JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,177
- 7,472
Mufti amesema hawezi zungumza mambo yote kwenye Vyombo vya habari ila moja ya anachokumbuka ni Wakati wa uapisho wa Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli ambapo Kardinali Polycarp pengo alikuwa akimpa ' "Bodyguard " wake kumsindikiza na kumsubiria.
CHANZO: TORCHMEDIATZ