Worldboss
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,932
- 3,763
Mkuu ndo topic gani hiyo. Be creative.... We just do it for fun. Unataka umkomoe nani kwani?
sasa nyie watungaji sindo mnabidi muwe creative
Mkuu ndo topic gani hiyo. Be creative.... We just do it for fun. Unataka umkomoe nani kwani?
Mungu nijalie mume mtoa pesa...Flowers njooni mshereheshe kijiwe..Najua na nyie ni wadau wa mziki atoto Heaven Sent BADILI TABIA Evelyn Salt cute b missyrose Lacute missyrose Mnachotakiwa ni kupiga kura kwa mmoja kati ya washindani
U
Bwanamdogo naitwa dabo
Umeniqoute! unatafuta tu trabo
Dogo Ntakunyonga
kitaan naitwa rambo
Ona Voko unaboronda
Chaa ajabu umejaa tambo
Jukwaani nadondoka
Wee unaona haya kirembo
Kisura umechuchuka
Nahisi umepigwa mtungo
Naona tu unapayuka
Minatembea na mdundo
Hii namba nyingine
Jaribu kwa maboya wengine
Ntakupiga kwenzi mpaka dogo ujikune
Kihesabu maswali majibu mimi ndo jipime
Kiukweli hauniwezi shiny c
Mkata viuno mkubwa zaid ya ray c
Mistari yako tasa wee hanisi
Ulikosa majina si ungejiita chainiz!
United street in Arusha yaani USA
Masela nawarusha hii sio BBA
LT kanipima nina hiphop DNA
Mitihani nimepita mpaka CPA
Freestyle master
Legendary wa rymes kaa buster
Mi ni profesor kama Jay
Sigawi nyuma kama gay
KiLowasa ccm hawaongei
Najaza nyomi mpaka inamtisha jeikei
shiny c hapa ndo umefika
fulu gwanda ka mbowe akiwa ufipa
Kila kona nakubalika
Jf mpaka fb kote nainstrgramika
Pesa ndo sauti ya kila rika
Maisha kugaramika
Bila pesa beyonce asingekua na jiga?
Nami nazisaka nimng'oe miss chagga
Mungu nijalie mume mtoa pesa...
Kila siku nipigane kuwa backresa...
Nisimpende yeye nipende vellosa.....
Wanaomegewa wenfi ndio kitu wamekosa...
Mume wa shida na raha na misnd sana....
Huyo mume simtaki changamoto hana...
Ha ha ha haaaaa atoto njoo
Naomba dabo vs radiation mechi ianze. Huyo magnifico tumem postpone akija ataendelea na Nje ya Mada kwa mada mpya. Hakuna namna. Haya worldboss leta topic
. i saw this on my timeline.... Twitter. I didn't even know if it's a Photoshop from a die hard fun like us. Just wanted to know it.... If its true he came tz. How could jcole did it to us.. We always need an autograph meeen. You know.
View attachment 294886
mcee feki nawatoboa/na roho nanyofoa//
kwenu nyie mnaniona doa/sirembui ka changudoa//
mtoto mzuri njoo upakatwe/wasije kukufanya cha wote//
nipo kwa stage nawachora/kwa zenu tenzi uchwara//
radiation nawaunguza/kwa hizi hatari rays//
unayejifanya ni kilaza/njoo kwangu nikupe stanza//
jamiiforum mi nemba,
toka long tym ago,
shangaa invicible ananijua,
vp dogo dabo,
jf ndo ngome kongwe,
kwenye social network,
chief-mkwawa ndo legendary,
anafix mpaka deki,
navunja mbavu zangu,
kwenye jukwaa la jokes,
na nikitaka make m0ney,
kuna stage ya bizness,
team kiba nawakabali,
kama @k 4 real
nikiugua mi naponywa,
mzizi mkavu ndo dawa yao,
kuna mada za ajabu,
waweza pata mshangao,
kwenye siasa noma sana.
Kuna bans nyin sana,
ila memba wanajazana,
wenye wing uhasama,
demu usinitose,
mmu wako wengi,
nyani ngabu ndio mkongwe,
akifatiwa na asprin,
jf ka mwalimu,
kuna meng ya kufaa,
na ndo mana mpaka night,
utanikuta kwa hewa,
jf kusanyiko la jamii /
wanasiasa walimu mpaka wasanii/
tunagusa kila nyanja/
hasa jamii inachofanya/
kuna wapenda mkwanja/
kama miss chaga wa kaskazini kanda/
pia mabigwa wa mapenzi/
utawakuta jukwa la mmm/
manguli wa kupanga tenzi/
from a.m to pm/
chunga ukicoment ushenzi/
faster wataibuka pm/
hapa sio facebook kwa mateenager/
jf watu wazima wengi mamenager/
kuna great thinka/
ukicoment ujinga utaaibika/
wageni wenyeji karibuni/
kwa michango tz iendelee kama ughabuni/
changieni wapenzi ruhusa itaneni honey /
furahini ila jichunge kupigwa ban/
jamii forum/
kitovu cha ufahamu/
nyuzi za siasa/
maisha matukio na visa/
majukwaa yapo kwa ajili ako/
jichanganye upanue mawazo yako/
ila chunga sana/
kuna vivulana na visichana/
vijizi vya mitandao vipo sana/
vinakesha uku usiku na mchana/
jf wote tunaheshimiana/
wakubwa wadogo na wale tunaochana/
wengi wamekutana humu ndoa wakaoana/
wengine wanachezeana eti wanakula ujana/
nyuzi zingine zinachekesha/
japo kimaudhui zinaelimisha/
dabo mi napenda mmm/
ndo naposhinda am to pm
sharaouti kwa mo11
kikosi cha mmm yupo 1st 11.
nashukuru kwa anaza chance,
now nakuja bila wasi,
jf ndo moja namba,
wengne wanashika last,
sina ahadi za shardcole,
nisposhinda ntembee uchi,
kuna wana mmu,
mapenz yamewapga mkuki,
nasikia kuna jukwaa la wakubwa,
na mwaka wapili sijaliona,
invisible nipe vigezo,
vya wakubwa nipate kuona,
id mbili mbili,
yalimkuto y.nyerere,
ona alifedheheka,
ikabidi alale mbele,
maujuzi ya mapenz nayajua,
nimemsoma lara 1,
jukwaa la kubeti,
utamkuta cute b,
mbona utafurahi,
wakibishana kuhusu marekani,
oh mrusia hamwezi,
anamiliki tu madrone,
speling sikosei,
we muulize faizafoxy,
wengi wanaojitoa ufaham,
kwenye mada za kidini,
kimalengo najitambua,
niko bright kama nifah,
naweka kando ukiba,
inapokuja utaifa,
kaka kipande we bado mchangaMuda umekwisha
Na usiku unatisha
Napisha mnaokesha
Na kisha nazima taa
Usiku ni mnene
Na kesho jumanne
Nikasake mapene
Na mifuko isinune
Mlale salama
nawatakia ndoto njema
Bali msikubali
Kulala bila kusali
Jamiiforum mi nemba,
toka long tym ago,
shangaa invicible ananijua,
vp dogo dabo,
jf ndo ngome kongwe,
kwenye social network,
Chief-Mkwawa ndo legendary,
anafix mpaka deki,
navunja mbavu zangu,
kwenye jukwaa la jokes,
na nikitaka make m0ney,
kuna stage ya bizness,
team kiba nawakabali,
kama @K 4 REAL
Nikiugua mi naponywa,
Mzizi mkavu ndo dawa yao,
kuna mada za ajabu,
waweza pata mshangao,
kwenye siasa noma sana.
Kuna bans nyin sana,
ila memba wanajazana,
wenye wing uhasama,
demu usinitose,
Mmu wako wengi,
Nyani Ngabu ndio mkongwe,
akifatiwa na Asprin,
Jf ka mwalimu,
kuna meng ya kufaa,
na ndo mana mpaka night,
utanikuta kwa hewa,
Nashukuru kwa anaza chance,
now nakuja bila wasi,
jf ndo moja namba,
wengne wanashika last,
sina ahadi za Shardcole,
nisposhinda ntembee uchi,
kuna wana Mmu,
mapenz yamewapga mkuki,
nasikia kuna jukwaa la wakubwa,
na mwaka wapili sijaliona,
Invisible nipe vigezo,
vya wakubwa nipate kuona,
id mbili mbili,
yalimkuto y.nyerere,
ona alifedheheka,
ikabidi alale mbele,
maujuzi ya mapenz nayajua,
nimemsoma lara 1,
jukwaa la kubeti,
utamkuta cute b,
mbona utafurahi,
wakibishana kuhusu marekani,
oh mrusia hamwezi,
anamiliki tu madrone,
speling sikosei,
we muulize FaizaFoxy,
wengi wanaojitoa ufaham,
kwenye mada za kidini,
kimalengo najitambua,
niko bright kama nifah,
naweka kando ukiba,
inapokuja utaifa,
Muda umekwisha
Na usiku unatisha
Napisha mnaokesha
Na kisha nazima taa
Usiku ni mnene
Na kesho jumanne
Nikasake mapene
Na mifuko isinune
Mlale salama
nawatakia ndoto njema
Bali msikubali
Kulala bila kusali