Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 4,175
- 12,993
Huku Njombe mvua imekataFANYENI KAZI NYIE.
Mmebaki kulia lia humu wakati mvua za masika msimu huu zimefanya vizuri.
Haya faster shambani.
Kammon!
Ujumbe wako ni kweli kabisa, lakini Vijana wa hovyo watakuja kukubishia... mitandao ya kijamii hasa facebook, intagram, tiktok daah! Ina kamata sana akili za watu, hasa vijanaSawa najua yako sikupangii matumizi,ila be present at the moment.angalau itaonyesha utimamu wako.
Na ikikubidi omba udhuru Kisha utarejea au kama hulitaki tukio usiende/usije/usishiriki.
Inashangaza mtu anakuita Kwa maongezi lakini Yuko busy mno na simu yake,focus yake imehama Iko kwingine.ulimuitia Nini mtu?
Mtu baada ya kupanga date na mtu,ukifika ye Yuko busy na simu.wengine busy anachat huku anachekacheka we unabaki umeduwaa kakusahau😂
Hata kama una jambo la lazima basi mpe mwenzio hata dakika kumi mmalize alichokuitia Kisha akuache na simu yako.
Unamuomgelesha mtu badala akusikilize anahamia kwenye simu,unadhani bado anakusikiliza badala yake anaitika tu enhee,enhee...ulikuwa unasema?
Halafu anarudi Tena kwenye simu.
-tujifunze kuwa na kiasi,tusiruhusu hivi vifaa vitupelekeshe namna hiyo.kuna muda wa kuwa busy kuperuzi,kuchat kwenye magroup nk.Na Kuna muda wa kufocus kwenye mambo mengine nje ya simu.shida Iko kwenye kubalance mzani.
Mzazi uko busy na simu Hadi unamsahau mtoto,anakosa kampani na hata michezo toka kwako
Mahusiano yanakosa uhai,mwenza wako muda wote Yuko busy na simu.hamna muda wa kuongea mambo yenu.mtu katoka mihangaikoni kwenye kazi zake,unaona huo ndio muda lakini bado Yuko busy na simu.mpaka kitandani busy na simu!.
Watu mpaka zebra cross wanavuka huku wanaperuzi baadhi wanagongwa barabarani yote ni kukosa umakini
Ajali nyingine abrira mmelala dereva kule anachat huku anaendesha.
unaalikwa Kwa vikao/maongezi muhimu,we uko mbali unaperuzi
Mtu anakusinmisha akuongeleshe jambo Fulani unajibu huku unangalia simu,mambo mawili at the same time.
Mpya zaidi siku hizi Kuna wanaozagamuliwa huku wanaperuzi kudadeki🤣🤣
NB: sijaongelea kuacha matumizi ya simu,najua sio kuchat tu Bali wengine kazi wanafanyia kwenye simu,biashara zinafanyika kwenye simu na mengine ya msingi.
Ninachoongelea ni kubalance matumizi ya simu na matukio katika Maisha halisi kuleta uwiano pande zote.upande mmoja wa simu ukiwa na uzito Zaidi inaathiri upande wa pili.
Muwe na siku njema!
Sister Abigail♥️
Matyako yako nguruwe pori, acha kutufokea 😅FANYENI KAZI NYIE.
Mmebaki kulia lia humu wakati mvua za masika msimu huu zimefanya vizuri.
Haya faster shambani.
Kammon!
Bro utaua bhanaMengine umeyaunganisha hapo kama collateral tu ila kiufupi jamaa aliekupa mualiko wa dinner hajakuelewa jiongeze dadangu.
dah,Sawa najua yako sikupangii matumizi,ila be present at the moment.angalau itaonyesha utimamu wako.
Na ikikubidi omba udhuru Kisha utarejea au kama hulitaki tukio usiende/usije/usishiriki.
Inashangaza mtu anakuita Kwa maongezi lakini Yuko busy mno na simu yake,focus yake imehama Iko kwingine.ulimuitia Nini mtu?
Mtu baada ya kupanga date na mtu,ukifika ye Yuko busy na simu.wengine busy anachat huku anachekacheka we unabaki umeduwaa kakusahau😂
Hata kama una jambo la lazima basi mpe mwenzio hata dakika kumi mmalize alichokuitia Kisha akuache na simu yako.
Unamuomgelesha mtu badala akusikilize anahamia kwenye simu,unadhani bado anakusikiliza badala yake anaitika tu enhee,enhee...ulikuwa unasema?
Halafu anarudi Tena kwenye simu.
-tujifunze kuwa na kiasi,tusiruhusu hivi vifaa vitupelekeshe namna hiyo.kuna muda wa kuwa busy kuperuzi,kuchat kwenye magroup nk.Na Kuna muda wa kufocus kwenye mambo mengine nje ya simu.shida Iko kwenye kubalance mzani.
Mzazi uko busy na simu Hadi unamsahau mtoto,anakosa kampani na hata michezo toka kwako
Mahusiano yanakosa uhai,mwenza wako muda wote Yuko busy na simu.hamna muda wa kuongea mambo yenu.mtu katoka mihangaikoni kwenye kazi zake,unaona huo ndio muda lakini bado Yuko busy na simu.mpaka kitandani busy na simu!.
Watu mpaka zebra cross wanavuka huku wanaperuzi baadhi wanagongwa barabarani yote ni kukosa umakini
Ajali nyingine abrira mmelala dereva kule anachat huku anaendesha.
unaalikwa Kwa vikao/maongezi muhimu,we uko mbali unaperuzi
Mtu anakusinmisha akuongeleshe jambo Fulani unajibu huku unangalia simu,mambo mawili at the same time.
Mpya zaidi siku hizi Kuna wanaozagamuliwa huku wanaperuzi kudadeki🤣🤣
NB: sijaongelea kuacha matumizi ya simu,najua sio kuchat tu Bali wengine kazi wanafanyia kwenye simu,biashara zinafanyika kwenye simu na mengine ya msingi.
Ninachoongelea ni kubalance matumizi ya simu na matukio katika Maisha halisi kuleta uwiano pande zote.upande mmoja wa simu ukiwa na uzito Zaidi inaathiri upande wa pili.
Muwe na siku njema!
Sister Abigail♥️
Huyo wa hivyo anakua hana self confidence juu yako,ndio anakua anavunga na simu,Mtu baada ya kupanga date na mtu,ukifika ye Yuko busy na simu.wengine busy anachat huku anachekacheka we unabaki umeduwaa kakusahau😂
Tumpe Pole tu!Bro utaua bhana
Asome nyakatiTumpe Pole tu!