Namkubali sana na yule wa S.A Jackob Zuma aliyesemaga hakuna Ukimwi watu wapige kavu(mnofu mnofu)Asee mugabe kiboko
Hii kiboko
Mkuu mm huwa naona ni mwenyewe maana huyu Mzee anaonekana anakilli sana!Hebu tujiulize kidogo, hizi ni quotes halisia toka kwa Mugabe maana nyingi zipo kikuda sana. Hapa nahisi zimetengenezwa na wabongo kwa ajili ya kufurahisha tu.
Sure!!!! Sijawahi amin hata siku moja kwamba huyu ni MugabeHebu tujiulize kidogo, hizi ni quotes halisia toka kwa Mugabe maana nyingi zipo kikuda sana. Hapa nahisi zimetengenezwa na wabongo kwa ajili ya kufurahisha tu.