pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Mkemia atafaidi sana leo.
Hata kwa macho tu.
Mkemia atafaidi sana leo.
hahahahaaa wanamkamata mara ya pili kwani kipindi kile walikuwa hawajui hahahahaaa hii ndo nchi ya matamko tuSasa wanamchunguza Masogange kama anasafirisha dawa za kulevya wakati alishakamatwa akisafirisha????? Halafu miaka yote walikua wapi wakati agnes anakamtwa south Africa???
Kweli hii ndio nchi ya "UCHUNGUZI BADO UNAENDELEA"..
Kuna mtu kaninong'oneza " usipige kelele kila nabii na zama zake"hahahahaaa wanamkamata mara ya pili kwani kipindi kile walikuwa hawajui hahahahaaa hii ndo nchi ya matamko tu
Sasa bila hata hiyo jitihada ya "angalao" kudaka mmojam1, watapunguaje sasa?
Unapochangia, ainisha mbinu unazoona wewe zinafaa kama wangelizitumia. Lakini kubwabwaja bila kuonesha njia unaweza kuonekana kama ni mnufaika flani'iv!
you are grossly underestimating the fight my friend! if it was that easy mapambano dhidi ya madawa ya kulevya yangekuwa a history lesson in schools. it is a continuous struggle and if you want to make it a success story basi dhamira lazima iwe ya dhati na capability ya wale ambao wako kwenye battle front lazima iwe juu. kufikiria kwamba a one off operation itamaliza kila kitu ni kujiweka pabayaWauzaji na wasambazaji wanaowajua ni watumiaji. Hivyo logically ukitaka kuwajua na kuwakamata wauzaji na wasambazaji hawa njia nyepesi ni kuanza na watumiaji ambao wako kila mahala na ni rahisi kuwabaini.
Au nalo hili ni ngumu kulielewa? Mkakati ni kuwa wabane barabara hao watumiaji (kwa mateso ikibidi) hadi wataje waliowauzia hayo madawa. Baada ya hapo kawabane sawa sawa hao wauzaji hadi wakutajie hao wasambazaji walikozipata hizo dawa. Baada ya hapo wakamate na kuwabana barabara hao wasambazaji wataje walikozipata hizo dawa. Na endelea hivyo hadi mwisho wa mnyororo (chain) ambao ni viwanda na mashamba yanayozalisha hayo madawa.Viwanda na mashamba haya yako nchi za nje. Kwa hiyo ushirikishaji wa interpol utahitajika kuanzia stage fulani. Kwa hiyo tumeanza na stage 1 ya akina Masogange na akina Manji. We are in the right track my friend, be relaxed. Hawa watumiaji wakishathibitisha walikozipata hizo dawa, wanakuwa upande wa serikali kama mashaidi: hawafungwi jela bali wanaanza kutibiwa na kuwa rehabilitate kuwa raia wema. Wale watumiaji (baada ya kuthibitishwa chemically) ambao watakaidi kuwataja waliowauzia lazima wataipate fresh na wanaweza hata kufungwa jela hadi watakapotoa ushirikiano.
Walikuwa wap hakina nani? Alikamatwa lini?Sasa wanamchunguza Masogange kama anasafirisha dawa za kulevya wakati alishakamatwa akisafirisha????? Halafu miaka yote walikua wapi wakati agnes anakamtwa south Africa???
Kweli hii ndio nchi ya "UCHUNGUZI BADO UNAENDELEA"..
Kwani hiyo damu ya sampuli kwa ajili vipimo inatolewa kwenye tako??? nipe uhusiano wa vipimo na tako.Mnhh..huyo mkemia kama wa kiume anaenda ingia majaribuni jamani.... Lile tako ....
Haahaa... Acha kujitoa ufaham shehe...!!Kwani hiyo damu ya sampuli kwa ajili vipimo inatolewa kwenye tako??? nipe uhusiano wa vipimo na tako.
Hujachelewa ...... na wewe nenda kasomee tu hiyo kazi wataletwa wengi ....unaweza hata kuagiza waliopimwa wapimwe upya !!Mnhh..huyo mkemia kama wa kiume anaenda ingia majaribuni jamani.... Lile tako ....