Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Kuusoma umeusoma,
ila hujautafakari,

we ni kama dabo,
anajigamba hana akili,

watu wangu mnakera,
mnaposhndwa mwaga sera,

na ndo kama ticha,
nawatia tu bakora,

magnii mi ndo namba,
hao wengne ni washamba,

kipande we si kaka,
we ni dogoflan amaizn,

kama hunipati,
we nicheki kwenye phone,

nawakil mi vesi,
kwenye koti sina kesi,

vesi zangu past tense,
flow future tense yes,

kaka kipande

magnifico na dabo
Mkibaki hapa lazima mtatoka kapa

Ama mtachapa lapa

Kwa stanza ninazowapa

Kwa vina nawachapa

Nawakaba mtasepa

Nawachora nawapora kila mtindo mnadorora

Mim ndo chongo mwenye usongo wa kuona kwenye giza bila visa bila hongo mnazama kwenye udongo

Choko kwenye soko nawakomba kama ukoko

Mnapata wasi hamna nafasi mpo chini kama viatu vya farasi

Acha niwafuze niwajuze ushairi mnitukuze niwakimbize niwabeze niwakaze kama waya kwenye zeze

Najua mpo poa hii salamu kwenu ninatoa
Anzeni kujibu kwa kubeepu niwakamue kama jipu
 
Last edited by a moderator:
magnifico na dabo
Mkibaki hapa lazima mtatoka kapa

Ama mtachapa lapa

Kwa stanza ninazowapa

Kwa vina nawachapa

Nawakaba mtasepa

Nawachora nawapora kila mtindo mnadorora

Mim ndo chongo mwenye usongo wa kuona kwenye giza bila visa bila hongo mnazama kwenye udongo

Choko kwenye soko nawakomba kama ukoko

Mnapata wasi hamna nafasi mpo chini kama viatu vya farasi

Acha niwafuze niwajuze ushairi mnitukuze niwakimbize niwabeze niwakaze kama waya kwenye zeze

Najua mpo poa hii salamu kwenu ninatoa
Anzeni kujibu kwa kubeepu niwakamue kama jipu

Sikia mtoto wa mama,
hapa hakuna kujikweza,

chana ka unaweza,
so mdomo unalegeza,

emc husomeki,
kama sera za magufuli,

flow zako f,
kama pepa ushafeli,

mi ndo c.e.o wa mistari,
rap kwangu kazi,

we katibu wangu,
waweza nichuna kama buzi,

mbuzi? Nina sayansi mistari,
vesi nazipanga kama tenzi,

tenzi? Naturn kuwa wolf,
ukichomoza mwezi,

so you beta run away,
hii ndo thrila ya wakojako,

eti bado hujakubali,
legendary magnifico?
 
Last edited by a moderator:
Nimestik kwa Mitindo huru
Rap ngum kumzidi guru

Nachoshukuru silipi hata ushuru
Magni mlaini zaidi ya warembo wa kimbulu

Nakuchoma kaa tanuru
we boya usie na nuru
Hii ni hiphop sio bongomuvi kina lulu

PM wameingia
warembo kunisifia

Wanasema napatia
mistari kifizikia

We mento bado mkia
nyuma nakushikilia

Niache usije nifia
murder case ikaniangukia

Sauti ya kimura
japo natokea ara

Ntakuteka nyara
kwa fasi we mburula

Step zako za chura
Andazi bila amira huez fura

Nmekutoa tatu bila
Mrembo binti kisura

old school shule kongwe
toka kipindi cha gangwe

Kimobb zaidi ya songwe
Ryder na ROMA tongwe

Nimejikoki snitch kwangu utoki vitendo tu sio maneno ka mpoki

Mi nakubalika
Vijana na kila rika

Mistari navoandika
Mademu PM wanamwagika

Wengine wanipa sifa
maskani wanialika

Wananiita we dabo
Tunakupenda dabodabo

Achana na magnifico
Mistari anapiga chabo

Wee boya nakufunika
Kidumu mwizi nakumulika

Kwanza asubuhi hujanawa
Jana si ulipitiwa na popo bawa?

Mi nipo macho AM mpaka PM
na ukizingua walai nakufuata PM.

Slow down hujanijua utabaki kunisikia
Dem unaemsifia nitbaki kukuchapia
Style yako rap katuni haina swags haina mvuto
Naflow sina stress kiulain ukidiss bado haina majoto
Niite shiny c real mcee naewanyima ucngiz fake mcees
Mtakuja mtaondoka maharamia kidume nabaki na viza
Leo sio jana badilisha fani kubattle nawe ntabaki kukukuza

magnifico
 
magnifico na dabo
Mkibaki hapa lazima mtatoka kapa

Ama mtachapa lapa

Kwa stanza ninazowapa

Kwa vina nawachapa

Nawakaba mtasepa

Nawachora nawapora kila mtindo mnadorora

Mim ndo chongo mwenye usongo wa kuona kwenye giza bila visa bila hongo mnazama kwenye udongo

Choko kwenye soko nawakomba kama ukoko

Mnapata wasi hamna nafasi mpo chini kama viatu vya farasi

Acha niwafuze niwajuze ushairi mnitukuze niwakimbize niwabeze niwakaze kama waya kwenye zeze

Najua mpo poa hii salamu kwenu ninatoa
Anzeni kujibu kwa kubeepu niwakamue kama jipu

Haha kaka kipande
Kwangu labda mjichange

Sitaluzi kwenye huu mtanange
Ara mpaka mbambane jkt msange

Emc umeniqoute
nahisi unachezea koki

Twc dabo poti
Utacraw stail ya kijoti

Nawa tupa then naji pac
marapa tupatupa rodini mme panic

Mi hatari kwenye hii mistari
Utamu wako anjari nenda kwa m.Asanari

Huu uzi naumiliki
Muulize Invisible ninahati miliki

Taarifa zimeleak
Jf kuhusu hii ligi

Majukwaa yote nakick kaka kipande kavae tu kanik
dabo naflow kimungiki
Jinsi navyokick ushindi haupingik

Voko Zinaruka kick kaa vandame
Zinaingia kwenye pochi ka mrembo wa kimachame

Yesu maria mpaka mtume
kaka jembe unasauti nyororo kweli wee wa kiume?

Ubongo unatema rymes bila cha arachuga

Ukweli sihanyi bamsi nachana kwakila lugha

Muulize duke m-lab
Kwenye game nipo tafu
Midundo naimeza kavu

kaka kipande wee ni half

Sjamaliza ndo kama naanza
Nakubatiza nikuite #miss kabanga

Kaka kipande ngedere
Huna ladha ka mchuzi wa njegere
HIPHOP sio segere
Kajiunge na Asha ngedere

No women no cry
No dabo jukwaa halifurai

Leo boya nakutoa nishai
Mistar mafuta nakukaanga ndani ya karai

Ukispeak English ni broken Jukwa wanacheka hiyo ipo open

Acha rap kakate viuno
Baikoko kitandan uzidishe miguno

Utauza huko kuna promo
Au ukapige Pushups ualikwe fiesta kama kiba na domo
 
Last edited by a moderator:
U
Slow down hujanijua utabaki kunisikia
Dem unaemsifia nitbaki kukuchapia
Style yako rap katuni haina swags haina mvuto
Naflow sina stress kiulain ukidiss bado haina majoto
Niite shiny c real mcee naewanyima ucngiz fake mcees
Mtakuja mtaondoka maharamia kidume nabaki na viza
Leo sio jana badilisha fani kubattle nawe ntabaki kukukuza

magnifico

Bwanamdogo naitwa dabo

Umeniqoute! unatafuta tu trabo

Dogo Ntakunyonga
kitaan naitwa rambo

Ona Voko unaboronda
Chaa ajabu umejaa tambo

Jukwaani nadondoka
Wee unaona haya kirembo

Kisura umechuchuka
Nahisi umepigwa mtungo

Naona tu unapayuka
Minatembea na mdundo

Hii namba nyingine
Jaribu kwa maboya wengine

Ntakupiga kwenzi mpaka dogo ujikune
Kihesabu maswali majibu mimi ndo jipime

Kiukweli hauniwezi shiny c
Mkata viuno mkubwa zaid ya ray c

Mistari yako tasa wee hanisi
Ulikosa majina si ungejiita chainiz!

United street in Arusha yaani USA
Masela nawarusha hii sio BBA

LT kanipima nina hiphop DNA

Mitihani nimepita mpaka CPA

Freestyle master
Legendary wa rymes kaa buster

Mi ni profesor kama Jay

Sigawi nyuma kama gay

KiLowasa ccm hawaongei

Najaza nyomi mpaka inamtisha jeikei
shiny c hapa ndo umefika
fulu gwanda ka mbowe akiwa ufipa

Kila kona nakubalika
Jf mpaka fb kote nainstrgramika

Pesa ndo sauti ya kila rika
Maisha kugaramika

Bila pesa beyonce asingekua na jiga?
Nami nazisaka nimng'oe miss chagga
 
Last edited by a moderator:
anayejiamini akianzishe nimpoteze

sina pozi fasta nakuanzishia, ongea vyenye mantiki
Neema gani unasubiria, ama unatafuta kiki,
Nakufumua na kombora copyright haki namiliki
Underground kama wewe, jiite mtumwa not bosi
Punchline narusha mithiri ya jiwe, usingojee msaada ntakuburn ka pasi
Kama noma fanya iwe, ukisurrender sema "inatosha please acha basi"
Jifungie toilet unaporeply hizi risasi
Madem wengi washadata wako asije fuata msururu ukaanza kunidiss
Funga virago chapa lapa, nkikupa stress nenda bar kachape bapa
Mi wa hapahapa, you are ma grandson just call mi grandpa
Sichagui mkinga wala mfipa, ukipungukiwa vina njoo pm ntakukopa.
 
dabo unachonga ngenga nazidi kukupiga chenga nachojenga hutajenga
we ni bitch wa leganga

mistari yako ina njaa
Chokoraa
nakushangaa unataka kukaa nilipo kaa

Boya boya wakiboya maharage kama soya ntakusaka kila kaya nikuchome kama faya

Unajifanya una mbishe
na swaga za ali nipishe
hapa utalamba dushe
bisha niizamishe
dabo we ni choko
na uwape habari dada zako,
kwamba jf kuna nyoko
amekupa viboko
na ukizidi leta zako
Kesho anakumega tako

hahaa nacheka sana
Kwa maana vijana wa jana
wanataka shindana nami

Jibwa koko magnifico
uliko siko
siri zako nazijua

nikikuchana ntaakuumbua utalia na kwenu watazimia

mistari yako yakukariri
wew ni bad girl riri

Wape salamu porini unapokaa unataka kuja mjini na boxer zimechakaa mvua dagaa
Huwezi battle nami kwenu watakukataa
 
Last edited by a moderator:
Dah!Aisee hii michano noma sana

Ni nooooma
Tunatisha kama ukoma

Tupo pia na romaaaa
Serikali inatusomaa

Mods wanapata homa
kiukweli tunawachomaa

Karibia usione haya
Ila hii ni rap sio kwaya

Flow hata kidudu baya
Ila Ukinistch utanyea kaya

Hii Mitambao adimu
Sio mitandao sisiemu
Labda mitandao ya cimu
 
Michano hai,sio mfu kama yenu
Nyie marapa wa uhai,marapa wa baikoko na mayenu
Vina vya kuungaunga na gundi,mna vina vya kichina
Marapa bundi,nawatoa tongotongo za rap kama mna trakoma
 
sina pozi fasta nakuanzishia, ongea vyenye mantiki
Neema gani unasubiria, ama unatafuta kiki,
Nakufumua na kombora copyright haki namiliki
Underground kama wewe, jiite mtumwa not bosi
Punchline narusha mithiri ya jiwe, usingojee msaada ntakuburn ka pasi
Kama noma fanya iwe, ukisurrender sema "inatosha please acha basi"
Jifungie toilet unaporeply hizi risasi
Madem wengi washadata wako asije fuata msururu ukaanza kunidiss
Funga virago chapa lapa, nkikupa stress nenda bar kachape bapa
Mi wa hapahapa, you are ma grandson just call mi grandpa
Sichagui mkinga wala mfipa, ukipungukiwa vina njoo pm ntakukopa.
natoka mmu mpaka jukwaa la wanahip hop/
bila kugonga mlango, na ryhme bila kusita/
i got tha flows , nigga i know../
im the master kwenye flow/
im the hustler, where is dough? /
aaaah!!! kwenye booth im so nastic, style so elastic.... /
natema sera kwenye mdundo call it rap beat, im so fantastic/

we kilaza, nakukaza, underground mini faza/
nazi-drill hizo flows kwenye beat na kipaza/
ukubwa wako bwebwe kwa ku-ryhme im your brother
 
Aiseee embu anza wewe nikupimie kma utaweza kukinukisha
kwa zangu flow zakibishi, wacha uniitwe champion/
hata kama nakukera kama chunusi usoni, kinyesi chooni, professor vyuoni...
walimu mashuleni au kondakta mabasini/
haunabudi kukubali, level nilizofika mbali, hautofika hata kwa gari na mbali sio juu dari/
heshima na stahili, snitch acheni ubahiri nasukuma hili tairi kwa ufundi na ufikiri/
 
alafu nawapa bonus...


u got the styles, naiyo shape unaniua kabisa/
na dat way u roll your waist, nanimaliza fikra/
unabehave best naskia tetesi mtoto weni-bikra/
wenimgumu hawakupati, masharo na maticha/
sio lazima upake make-up, kiufupi unatisha/
sio lazima useme mdomo mbona matendo yanafika/
nahakika, machozi kamwe hayato tiririka/
so tulia, usiniite moo but uniite mister/
unakwenda wapi mbona unapokwenda ushafika/
unasema nini mbona unachosema kisha skika/
unapika nini mbona unachopuka nishapika ! /
now!!! i do my best, niwenawewe forever/
wherever niende nawe ni do whatever /
aaaah nikiwanawe nakuwa bora zaidi ya jana/
unazidisha mautamu naona siku zinafanana/
Nadata na shape naizo curves ka-bananana/
 
dabo unachonga ngenga nazidi kukupiga chenga nachojenga hutajenga
we ni bitch wa leganga

mistari yako ina njaa
Chokoraa
nakushangaa unataka kukaa nilipo kaa

Boya boya wakiboya maharage kama soya ntakusaka kila kaya nikuchome kama faya

Unajifanya una mbishe
na swaga za ali nipishe
hapa utalamba dushe
bisha niizamishe
dabo we ni choko
na uwape habari dada zako,
kwamba jf kuna nyoko
amekupa viboko
na ukizidi leta zako
Kesho anakumega tako

hahaa nacheka sana
Kwa maana vijana wa jana
wanataka shindana nami

Jibwa koko magnifico
uliko siko
siri zako nazijua

nikikuchana ntaakuumbua utalia na kwenu watazimia

mistari yako yakukariri
wew ni bad girl riri

Wape salamu porini unapokaa unataka kuja mjini na boxer zimechakaa mvua dagaa
Huwezi battle nami kwenu watakukataa

Alianza magnifico
Chini nikamkaba koo

Akafuata radiation
Now anapiga mastabation

Maskini kaka kipande
Popcorn sio makande

Kijaji kama chande
Boya nakugawa vipande

Mods mcheki boya
Ameanza matusi

Ntamla mpaka manyoya
Kisha nimpe virusi

Hiphop sio matusi
Au wee ni emc wa harusi?

Dogo nakuonya
Unaskia wee panya!

Ntakuvika kengelee
Upunguze kiherehere

Boxer nje umevaa mlegee
Swaga za kale kabla sjabalee

Hunitishi wee snitch mbichii
Kwa hii speech huniifichii

Mlaini zaidi ya parachichi
Sikufichi ntkutemea matapishi

Kwenye rap we mshamba
Vina huna unabaki jingamba

Emc feki
usawa wangu sifagilii

Vaa pedi
Unavuja damu kwani huangaliii

Sina wema
Sepetu linachimbua domo

Alale pema
Popote Peter kisumo

Kwenye Fani kitambo
Kabla ya hashimu dogo

Kiunoni mtambo
Sio muwa lete rambo

Mi uzito usiopimika
Dogo ukaka unajivika

Nmestick sitetereki
Spigiki schengeki

Uvae minskit stegeki
Kiukweli skwepeki

Mi ni zaid ya ngoma
Ukinisoma tu unahoma

Nyuma yako Nakuchoma
Wee Ivan mimi ROMA

Huwezi rap nenda twanga pepeta boi chunga ntakupwerepeta!
 
Last edited by a moderator:
bado sana vijana uwezo wenu mdogo hahahahah!!!!

Broh karibu kwenye ligi
Dabo nakufukuza kwenye mbigiri

Utadata
nyuma Nakupiga chata

Kimstri mi ngata
We Nyuma mpaka upigwe stata

utambwira worldboss
Fukara we ni false boss

MMM wape habari Kaboom mpaka Munkari

Stock ya mistari
Siyo chabo zako kwa daftari

Boss now umeingia loss
Za utoss mpaka utapull sokss

Bora ukimbie
Au baki ujipimie

Nakamia
Na nundu ya mistar kaa ngamia

Unaspeak nonsense
Hujui haumeki anysense

Rymes zangu expense...
Broken unachanganya past future tense

Skia huu ushindi ni wangu
Wee bora uende samakisamaki ukajiuze na machangu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom