Muhammad sio mzao wa Ishamael

Muhammad sio mzao wa Ishamael

sasa baba yake adnan umewwkewa wewe una kataa.tukueleweje!?
Nimewekewa na Nan?

Ibn kathir , Muhammad na wanazuoni wanakataa

Wewe mmatumbi unamtoa wap baba yake Adnan?
 
Nasaba ya Yesu ni hakika iliyothibitishwa kihistoria na kiimani. Imeandikwa kwa uangalifu mkubwa, ndani ya maandiko yanayoaminika (Biblia), na kuthibitishwa na mila za Wayahudi ambazo zilikuwa makini sana katika kutunza vizazi. Tofauti na wengine, Yesu ndiye pekee ambaye kizazi chake kimewekwa kwa ukamilifu kutoka Adamu hadi kwake, na kuthibitishwa kama Masihi aliyeahidiwa. Hakuna mfano mwingine kama huu katika historia ya dini kuu.

Ukitafuta nasaba iliyo salama, iliyohifadhiwa, na yenye maana kiimani basi ni ya Yesu tu.
Huyu Yesu aliye na baba wawili Kama biblia ilivyoandika
 
Uislamu ni dini ILIYOJENGWA Kwa propaganda kubwa sana, kila fundisho kwenye uislamu msingi wake ni propaganda yenye kujinasibisha na kizazi cha Uyahudi na manabii wake ,

Shukrani kwa Teknolojia ,kila kitu kinazidi kuwekwa wazi, moja ya propaganda ya Uislamu iliyomezeshwa kwa wengi Hadi wakristo wengine wanaamini ni hii ya kusema Muhammad ni uzao wa Ishmael,

Je, Mtume Muhammad ni mzao wa Ismail?

Kuna imani maarufu miongoni mwa Waislamu kuwa Mtume Muhammad ﷺ ni mzao wa Ismail bin Ibrahim, kupitia kizazi cha Adnan. Hata hivyo, ushahidi wa kihistoria na wa hadith unaonyesha kuwa Mtume mwenyewe hakuwahi kuthibitisha uhusiano huo wa nasaba, na badala yake alionyesha tahadhari kubwa juu ya madai hayo.


Mtume Muhammad ﷺ alinukuliwa akisema:




Kauli hii inaonyesha wazi kuwa Mtume alikataa kujihusisha na madai ya ukoo unaopita Adnan, akiwaita waongo wale wanaodai kufahamu nasaba hiyo hadi Ismail.

Leo waislamu wametengeneza Hadi family tree za uongo nyingi zinazoonesha kuanzia ibrahimu Hadi Muhammad,

Hii ni kauli nzito inayobomoa msingi wa dai la moja kwa moja la ukoo wa Ismail hadi kwa Muhammad.


Wanazuoni wa zamani pia walikuwa waangalifu juu ya suala hili. Imam Malik, mmoja wa wanazuoni wakubwa wa fiqh wa Madina, alinukuliwa akisema:




Hii inaonesha kuwa hata katika karne za mwanzo za Uislamu, hoja ya ukoo wa Muhammad hadi kwa Ismail haikuchukuliwa kwa uzito wa kihistoria bali ilikuwa dhana ya kiimani.


Wanahistoria wa Kiislamu kama Ibn Khaldun pia walisisitiza tahadhari. Ibn Khaldun aliandika:




Wengine kama Ibn Sa'd waliorodhesha nasaba ya Mtume kwa tahadhari kubwa hadi Adnan tu, na walipoelekezwa kuuliza zaidi, walikataa:




Kwa hivyo, tunaona wazi kuwa tofauti na madai ya kisasa, Mtume mwenyewe hakutumia hadhi ya kizazi cha Ismail kama uthibitisho wa utume wake, bali alitegemea wahyi alipowe kule mapangoni na kumbe cha ajabu ,na kubashiriwa utume na Padre Waraq na bi Khadija kama msingi wa mamlaka yake ya kiroho.


Ikumbukwe pia kuwa Qur’an haijawahi kutamka moja kwa moja kuwa Muhammad ni mzao wa Ismail. Badala yake, Qur’an imemueleza Muhammad kama Nabii wa mwisho, mjumbe kwa Waarabu, na rehema kwa walimwengu wote, bila kulazimisha kuhusiana kwa nasaba na Ibrahim au Ismail.(Fundisho la kuwa Muhammad ni uzao wa Ishamael ni wahuni wachache walikaa wakabuni ili dini ya Uislamu ikubalike ,na kwakweli hii propaganda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa)


Tafakuri ya kina inaonyesha kuwa dhana ya Muhammad kutoka kwa Ismail ilijengwa baadaye ili kuwapa Waarabu msingi wa kihistoria katika dini mpya. Hili lilikuwa jambo la kisiasa pia kuonyesha kuwa Waarabu nao wana nafasi katika urithi wa Ibrahim, ambaye Wayahudi na Wakristo walimdai kama wa kwao.


Katika muktadha huo, hoja ya ukoo ikawa si suala la ukweli wa kihistoria, bali silaha ya kisiasa na kimbilio la utambulisho wa kikabila. Kwa sababu hiyo, Mtume akawa makini asikubali kubebwa na maelezo ya kihistoria yasiyo na msingi wa hakika.



Kwa hiyo, msingi wa utume wa Muhammad haukujengwa juu ya damu au ukoo wa kifalme wa kinabii, bali juu ya wahyi wa kiume cha ajabu kule mapangoni,Waraq na bi Khadija Na kama Mtume mwenyewe hakujigamba kwa ukoo wala kutaja Ismail, basi hatuna sababu ya kuendeleza hizi propaganda kama hoja ya msingi katika imani.

Nimekuwa nikiona wakristo wengi wakibebwa na huu UPOTOSHAJI ,ukweli ni kwamba Ishamael sio baba wa waarabu kama propaganda zinavyosema ,na kumezeshwa ,


Ukweli huu unapaswa kufungua milango ya tafakuri mpya kwa Waislamu wa sasa,ambao wamekuwa wakimezeshwa uongo


TEKNOLOJIA IMEKUJA KUWEKA UCHI UISLAMU
Hii ntaisoma baadae
 
Mada hapa ni historia ya mchongo kuhusu Ismail (myahudi) kuwa sehemu ya ukoo wa Mohammad (muarabu).
Mimi nikatoa logic ya kawaida kabisa kuwa, kwa namna uislamu na Muhammad alivyojenga chuki mbaya dhidi ya wahayudi yatakuwa ni maajabu makubwa yeye kuwa na asili ya uyahudi.

Upande wa pili, wakristo huwezi kusikia wakilaani wayahudi kwa sababu ya asili ya Imani ya kikristoe na Mungu wa kikristo kuwa na mizizi katika uyahudi pasipo kujali nini kibaya ambacho jamii za kiyahudi imewahi kukifanya dhidi ya ukristo, Yesu na mitume wake.
orodha hyo hapo.mnatakanini tena
 

Attachments

  • Screenshot_20250506-062109.png
    Screenshot_20250506-062109.png
    82.1 KB · Views: 14
Wayahudi wanamwita Yesu ni zao la zinaa. Wayahudi ndio walimua walimuua Yesu kwa kifo cha fedheha. Wayahudi ndio walivuruga maadiko ya Injili kwa makusudi ili kuanzisha dini ya Ukiristo ambayo yesu wala haijui wala hakuifundisha. Wayahudi ndio walianzisha makanisa ambayo hata yesu hayajui wala hakuwahi kujenga hata moja.
 
Wayahudi wanamwita Yesu ni zao la zinaa. Wayahudi ndio walimua walimuua Yesu kwa kifo cha fedheha. Wayahudi ndio walivuruga maadiko ya Injili kwa makusudi ili kuanzisha dini ya Ukiristo ambayo yesu wala haijui wala hakuifundisha. Wayahudi ndio walianzisha makanisa ambayo hata yesu hayajui wala hakuwahi kujenga hata moja.
Marko (Mar) 9:41
Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.

For whosoever shall give you a cup of water to drink in my name, because ye belong to Christ, verily I say unto you, he shall not lose his reward.
 
Marko (Mar) 9:41
Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.

For whosoever shall give you a cup of water to drink in my name, because ye belong to Christ, verily I say unto you, he shall not lose his reward.
Maneno ya Marko
 
Yeau ukoo wake ni upi?? Maana hakua na baba
 

Attachments

  • Screenshot_20250506-134518.png
    Screenshot_20250506-134518.png
    103 KB · Views: 13
  • Screenshot_20250506-134729.png
    Screenshot_20250506-134729.png
    96.3 KB · Views: 17
  • Screenshot_20250506-134805.png
    Screenshot_20250506-134805.png
    97.8 KB · Views: 10
Uislamu ni dini ILIYOJENGWA Kwa propaganda kubwa sana, kila fundisho kwenye uislamu msingi wake ni propaganda yenye kujinasibisha na kizazi cha Uyahudi na manabii wake ,
Wewe si juzi tu ulituambia kwamba UISLAMU ni mradi wa wakatoliki ? Tushike lipi ?

Kingine Uyahudi ni dini, hakuna nabii ambaye alikuwa Myahudi.
 
Nasaba ya Yesu ni hakika iliyothibitishwa kihistoria na kiimani. Imeandikwa kwa uangalifu mkubwa, ndani ya maandiko yanayoaminika (Biblia), na kuthibitishwa na mila za Wayahudi ambazo zilikuwa makini sana katika kutunza vizazi. Tofauti na wengine, Yesu ndiye pekee ambaye kizazi chake kimewekwa kwa ukamilifu kutoka Adamu hadi kwake, na kuthibitishwa kama Masihi aliyeahidiwa. Hakuna mfano mwingine kama huu katika historia ya dini kuu.

Ukitafuta nasaba iliyo salama, iliyohifadhiwa, na yenye maana kiimani basi ni ya Yesu tu.

Biblia mnaiamini nyinyi. Halafu kwanini Wakristo mnapenda kujinasibu na Mayahudi ? Au kwa sababu ni makafiri wenzenu au ?
 
Uislamu ni dini ILIYOJENGWA Kwa propaganda kubwa sana, kila fundisho kwenye uislamu msingi wake ni propaganda yenye kujinasibisha na kizazi cha Uyahudi na manabii wake ,

Shukrani kwa Teknolojia ,kila kitu kinazidi kuwekwa wazi, moja ya propaganda ya Uislamu iliyomezeshwa kwa wengi Hadi wakristo wengine wanaamini ni hii ya kusema Muhammad ni uzao wa Ishmael,

Je, Mtume Muhammad ni mzao wa Ismail?

Kuna imani maarufu miongoni mwa Waislamu kuwa Mtume Muhammad ﷺ ni mzao wa Ismail bin Ibrahim, kupitia kizazi cha Adnan. Hata hivyo, ushahidi wa kihistoria na wa hadith unaonyesha kuwa Mtume mwenyewe hakuwahi kuthibitisha uhusiano huo wa nasaba, na badala yake alionyesha tahadhari kubwa juu ya madai hayo.


Mtume Muhammad ﷺ alinukuliwa akisema:




Kauli hii inaonyesha wazi kuwa Mtume alikataa kujihusisha na madai ya ukoo unaopita Adnan, akiwaita waongo wale wanaodai kufahamu nasaba hiyo hadi Ismail.

Leo waislamu wametengeneza Hadi family tree za uongo nyingi zinazoonesha kuanzia ibrahimu Hadi Muhammad,

Hii ni kauli nzito inayobomoa msingi wa dai la moja kwa moja la ukoo wa Ismail hadi kwa Muhammad.


Wanazuoni wa zamani pia walikuwa waangalifu juu ya suala hili. Imam Malik, mmoja wa wanazuoni wakubwa wa fiqh wa Madina, alinukuliwa akisema:




Hii inaonesha kuwa hata katika karne za mwanzo za Uislamu, hoja ya ukoo wa Muhammad hadi kwa Ismail haikuchukuliwa kwa uzito wa kihistoria bali ilikuwa dhana ya kiimani.


Wanahistoria wa Kiislamu kama Ibn Khaldun pia walisisitiza tahadhari. Ibn Khaldun aliandika:




Wengine kama Ibn Sa'd waliorodhesha nasaba ya Mtume kwa tahadhari kubwa hadi Adnan tu, na walipoelekezwa kuuliza zaidi, walikataa:




Kwa hivyo, tunaona wazi kuwa tofauti na madai ya kisasa, Mtume mwenyewe hakutumia hadhi ya kizazi cha Ismail kama uthibitisho wa utume wake, bali alitegemea wahyi alipowe kule mapangoni na kumbe cha ajabu ,na kubashiriwa utume na Padre Waraq na bi Khadija kama msingi wa mamlaka yake ya kiroho.


Ikumbukwe pia kuwa Qur’an haijawahi kutamka moja kwa moja kuwa Muhammad ni mzao wa Ismail. Badala yake, Qur’an imemueleza Muhammad kama Nabii wa mwisho, mjumbe kwa Waarabu, na rehema kwa walimwengu wote, bila kulazimisha kuhusiana kwa nasaba na Ibrahim au Ismail.(Fundisho la kuwa Muhammad ni uzao wa Ishamael ni wahuni wachache walikaa wakabuni ili dini ya Uislamu ikubalike ,na kwakweli hii propaganda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa)


Tafakuri ya kina inaonyesha kuwa dhana ya Muhammad kutoka kwa Ismail ilijengwa baadaye ili kuwapa Waarabu msingi wa kihistoria katika dini mpya. Hili lilikuwa jambo la kisiasa pia kuonyesha kuwa Waarabu nao wana nafasi katika urithi wa Ibrahim, ambaye Wayahudi na Wakristo walimdai kama wa kwao.


Katika muktadha huo, hoja ya ukoo ikawa si suala la ukweli wa kihistoria, bali silaha ya kisiasa na kimbilio la utambulisho wa kikabila. Kwa sababu hiyo, Mtume akawa makini asikubali kubebwa na maelezo ya kihistoria yasiyo na msingi wa hakika.



Kwa hiyo, msingi wa utume wa Muhammad haukujengwa juu ya damu au ukoo wa kifalme wa kinabii, bali juu ya wahyi wa kiume cha ajabu kule mapangoni,Waraq na bi Khadija Na kama Mtume mwenyewe hakujigamba kwa ukoo wala kutaja Ismail, basi hatuna sababu ya kuendeleza hizi propaganda kama hoja ya msingi katika imani.

Nimekuwa nikiona wakristo wengi wakibebwa na huu UPOTOSHAJI ,ukweli ni kwamba Ishamael sio baba wa waarabu kama propaganda zinavyosema ,na kumezeshwa ,


Ukweli huu unapaswa kufungua milango ya tafakuri mpya kwa Waislamu wa sasa,ambao wamekuwa wakimezeshwa uongo


TEKNOLOJIA IMEKUJA KUWEKA UCHI UISLAMU
Kingine ujifunze namna nzuri ya kunukuu habari. Jitahidi kuweka mpaka kurasa za vitabu husika, majina ya waandishi, jina la kitabu, kadhalika namba ya hadithi.
 
Wewe si juzi tu ulituambia kwamba UISLAMU ni mradi wa wakatoliki ? Tushike lipi ?

Kingine Uyahudi ni dini, hakuna nabii ambaye alikuwa Myahudi.
Unaona ulivyo hutumii akili,

Uislamu imejengwa kwa propaganda

WALIO injinia ni wakatoliki hata hiyo Quran ni kazi yao,nitaleta ushahidi nipo naandaa makala
 
Back
Top Bottom