Yeah kweli itakua duh🤣🤣🤣Utakuwa umetoka kwenye uzi wa anko t 😆
waTanzania wazalendo tutamuombea Dr.Samia Suluhu Hassan kwa bidii mno ndugu muft Alhaj Abubakari Zuberi Bin Ally Mbwana

Atamuombea + kumfanyia mandingo mbonawaTanzania wazalendo tutamuombea Dr.Samia Suluhu Hassan kwa bidii mno ndugu muft Alhaj Abubakari Zuberi Bin Ally Mbwana![]()
Gentleman,Atamuombea + kumfanyia mandingo mbona
Ova
Inampasa atubu na kujutia dhambi zake na ajiombee yeye mwemyewe.