The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,078
- 117,680
Hilo linawezekana pia ila inawezekana pia ikawa huyo Mwanaume hajiamini,ndio maana anavunga na simu,ni sawa na zamani Mwanamke akitongozwa anakua anakata vimajani kwenye mti au kuchezea vidole.Mengine umeyaunganisha hapo kama collateral tu ila kiufupi jamaa aliekupa mualiko wa dinner hajakuelewa jiongeze dadangu.
Watu kama wewe Sasa...mnaanza kumchukulia mada personalMengine umeyaunganisha hapo kama collateral tu ila kiufupi jamaa aliekupa mualiko wa dinner hajakuelewa jiongeze dadangu.
Hahaha π. Hapa kweli kabisa, sisi vijana wa zamani tunaijua sana hii.ni sawa na zamani Mwanamke akitongozwa anakua anakata vimajani kwenye mti au kuchezea vidole
Watu wa Dar mnapenda sana kujiamulia mamboMpya zaidi siku hizi Kuna wanaozagamuliwa huku wanaperuzi kudadekiπ€£π€£
Wapo.ngoja mashuhuda wajeHii ya kudinywa huku unachati kwangu ni mpya.
Aise mwanamke akinifanyia hivyo mimi namwingizia mguu kunako ili arudishe attention kwangu.Wapo.ngoja mashuhuda waje
Upo sahihi, lakini katika hali ya kawaida ni rahis kutofautisha mtu alieconcetrate kwenye simu na mtu ambaye hana confidence... facial gestures zinakuonesha kila kitu.Hilo linawezekana pia ila inawezekana pia ikawa huyo Mwanaume hajiamini,ndio maana anavunga na simu,ni sawa na zamani Mwanamke akitongozwa anakua anakata vimajani kwenye mti au kuchezea vidole.
Au anakua anachimba kashimo kwenye ukuta wa watu.Hahaha π. Hapa kweli kabisa, sisi vijana wa zamani tunaijua sana hii.
Kwenye mambo ya msingi watu hawatumii simu ukiona mtu anatumia simu ujue hicho unachotaka akipe attention sio priority yake.Watu kama wewe Sasa...mnaanza kumchukulia mada personal
Sijawahi kumbwa.ila ulitokea Kwa mtu.nikaona mfano
Ni kweli mkuu,Kwenye mambo ya msingi watu hawatumii simu ukiona mtu anatumia simu ujue hicho unachotaka akipe attention sio priority yake.
Ile aibu yao ilikuwa raha kwetu. Enzi zile demu anayejiamini tulimwita malaya.Au anakua anachimba kashimo kwenye ukuta wa watu.
ππ
Wengine mpo sebuleni mnaangalia Tv Yeye ana view Status za wasap au tiktok kwa sauti hadi unashindwa kuzingatia TvππππSawa najua yako sikupangii matumizi, ila be present at the moment angalau itaonyesha utimamu wako.
Na ikikubidi omba udhuru kisha utarejea au kama hulitaki tukio usiende/usije/usishiriki. Inashangaza mtu anakuita Kwa maongezi lakini yuko busy mno na simu yake, focus yake imehama iko kwingine. Sasa ulimuitia nini mtu?
Mtu baada ya kupanga date na mtu, ukifika ye yuko busy na simu, wengine busy anachat huku anachekacheka we unabaki umeduwaa kakusahauπ
Hata kama una jambo la lazima basi mpe mwenzio hata dakika kumi mmalize alichokuitia kisha akuache na simu yako.
Unamuongelesha mtu badala akusikilize anahamia kwenye simu, unadhani bado anakusikiliza badala yake anaitika tu enhee, enhee...ulikuwa unasema? Halafu anarudi tena kwenye simu.
Tujifunze kuwa na kiasi, tusiruhusu hivi vifaa vitupelekeshe namna hiyo kuna muda wa kuwa busy kuperuzi, kuchat kwenye magroup na kuna muda wa kufocus kwenye mambo mengine nje ya simu. Shida Iko kwenye kubalance mzani.
Mzazi uko busy na simu hadi unamsahau mtoto, anakosa kampani na hata michezo toka kwako. Mahusiano yanakosa uhai, mwenza wako muda wote yuko busy na simu hamna muda wa kuongea mambo yenu. Mtu katoka mihangaikoni kwenye kazi zake, unaona huo ndio muda lakini bado yuko busy na simu mpaka kitandani busy na simu!
Watu mpaka zebra cross wanavuka huku wanaperuzi baadhi wanagongwa barabarani yote ni kukosa umakini. Ajali nyingine abiria mmelala dereva kule anachat huku anaendesha. Unaalikwa Kwa vikao/maongezi muhimu,we uko mbali unaperuzi.
Mtu anakusimamisha akuongeleshe jambo fulani unajibu huku unangalia simu, mambo mawili at the same time. Mpya zaidi siku hizi Kuna wanaozagamuliwa huku wanaperuzi kudadekiπ€£π€£
NB: Sijaongelea kuacha matumizi ya simu, najua sio kuchat tu bali wengine kazi wanafanyia kwenye simu, biashara zinafanyika kwenye simu na mengine ya msingi. Ninachoongelea ni kubalance matumizi ya simu na matukio katika maisha halisi kuleta uwiano pande zote. Upande mmoja wa simu ukiwa na uzito Zaidi inaathiri upande wa pili.
Muwe na siku njema!
Sister Abigailβ₯οΈ
Wapo...πNi ushamba wa simu tu hakuna Cha ziada!
Hiyo ya kuzagamuliwa huku unachezea simu mbona kama chai dadaakeπππππ
Enzi hizo kutongoza ilikua ni kipaji kama kucheza mpira tu,Ile aibu yao ilikuwa raha kwetu. Enzi zile demu anayejiamini tulimwita malaya.
Mwambie punguza sautiWengine mpo sebuleni mnaangalia Tv Yeye ana view Status za wasap au tiktok kwa sauti hadi unashindwa kuzingatia Tvππππ
Mi Kuna jamaa alikuwa anatega njiaani..najua nkipita tu kule ataniona nabadili njia.Enzi hizo kutongoza ilikua ni kipaji kama kucheza mpira tu,
Picha lina anza mpaka umsubiri demu atumwe dukani ndio umsubiri njiani na anaweza kukukimbia au kwenda kukusemea kwa Mama yake.
ππ
Labda Hana hisia naweAise mwanamke akinifanyia hivyo mimi namwingizia mguu kunako ili arudishe attention kwangu.