technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Kiongozi wa dini anaweza kuita watu mijitu pumbavu zakeEti hawa ndio viongozi wa dini!!
Kiongozi wa dini anaweza kuita watu mijitu pumbavu zakeEti hawa ndio viongozi wa dini!!
Upo hai?Kiongozi wa dini anaweza kuita watu mijitu pumbavu zake
Sasa utamfananisha idd Amin na jpm.jpm ni hayati tayari kwa nn madhehebu ya dini,Christian plus Muslim ,wakubaliane kufanya ibada ya pamoja !?,hivi viongozi wote wa dini ni mazwazwa !!?Unamkumbuka Idd Amin?
Nadhani mijitu ni watu wasiokuwa na shukrani.Mufti jifunze lugha ya kistaarabu "mijitu " maana yake nini?
Huyo ni kibaraka wa shetani na sio kiongozi wa dini.Kiongozi wa dini anaweza kuita watu mijitu pumbavu zake
Mkuu hebu twende pamoja. Kiongozi wa Dini kuwaita baadhi ya Waumini wake au Binadamu wenzie MIJITU tena wakati huu wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kwako wewe ni poa tu siyo??M
Nataka viongozi wa dini waseme mnachotaka kusikia, kile msichotaka kusikia wakisema wanakua sio viongozi wa dini.
Lazima tuwe jamii ya kukubali kusikia tusiotaka kusikia. Sio kila siku kusikia tunayotaka kusikia.
Hao viongozi wa dini ni binadamu, wana hisia, wana mitanzamo yao pia. Tusikilize na mitazamo yao.
Hatuwezi kua tunataka nchi yenye watu wenye mawazo yanayofanana muda wote. Viongozi wote wawe kama Bagonza, haiwezekani, Bagonza ni Bagonza na Mufti simba ni Mufti Simba.
Hata yesu/nabii issah aliwahi tamka neno wapumbavu,hivyo nae nabii issah unamuweka kundi gani!?Huyo ni kibaraka wa shetani na sio kiongozi wa dini.
Mkuu hebu twende pamoja. Kiongozi wa Dini kuwaita baadhi ya Waumini wake au Binadamu wenzie MIJITU tena wakati huu wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kwako wewe ni poa tu
Acha kumsemea marehemu. Nadhani familia ina msemaji wakeAcheni kutumia nguvu kumchafua hayati Magifuli.
Unapotaka kuwa na mitazamo yako ni lazima ujiondoe kwanza kwenye mamlaka yako na uelezee maoni binafsi ila unapokuwa na kofia inayokubeba unaaminiwa kwamba ni maoni ya watu unaowaongoza na sio mitazamo binafsiM
Nataka viongozi wa dini waseme mnachotaka kusikia, kile msichotaka kusikia wakisema wanakua sio viongozi wa dini.
Lazima tuwe jamii ya kukubali kusikia tusiotaka kusikia. Sio kila siku kusikia tunayotaka kusikia.
Hao viongozi wa dini ni binadamu, wana hisia, wana mitanzamo yao pia. Tusikilize na mitazamo yao.
Hatuwezi kua tunataka nchi yenye watu wenye mawazo yanayofanana muda wote. Viongozi wote wawe kama Bagonza, haiwezekani, Bagonza ni Bagonza na Mufti simba ni Mufti Simba.
Ndio mimiAcha kumsemea marehemu. Nadhani familia ina msemaji wake
Kuwa wewe basi,si unataka tu waseme mnayopenda kuyasikia😅Eti hawa ndio viongozi wa dini!!
Jizi la kura la liuaji, acha kunajisi neno masiha na malevi ya madaraka.Jpm alikuwa masiha wa kizazi hiki
Lisu alikuwa wakala wa MIGA
Walishindwa kumchafua alipokuwa hai, haitowezekana hivi sasa.Historia zinaandikwa mkuu hata wanaozaliwa sasa wataambiwa, mnaona Umeme, Reli, Ndege, madaraja namengine mengi kwamba kulikuwa na mtu anaitwa magu ambae alifanya maamuzi magumu katika muda mfupisana chini ya miaka mitano kuliinua taifa, na Rais wa kwanza mwanamke akamalizia kazimnazoniona leo.
Hawa wachumiatumbo wanajaribu tu kumchafua lakini wanajua wazi wana fanya vitendo vya aibu tu.
Kunywa maji upunguze hizo jazba, JPm alikuwa mkombozi wa Taifa hili. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kushawishika na huo be uzushi wenu.Jizi la kura la liuaji, acha kunajisi neno masiha na malevi ya madaraka.
Ni mijitu ndio, watu wa hovyo.Mkuu hebu twende pamoja. Kiongozi wa Dini kuwaita baadhi ya Waumini wake au Binadamu wenzie MIJITU tena wakati huu wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kwako wewe ni poa tu siyo??
Anajiondoaje, aache utumishi wake?unapotaka kuwa na mitazamo yako nilazima ujiondoe kwanza kwenye mamlaka yako na uelezee maoni binafsi ila unapokuwa na kofia inayokubeba unaaminiwa kwamba ni maoni ya watu unaowaongoza na sio mitazamo binafsi