Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,954
- 4,327
Medical ethics huzingatiwa kwenye kila situation.
Medical ethics huzingatiwa kwenye kila situation.
Let it beNina imani haki itatendeka, na dawa za kulevya hazitakuja Tanzania.
Duh! Hii kali walahiTena mkemia huyu hashindwi unaambiwa anajua kwa mwezi umetumia mara ngapi!!! Eti Manji katumia mara mbili tu ndani ya mwezi huu wa pili!!!!
I wish I could be the Mkemia!!
Aaaah hilo tu, watu wanagundua hawamiaji haramu waliokufa kwa kuangalia viroba walivyofungiwa navyo. Sembuse wewe uliyeninginiza viatu kwenye kamba za umeme. Unajulikana tu, sisi sio watu wa mchezo mchezo.Kweli teknologia imekuwa sana siku hizi. Naomba ni juzwe jinsi mkemia mkuu anavyopima na kumgundua muuzaji na msafirishaji wa madawa ya kulevya.
Hili la kutumia sio tatizo kwani tunajua mtumiaji akikosa unga anakuwa amekata seal.
Na washawasha!
Sasa wanamchunguza Masogange kama anasafirisha dawa za kulevya wakati alishakamatwa akisafirisha????? Halafu miaka yote walikua wapi wakati agnes anakamtwa south Africa???
Kweli hii ndio nchi ya "UCHUNGUZI BADO UNAENDELEA"..
Huu mkao mbona kama kuna kitu anataka kufanya
hhaahahahaaaMnhh..huyo mkemia kama wa kiume anaenda ingia majaribuni jamani.... Lile tako ....
Inawezekana sana,,,,HAKUNA LINALOSHINDIKANA,Hivi mkemia mkuu anaweza kumpima mtu kama ni mbeba au muuza unga? Si anapima mateja tu?