Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

radiation anza kupasha bro..mshindi unakutana nae ww
 
Last edited by a moderator:
toka bara, visiwani tanzania inapendeza/
tanzania namba one.. duniani twapoteZA/
milima, mito, maziwa kila kona... vivutio vya asili tanzania yetu noma/
lake tanganyika.. hasara usipofika, wegeni njooni bongo hainahaja ya kusita/
ngorongoro crater, naitazama nakesha... inapendezesha bongo, tanzania neemeka/
mlima kilimanjaro/simba, nyati na wao....
ziwa victoria, nyasa ... wengine hakuna nchini kwao/
 
Najivunia utanzania
Uasili kwa kila njia/

Mwenyezi ametushushia wanyama miti ya kila asilia/

Tuna mibuyu mpaka tukuyu Warembo wanapata ubuyu/

Ngorongoro na manyamara Kilimanjaro Mlima wa bara /

Tumejaliwa vivutio Mnachofanya majangili sio/

Daily magendo ya tembo
Ona wengi hawana magego /

Uasili wa asili umasaini so masihara /
Tunadumisha asili vichwani ona vipara /

Wanyama mwituni Tanzanite mbuguni/
Serikali huni Wamembinfsishia mkoloni/

Licha ya Uasili bado watu duni /
Dawa EDO mr2 na babu Duni ..........
 
Aseeh wakuu sorry natumia simu ilizingua gafla...
 
toka bara, visiwani tanzania inapendeza/
tanzania namba one.. duniani twapoteZA/
milima, mito, maziwa kila kona... vivutio vya asili tanzania yetu noma/
lake tanganyika.. hasara usipofika, wegeni njooni bongo hainahaja ya kusita/
ngorongoro crater, naitazama nakesha... inapendezesha bongo, tanzania neemeka/
mlima kilimanjaro/simba, nyati na wao....
ziwa victoria, nyasa ... wengine hakuna nchini kwao/

Najivunia utanzania
Uasili kwa kila njia/

Mwenyezi ametushushia wanyama miti ya kila asilia/

Tuna mibuyu mpaka tukuyu Warembo wanapata ubuyu/

Ngorongoro na manyamara Kilimanjaro Mlima wa bara /

Tumejaliwa vivutio Mnachofanya majangili sio/

Daily magendo ya tembo
Ona wengi hawana magego /

Uasili wa asili umasaini so masihara /
Tunadumisha asili vichwani ona vipara /

Wanyama mwituni Tanzanite mbuguni/
Serikali huni Wamembinfsishia mkoloni/

Licha ya Uasili bado watu duni /
Dawa EDO mr2 na babu Duni ..........

Mmetisha wazee..twendeni round ya pili
 
Uchambuzi wangu wa round ya kwanza wote ni wakali sana

Shoot out worldboss na dabo

Ila nimemuelewa zaidi dabo vile kagusia tanzanite na ujangili imekua deep kidogo

NB:bado sijapiga kura nawaza kwa saut tu
 
Last edited by a moderator:
tuna misitu, wanyama tele kwa tele/
watanzania halisi kwanza piga kelele/
misele kila kanda, vivutio tele.. tanzania inapendezea, yani bongo mbele kwa mbele /
hakuna haja ya kwenda U. S, mana bongo inanibamba/
rock city mwanza, mjanja tafta kiwanja/
serengeti, ngorongoro zote zinatupa mikwanja/
aaah! mbuga mikumi naiota kwa kitanda/
ukitaka kupanda mt. kilimanjaro funga mkanda/
bahari ya hindi, upepo pata mawimbi/
nitabaki hapa bongo nchi nyengine SITIMBI/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom