Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Radiation ulijigamba

Ya kwamba utashika namba

Ila nimekubamba

Verse zako za kishamba

Mistari ya kawaida

Halafu umeitunga mda

Hili nakupa ni angalizo

Kabla hujazama upite maulizo

Hapa beti na vina hatutaki mauzo

Cole is BEAST BRO.


Cc: Paulo Sergio de souz

Naweza kuamini kwamba alikuja... He is hustler tho.


Check 14.

Hata goddamn meek mill hayupo.....on this shit


c0d857db25bf00b95f9ccbfd410f7977.jpg
 
Last edited by a moderator:
yo yo yo yo yo!!!

Kama vipi, ungetuachia sisi
Siyo hivi, ulivyotufanyia sisi,

Iwe mwsho, usije fanya rudio,
Mwisho wako, waweza kuwa siyo,

Ni vizuri, kama ungerudi kulii,
Hali hii, wala siyo nzurii,

Hayo mambo, usijeyafanya Chato,
Kwani Chato, wazee wa mchakato

Hata Monduli, usije fanya kiburi,
Kwa kiburi, nao pia ni jeuri
 
Cole is BEAST BRO.


Cc: Paulo Sergio de souz

Naweza kuamini kwamba alikuja... He is hustler tho.


Check 14.

Hata goddamn meek mill hayupo.....on this shit


c0d857db25bf00b95f9ccbfd410f7977.jpg

Hahahahah mkuu AgentX meek mill ni mropokaji hamna kitu pale

Japo hao forbes wananiacha na maswali kibaooo

Imekuaje Drake kua juu ya Dre beats

Halafu king kunta lamar atupwe mbali kiasi hicho lol
 
Last edited by a moderator:
U

Bwanamdogo naitwa dabo

Umeniqoute! unatafuta tu trabo

Dogo Ntakunyonga
kitaan naitwa rambo

Ona Voko unaboronda
Chaa ajabu umejaa tambo

Jukwaani nadondoka
Wee unaona haya kirembo

Kisura umechuchuka
Nahisi umepigwa mtungo

Naona tu unapayuka
Minatembea na mdundo

Hii namba nyingine
Jaribu kwa maboya wengine

Ntakupiga kwenzi mpaka dogo ujikune
Kihesabu maswali majibu mimi ndo jipime

Kiukweli hauniwezi shiny c
Mkata viuno mkubwa zaid ya ray c

Mistari yako tasa wee hanisi
Ulikosa majina si ungejiita chainiz!

United street in Arusha yaani USA
Masela nawarusha hii sio BBA

LT kanipima nina hiphop DNA

Mitihani nimepita mpaka CPA

Freestyle master
Legendary wa rymes kaa buster

Mi ni profesor kama Jay

Sigawi nyuma kama gay

KiLowasa ccm hawaongei

Najaza nyomi mpaka inamtisha jeikei
shiny c hapa ndo umefika
fulu gwanda ka mbowe akiwa ufipa

Kila kona nakubalika
Jf mpaka fb kote nainstrgramika

Pesa ndo sauti ya kila rika
Maisha kugaramika

Bila pesa beyonce asingekua na jiga?
Nami nazisaka nimng'oe miss chagga
ya ya ya oyoooooo
 
Those who can't spit, the option is to swallow/
Mastered this like Ace, boy I'm hard to follow/
Said Fid's a biter, the minions went loco/
Claiming I'm just a hater, well I guess I stand dolo/
See Cats hard to change, got minds made of armor/
You won't want to challenge, they gon' test your honor/


​
 
Hahahahah mkuu AgentX meek mill ni mropokaji hamna kitu pale

Japo hao forbes wananiacha na maswali kibaooo

Imekuaje Drake kua juu ya Dre beats

Halafu king kunta lamar atupwe mbali kiasi hicho lol

Fifty...ka bankrupt kiasi cha kutokuwepo kwenye list.....au forbes wa namaanisha cash ya namna gani AgentX.
 
Last edited by a moderator:
Fifty...ka bankrupt kiasi cha kutokuwepo kwenye list.....au forbes wa namaanisha cash ya namna gani AgentX.

Daaah hii noma sana aisee

Haiwezekan 50 asiwepo kwa hiyo list

Na my super dope rapper iggy
 
Last edited by a moderator:
Kama ku battle na battle,
Usinione underground,
Hasira kwenye msoto,
Na idea zinazosound,
Hii verse imeenda shule wala haitaki, mizani,
Uzi to wangu ni soo haupimiki kwa mizani,
Na ryms zangu ni hoo t ikuingiapo sikion,
 
Wakuu Paulo Sergio De Souz dabo kaka kipande . hiyo list ni income ya mwaka huu mpaka mwishoni mwa September.... Ina include tours... Shows...albums sales and all stuffs. Ila hiyo sio list ya watu wa hip hop wenye mkwanja mwingi. Kama ingelikuwa ni hivyo... Braza Dre angekuwa on top meeen...you know. So ukiona mwanao hayupo hapo ujue 2015 imemuendea vibaya kimapato ila si kwamba hana peiii...lahasha.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Paulo Sergio De Souz dabo kaka kipande . hiyo list ni income ya mwaka huu mpaka mwishoni mwa September.... Ina include tours... Shows...albums sales and all stuffs. Ila hiyo sio list ya watu wa hip hop wenye mkwanja mwingi. Kama ingelikuwa ni hivyo... Braza Dre angekuwa on top meeen...you know. So ukiona mwanao hayupo hapo ujue 2015 imemuendea vibaya kimapato ila si kwamba hana peiii...lahasha.

Pia ikumbukwe... Kilichomfanya drake auze sana.. Ni ile beef kati yake na huyo meek mill. Ila cha kushangaza... Ktk hiyo list bwana dream chaser hayupo licha kuwa alikuuwa na beef na drizzy....
 
Last edited by a moderator:
Pia ikumbukwe... Kilichomfanya drake auze sana.. Ni ile beef kati yake na huyo meek mill. Ila cha kushangaza... Ktk hiyo list bwana dream chaser hayupo licha kuwa alikuuwa na beef na drizzy....

Apo tupo wote AgentX.....nlishangaa ila nlihisi kitu kama hicho.
 
Last edited by a moderator:
With the gavel in my hand, I'm the judge to this case/
The things running in my mind, boy best plead the bargain/
Think it's slick to be convicted, then keep trying my patience/
Can't be that retarded, it's an open and shut case/
 
No competition man, I feel isolated/
Thought y'all was down, it ain't that complicated/
Everybody can say a rhyme, just don't sweat the technique/
Spit with ease like Rakim/ and control the crowded/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom