Mufti: Mwezi haujaandama, Machi 20 tunakamilisha Ramadhani 30

Mufti: Mwezi haujaandama, Machi 20 tunakamilisha Ramadhani 30

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
10,074
Reaction score
14,718
Wana Jamvi kwa Mujibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar ni Kwamba Mwezi haujaandama kama haujaandama maana yake leo ni Ramadhani 29 hivyo kesho zinakamilika Ramadhani 30 na Jumamosi itakua Shawal 1, 1447.

As it stands Leo Ramadhani inaendelea na Ibada ya Taraweh itakuepo kama kawaida




91877eea-d998-4f81-a557-3141c6b6b129.jpeg
 
Wana Jamvi kwa Mujibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar ni Kwamba Mwezi haujaandama kama haujaandama maana yake leo ni Ramadhani 29 hivyo kesho zinakamilika Ramadhani 30 na Jumamosi itakua Shawal 1, 1447.

As it stands Leo Ramadhani inaendelea na Ibada ya Taraweh itakuepo kama kawaida
I.knew this earlier, hii sikukuu ni ya mufti. Akishakaa na wahindi akahongwa baasi. Kesho.kazini no overtime ah ah aha ha ah a a
 
Wana Jamvi kwa Mujibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar ni Kwamba Mwezi haujaandama kama haujaandama maana yake leo ni Ramadhani 29 hivyo kesho zinakamilika Ramadhani 30 na Jumamosi itakua Shawal 1, 1447.

As it stands Leo Ramadhani inaendelea na Ibada ya Taraweh itakuepo kama kawaida
Upuuzi kabisa
 
Wana Jamvi kwa Mujibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar ni Kwamba Mwezi haujaandama kama haujaandama maana yake leo ni Ramadhani 29 hivyo kesho zinakamilika Ramadhani 30 na Jumamosi itakua Shawal 1, 1447.

As it stands Leo Ramadhani inaendelea na Ibada ya Taraweh itakuepo kama kawaida
Tulijua tu BAKWATA haijawahi kua upande wa ukweli kwenye Dini ni siasa tupu.
 
Wana Jamvi kwa Mujibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar ni Kwamba Mwezi haujaandama kama haujaandama maana yake leo ni Ramadhani 29 hivyo kesho zinakamilika Ramadhani 30 na Jumamosi itakua Shawal 1, 1447.

As it stands Leo Ramadhani inaendelea na Ibada ya Taraweh itakuepo kama kawaida
Siku zote huwa mbele ya tarehe wanayotegemea
 
Mufti wa Tanzania Sheikh Dr. Abubakar Zubeir bin Ally Mbwana ametangaza mwezi haujaandama leo Tarehe 19 Machi 2026 sawa na Ramadhani ya 29. Hivyo kesho tarehe 20 Machi tunakamilisha Ramadhani 30, Eid el Fitri 21 Machi

IMG_1256.jpeg
 
Huyu Mufti kila msimu ni yeye tu hauoni mwezi au ana matatizo ya macho?

Maana unakuta huko nchi za wenzetu wametangaza Eid ila huyu wa huku kwetu tuliyempa dhamana ya kutuangalizia huo mwezi ni kama anajisahau majukumu yake?

Ndugu zangu waislamu katika Imani tunakubaliana na huyu refa na uamuzi wake kuwa V.A.R imesema no goal?

Hii ya leo hapana mazee tusimpe excuses, sisi kesho hatufungi bana litakalo kuwa na liwe.
 
Back
Top Bottom