Mufti ataka Waislamu kuwekeza katika elimu zaidi

Status
Not open for further replies.
Media Tanzania yale yaleeee

Huyu hana dhamana ya kuwasemea waislam wote Tanzania

huyu ni sheikh mkuu wa BAKWATA na constituency yake iko confined kwa hao hao

Kama angekuwa ni Sheikh Mkuu wa Tanzania mbona hajajibu kitu kuhusu WARAKA wa waislam ambao uko kwenye public domain?

Tatizo hapa ni kwa sababu the man has no meaningful education ya kuweza kusimama kwenye public domain na kujibu hoja. Infact Form 4 hakufika, na hicho Kiarabu inasemekana hajui...na media wanalijua hilo na wanazidi kumpandisha cheo kuwa ndio public face of Muslims in Tanzania. Its like claiming mtu kama vile KAKOBE ndio kiongozi mkuu wa waksristo Tanzania

This is pathetic.

Kukimbilia personal details za mtu... kwamba hana elimu ya kutosha, nk., ni dalili ya kutokuwa na hoja. chambua kilicholetwa jamvini, usikimbilie yale unayoona hajayafanya, ili kufuta yale aliyofanya! kuimarisha elimu ni hoja nzito sana na kama unaweza kupinga hoja kama hiyo, ndugu yangu pole sana. hata kama una differ na mtu fulani katika mambo fulani, mpongeze akifanya jambo jema. huo ndio u-great thinker
 
Media Tanzania yale yaleeee

Huyu hana dhamana ya kuwasemea waislam wote Tanzania

huyu ni sheikh mkuu wa BAKWATA na constituency yake iko confined kwa hao hao

Kama angekuwa ni Sheikh Mkuu wa Tanzania mbona hajajibu kitu kuhusu WARAKA wa waislam ambao uko kwenye public domain?

Tatizo hapa ni kwa sababu the man has no meaningful education ya kuweza kusimama kwenye public domain na kujibu hoja. Infact Form 4 hakufika, na hicho Kiarabu inasemekana hajui...na media wanalijua hilo na wanazidi kumpandisha cheo kuwa ndio public face of Muslims in Tanzania. Its like claiming mtu kama vile KAKOBE ndio kiongozi mkuu wa waksristo Tanzania

This is pathetic.

sasa nani mwenye dhamana? hapo ndipo dini zinapochosha watu!! bora upagani, you live as it pleases you and the community.
Hivi BAKWATA ni dhehebu au association/council maana umefananisha na kakobe ilhali unajua kakobe anawakilisha dhehebu lake tu la Full Gospel church na si mwakilishi wa TEC, CCT au PCT
 
Mawazo kama ya Mufti Simba ndio yatatukomboa waislamu na unyonge wa elimu na kuwa nyuma ktk jamii. Ameona tatizo na kutoa wazo la kuondoa tatizo, hata wakristo wanajivunia elimu kwani ndio msingi wa kila kitu. Jamani mbona Mtume wetu alituusia hilo, nice words
 
mh. umemuelewa philemon ktk mchango wake, kaweka maneno "kiongozi Mkuu' jamani hata kama kila mtu ktk jumuiya ni kiongozi huwa kuna Mkuu wa viongozi. Kwa ili nawaomba waislam wote wawe na hofu ya Mungu,wamtambue kiongozi mkuu. Uislamu si siasa, tujaribu kujua kuwa lazima kuna mtu ambaye amechaguliwa kuwaongoza wenzie Tanzania,uyo ndo mkuu. Kama nakosea nielekeze mkuu.

Hapo kwenye red mkuu... uislamu ni siasa na ndo maana kuna nchi zinaongozwa kwa kutumia sharia mf. Iran. Wenyewe kimsingi hawatenganishi dini na siasa.
 
mh. umemuelewa philemon ktk mchango wake, kaweka maneno "kiongozi Mkuu' jamani hata kama kila mtu ktk jumuiya ni kiongozi huwa kuna Mkuu wa viongozi. Kwa ili nawaomba waislam wote wawe na hofu ya Mungu,wamtambue kiongozi mkuu. Uislamu si siasa, tujaribu kujua kuwa lazima kuna mtu ambaye amechaguliwa kuwaongoza wenzie Tanzania,uyo ndo mkuu. Kama nakosea nielekeze mkuu.
Ni wapi umesoma habari za uongozi ktk Islamic literature?
 
Hii ndio tunataka kusikia. Wakiristo hasa Walutheri wamemtumia sana Rais Kikwete kuchangisha fedha za shule. Waislam nao wachangamke katika swala hili ili twende kwa speed sawa. Haya ndio mambo ya msingi sio kulalamikia wakurugenzi wa TBC1. Kama TBC1 haiwapi muda wachangishe pesa wawe na TV yao kama ilivyo TV Tumaini na ile ya Fernandes.
 
Naona si sahihi kusema kua waislam hawajasoma ndio maana wanalalamika. Ni dunia nzima - Marekani, Ulaya hadi China na India - waislam wanalalamika, tena vyombo vya malalamishi vingine vinaongozwa na wasomi wazuri tu. Kulalamika kwao si kwa kua hawajasoma ila ni njia mojawapo waliyoichagtua ya kujitangaza na kutaka kukubalika na kila mtu. Wengependa Isam itambulike na kuimarishwa na serikali zote duniani. Waliojilipua kwa kutumia kugongesha ndege kenye maghorafa pacha ya New York sote tunajua wamesoma, sasa walichofanya ni kufanya wazungu wajue nguvu ya Uislam ni nini.
Mimi nadhani lengo la kulalamika sana ni njia yao ya kutaka kusilimisha Dunia na ndio maana hata walalamike vipi hapa kwetu TZ kama DINI wala hawailalamikiii CCM.
 
Media Tanzania yale yaleeee

Huyu hana dhamana ya kuwasemea waislam wote Tanzania

huyu ni sheikh mkuu wa BAKWATA na constituency yake iko confined kwa hao hao

Kama angekuwa ni Sheikh Mkuu wa Tanzania mbona hajajibu kitu kuhusu WARAKA wa waislam ambao uko kwenye public domain?

Tatizo hapa ni kwa sababu the man has no meaningful education ya kuweza kusimama kwenye public domain na kujibu hoja. Infact Form 4 hakufika, na hicho Kiarabu inasemekana hajui...na media wanalijua hilo na wanazidi kumpandisha cheo kuwa ndio public face of Muslims in Tanzania. Its like claiming mtu kama vile KAKOBE ndio kiongozi mkuu wa waksristo Tanzania

This is pathetic.

Pole sana, maana na wewe ni yale yaleeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
mkapa019copy.jpg


Angetoa tamko juu ya WARAKA wa WAISLAM ambao uko kwenye domain, lakini the guy doesnt even have a secondary education let alone hiyo theology atajua wapi mambo hayo. Badala ya kuwa kioo kwenye jamii kazi kuvuta fegi tuu,

Anyway hao BAKWATA na WAGALA wao wanaelewana ndio maana wanamwona kama wa maana kumbe ni Kilaza tuuu, I wonder kwenye hiyo picha hapo juu nani anamchora mwenzie
 
mkapa019copy.jpg


Angetoa tamko juu ya WARAKA wa WAISLAM ambao uko kwenye domain, lakini the guy doesnt even have a secondary education let alone hiyo theology atajua wapi mambo hayo. Badala ya kuwa kioo kwenye jamii kazi kuvuta fegi tuu,

Anyway hao BAKWATA na WAGALA wao wanaelewana ndio maana wanamwona kama wa maana kumbe ni Kilaza tuuu, I wonder kwenye hiyo picha hapo juu nani anamchora mwenzie

Shehe anavyomnyenyekea askofu...hahahaha
 
mkapa019copy.jpg


Angetoa tamko juu ya WARAKA wa WAISLAM ambao uko kwenye domain, lakini the guy doesnt even have a secondary education let alone hiyo theology atajua wapi mambo hayo. Badala ya kuwa kioo kwenye jamii kazi kuvuta fegi tuu,

Anyway hao BAKWATA na WAGALA wao wanaelewana ndio maana wanamwona kama wa maana kumbe ni Kilaza tuuu, I wonder kwenye hiyo picha hapo juu nani anamchora mwenzie

Heeeeee, kumbe Shekhe mkuu anavuta sigara?? Aisee, siamini bwana. Jamani wenye data, ni kweli hiyo?
 
Kuna baadhi ya binadamu wamizaliwa na traits za UBISHI na kutaka mambo ya SHARI, traits hizi wakati mwingine zinakuwa acquired wakiwa watoto wadogo kwa kupitia vipindi vya dini vyenye ku-insist kila mara kwamba katika nchi hii baadhi ya madhebu ya dini yanaonewa kila kona na Serikali iliyopo madarakani na mtu ukiwa mtoto mdogo ni rahisi sana kuwa brainwashed na uhongo huu na hukawa embedded kwenye ubongo wako maisha yako yote - basi mtu anajikuta na inbuilt hatred ya madhebu fulani mpaka ukubwani, na hili ndilo tulalo shuhudia HAPA - yaani baadhi yao wako radhi kufungia reasoning capacity zao kwenye kabati inapokuja katika swala hili, wapo radhi kumsema vibaya hata Sheikh wao MKUU, mimi hili linanishangaza sana!

Back to point, mimi kusema kweli huwa namuheshimu sana Sheikh Mkuu huyu kwa busara zake za hali ya juu, hasiti hata siku moja au kuhuma huma maneno eti aogope kusema ukweli kuhusu kitu gani hasa huwa kinawasibu wasilaam wenzake, amesema wazi wazi na hapa namunukuu " Jamani eh, tujitahidi kupata elimu dunia kama wenzetu, tupunguze kujenga misikiti badala yake tujenge mashule, zahanati na mambo mengine ya maendeleo mwisho Mzee wa busara huyu GODBLESS him - anawashauri wenzake bila woga kwamba " Wasiwe wanakuwa WALALAMISHI"

Busara hii pia anayo Raisi mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi, nilikuwa namsikiliza zamani akitoa wito huo huo unaotolewa na Sheikh Mkuu wa sasa kwa Waislaam wenzake, na tusije tukadhani kwamba kwenye kipindi chake cha uongozi watu wenye shari za kidini hawakuwepo, walikuwepo sana lakini Mzee Mwinyi alikuwa anajuwa jinsi ya kuwa-contain, na tulikuwa na amani kusema kweli.

Sasa hivi shari hii ya kidini anelekea kulipuka kama sunami, sasa tujiulize why? Je kuna watu wanawashurutisha kufanya mambo haya kwa manufaa ya nani HASA. Mimi Baba mdogo wangu alikuwa mwislaam pure wakati alipo kuwa anakuja kututembelea alikuwa anakuja na sufuri zake, sahani zake na vijiko; ukisema jamani mbona hivi tena! anakwambia vyombo vyetu labda tilipikia nguruwe - sisi tulikuwa tunaona ni kichekesho lakini tulimuheshimu kama ndugu yetu, mwisho alikuwa ananiambia kila siku kwamba dini ya Kislaam ni dini ya AMANI - sasa najiuliza hivi baadhi ya wenzetu hivi sasa wameingiliwa na mdudu gani jamani.

Natoa RAI kwa baadhi ya wenzetu hawa kwamba NCHI hii ikivurugika kutokana na mambo ya udini na ukosefu wa busara, hakuna ambaye atabaki SALAMA tusije tukajidanganya hapa, ukiona watu fulani wanakuwa na GUTS za kusema eti Sheikh Mkuu ni mbumbumbu/ hajasoma, sijuhi hajuhi Kiarabu! Mbona kuna Korani zimeandikwa kwenye Kingereza na lugha nyingine, kauli za kukubehi Viongozi wa dini walichaguliwa na wahumini ni hatari SANA. Mimi sishagahi Mzee Huyu kuchaguliwa kuwa Sheikh Mkuu you don't need to be a ROCKET Scientist kujuwa kwamba ni mtu mwenye BUSARA SANA, oh yes ana akili za kuzaliwa; kuchaguliwa kwake kuwa Sheikh Mkuu hakukuwa kwa bahati mbaya, inawabidi kushirikiana naye badala ya kumzuria na kumuita majina ya kila aina, hii inaleta picha mbaya.

HUO NDIO MCHANGO WANGU, kama unaweza kuwafanya baadhi watu wenye SHARI waka-see REASON mbona Ntamshukuru sana MUNGU kwa hilo.
 
Malaria Sugu uko wapi na umechanga shilingi ngapi kusadia ujenzi huu kwani Mufti kasema kiasi chochote kinapokelewa, na amesisitiza badala ya kulalama tu tujitolee kuchangia maendeleo ya elimu.Kwa maneno mengine Mufti anatufundisha kwamba unapoanguka ni muhimu ukaangaalia namna ya kuinuka na kisha ukatafuta sababu za kuanguka ili usinguke tena.

Malaria Sugu, ni kulalamika tu bila kutafuta njia ya kunusuru kundi linaloonekana liko nyuma kielimu.
 
Binafisi naamini kwa asilimia 100 hatua za Mufti ni nzuri kusaidia kuongeza kiwango cha elimu kwa kundi la Waislamu. Angalia matokeo ya kidato cha nne mwaka 2010 watahiniwa kumi bora wote ni wakristo na zaidi robo tatu wametokea shule za kanisa. Katika miaka ya hivi karibu kuna ongezeko kubwa la Shule za serikali na seminari za Waislamu kuwa nyuma ya shule za kanisa jambo ambalo linatakiwa kuangaliwa na kujifunza mbinu na ujuzi wa kanisa hasa ubora wa elimu inayotolewa na kanisa dhidi ya sekta zingine nchini.
 
Malaria Sugu uko wapi na umechanga shilingi ngapi kusadia ujenzi huu kwani Mufti kasema kiasi chochote kinapokelewa, na amesisitiza badala ya kulalama tu tujitolee kuchangia maendeleo ya elimu.Kwa maneno mengine Mufti anatufundisha kwamba unapoanguka ni muhimu ukaangaalia namna ya kuinuka na kisha ukatafuta sababu za kuanguka ili usinguke tena.

Malaria Sugu, ni kulalamika tu bila kutafuta njia ya kunusuru kundi linaloonekana liko nyuma kielimu.

Naona ume-'miso' pacha wako MS(lekchara wa Morogoro Muslim)
 
Malaria Sugu hawezi kuonekana sana katika mjadala huu kwa sababu anaamini katika sababu moja tu ya kurudi nyuma kwa elimu kwa kundi la Waislamu.

Malaria Sugu anabeza sababu zingine zote zinazoweza kuchangia mtoto kushindwa kufanya vizuri shule kama vile

1. Mzazi kutowajibika katika malezi ya elimu kwa mtoto
2. Jamii kuchangia kuporomoka kwa maadili ya mtoto na hivyo mtoto kushindwa kuthamini elimu.
3.Mila na desturi kuweza kuongeza au kukwaza elimu dunia.
4. Kukosa walimu bora na kuwa na bora waalimu
5 . na mengineyo.
 
Naona ume-'miso' pacha wako MS(lekchara wa Morogoro Muslim)

Nimelazimika kumkumbuka Malaria Sugu kwa sababu aliwahi kuanzisha thread hapa ya kulaumu dini moja kuhujumu dini nyingine kwenye elimu hasa kipindi cha nyerere ambaye alikuwa mkristo lakini matokeo ya wanafunzi yameonekana kuwa hivyo hivyo hata kwenye serikali ya awamu ya pili na nne ambazo zimeongozwa na Waislamu kwamba wakristo wanaendelea kuwa mbele. Mufti anaonekana ana njia bora zaidi ya namna ya kuondoa tofauti ya elimu kati ya Wakristo na ndugu zao waislamu hasa kuongeza mashule kwa waislamu na kuajiri waalimu bora.

Kulaumu kundi moja na jingine hakuwezi kutusaidia badala ya kufikiri namna ya kusadiana. Kwa mantiki ya Malaria Sugu matokeo ya kidato cha nne mwaka 2010 serikali ilipendelea shule za kanisa kufanya vizuri kuliko shule za serikali na seminari za Kiislamu kwani serikali imekuwa inafanya hivyo tangu enzi za nyerere.

Tupende tusipende tusipotafuta dawa sahihi, ya kweli na ya kudumu ya tatizo hili tofauti hii haiwezi kuondoka kwa ajili ya ustawi na amani ya nchi yetu. Kila mmoja wetu ahakikishe anasimamia elimu ya mtoto wake, hivyo hivyo jamii nzima na kisha taifa zima litakuwa na elimu bora kwa kila mwananchi.
 
Baraza la mitihani linawapendelea wakristo kwa sababu baraza hilo limejaa wakristo kwani wafanyakazi karibuni 90% ni wakristo, ndio maana katika matokeo ya form four, asilimia 70 ya waliopata division zero ni watoto wa kiislam, ina maana waislam hatuna akili???

Hapa ni lazima kieleweke, ndio maana tunataka sawa kwa sawa katika uongozi wa idara zote nchini.
 
ukistaajab ya musa utaona ya firauni! Ama kwel unachekesha sa ultaka mpewe 1 wkt mmepata 0?? Tanzania hakuna udin ucjidanganye we km mbumbumbu huna jipya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom