Muda-nafasi (spacetime) kwenye Theory ya relativity ya Einstein

Muda-nafasi (spacetime) kwenye Theory ya relativity ya Einstein

Wakishajua umefahamu wanakufukuza. Nasikia betting wanafanya hivyo sijajua .

Kuna jamaa amepigwa ban kutofanya forex na prop firms zote duniani.
Amewakamua vya kutosha.

Aling'amua Siri.

Wewe Je kwenye forex bado hauja pigwa ban?
 
Wewe Je kwenye forex bado hauja pigwa ban?
Sijapigwa ban mi nimeanza juzi tu, jamaa ana miaka.

Ila tukiachana na hayo, we jua theory ya relativity Ina applications kibao sio huku tu, sehemu nyingi sana.
 
Ss kupata Muda wa kutengeneza kitabu kama Qur'an Chenye mapungufu huo Muda Kwa watu wenye majukumu wanautoa wapi,

Japo wapo wahuni waliotengeneza AU hauja Wai kuzisikia hisi habari
Mngeweza kui challenge Qur'an pangekalika na mngeingia Uislam makundi kwa makundi ?
 
Mbona wewe umeshindwa kuitetea Qur'an Huku JF,
Kila hoja mnazozitoa ni hekaya tupu.
Wewe hata unachokipinga sikuelewi. Au ni chuki tu za uoga wa kijinga (Islamophobia)?

Tuitetee vipi tena na tumekupa reference ujisomee mwenyewe? hazijakutosha tukuongeze?

Sayansi yako unayoijuwa leo hii bila maulamaa wa Kiislam usingeijuwa.

Kumbuka hilo.
 
Wewe hata unachokipinga sikuelewi. Au ni chuki tu za uoga wa kijinga (Islamophobia)?

Tuitetee vipi tena na tumekupa reference ujisomee mwenyewe? hazijakutosha tukuongeze?

Sayansi yako unayoijuwa leo hii bila maulamaa wa Kiislam usingeijuwa.

Kumbuka hilo.
Sasa ni sayansi Gani ambayo iko kwenye Qur'an?
 
Back
Top Bottom