalatia jinsi ambavyo mlikuwa mnamtukana na kumkejeli nabii Ishmael Leo hi amekuwa keki kwenu?

Nyinyi simlifundishwa kanisani kuwa Ishmael ni mtoto wa nje ya ndoa

Sasa Kuna shida gani kama mtume Muhammad ametokana na Uzao wa Ishmael ambaye nyinyi wagalatia kwenu ni mtoto wa nje ndoa wa nabii Ibrahim

Mmedanganywa sana na bado mnaendelea kudanganyana
 
Mtu mzima na akili yako unakaa kuongelea ukoo na uzao wa jamii nyingine badala uzungumzie uzao wa kwenu.

Unakesha kufuatilia uzao wa mwanaume mwingine na ukoo wake ukiacha kufuatilia uzao wa mababu zako. Ama huyo Ibrahim alikua mwanaume kuliko babu yako?

Dini zimepumbaza sana waafrika.
 
Kumbe Muhamadi alikuwa Myahudi..!
Basi Mwenyezi Mungu na amuangamize, aligeuzwa namna gani huyu!
.............
[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu.
Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu.
Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao.
Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao.
Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
.............
{Eti ndio wahayi huo, wakati ni maneno ya kujitungia tu ya Muhammadi, hapo anamlaani hadi Yesu mwenyewe}
Alaf kuna mamilioni ya watu wanamwamini
 
Kazi ya Quran ni kuwatakasa manabii wa Mungu

Nyinyi wagalatia jinsi ambavyo mlikuwa mnamtukana na kumkejeli nabii Ishmael Leo hi amekuwa keki kwenu?

Nyinyi simlifundishwa kanisani kuwa Ishmael ni mtoto wa nje ya ndoa

Sasa Kuna shida gani kama mtume Muhammad ametokana na Uzao wa Ishmael ambaye nyinyi wagalatia kwenu ni mtoto wa nje ndoa wa nabii Ibrahim

Mmedanganywa sana na bado mnaendelea kudanganyana
Acha porojo,huna hoja
 
Back
Top Bottom