Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Nje ya Mada wewe pambana na gwijimimi. Huku dabo na magnifico wakiwa wanatunga rhymes zao. Au imekaaje hii mkuu... Then mshindi kati ya magnifico na dabo atapambana na radiation a.k.a gamma rays... The dangerous emcee.

Then mshindi kati ya gwijimimi na Nje ya Mada atapambana na mshindi kati ya hao tajwa huko juu. Au Kaboom unasemaje... Nafanya hivi ili kuokoa muda. Kama umeafiki mkuu worldboss jiandae na topic.


Wakuu msisahau ku-subscribe hii thread hili kupata michano. Na live updates
 
Last edited by a moderator:
Jamiiforum mi nemba,
toka long tym ago,

shangaa invicible ananijua,
vp dogo dabo,

jf ndo ngome kongwe,
kwenye social network,

Chief-Mkwawa ndo legendary,
anafix mpaka deki,

navunja mbavu zangu,
kwenye jukwaa la jokes,

na nikitaka make m0ney,
kuna stage ya bizness,

team kiba nawakabali,
kama @K 4 REAL

Nikiugua mi naponywa,
Mzizi mkavu ndo dawa yao,

kuna mada za ajabu,
waweza pata mshangao,

kwenye siasa noma sana.
Kuna bans nyin sana,

ila memba wanajazana,
wenye wing uhasama,

demu usinitose,
Mmu wako wengi,

Nyani Ngabu ndio mkongwe,
akifatiwa na Asprin,

Jf ka mwalimu,
kuna meng ya kufaa,

na ndo mana mpaka night,
utanikuta kwa hewa,
 
Last edited by a moderator:
Mbona hamnipi mpinzani/ Ama nimeshindakana sipimiki kwa mizani.

Nataka changamoto sio changatoto/
Mkali ajitokeze nimvute kama msokoto.

Who can flow in colonial Language/
Am strong enough to manage like T Wa savage.

Enzi zangu zimeisha nn!???
Cc : Paulo Sergio De Souz .... Huyu hapa a.k.a classic man. Lakini yeye sio Jidena (just joking)
 
Last edited by a moderator:
Mbona hamnipi mpinzani/ Ama nimeshindakana sipimiki kwa mizani.

Nataka changamoto sio changatoto/
Mkali ajitokeze nimvute kama msokoto.

Who can flow in colonial Language/
Am strong enough to manage like T Wa savage.

Enzi zangu zimeisha nn!???

nyamaza we pimbi/flow vizuri sio kupayuka//

nnapokuita kwangu hutimbi/unaogopa hizi flow unatetemeka//

njoo upate dozi we kibabi/ ukahadidhie wenzio kabla sijawateka//
radiation sina mpinzani/vina vyangu havipimiki kwa mizani//

niko chimbo natunga vya maana/ mpuuzi we bado unatunga taarabu
 
Last edited by a moderator:
Jamiiforum mi nemba,
toka long tym ago,

shangaa invicible ananijua,
vp dogo dabo,

jf ndo ngome kongwe,
kwenye social network,
Chief-Mkwawa ndo legendary,
anafix mpaka deki,

navunja mbavu zangu,
kwenye jukwaa la jokes,

na nikitaka make m0ney,
kuna stage ya bizness,

team kiba nawakabali,
kama @K 4 REAL

Nikiugua mi naponywa,
Mzizi mkavu ndo dawa yao,

kuna mada za ajabu,
waweza pata mshangao,

kwenye siasa noma sana.
Kuna bans nyin sana,

ila memba wanajazana,
wenye wing uhasama,

demu usinitose,
Mmu wako wengi,
Nyani Ngabu ndio mkongwe,
akifatiwa na Asprin,

Jf ka mwalimu,
kuna meng ya kufaa,

na ndo mana mpaka night,
utanikuta kwa hewa,

Jf kusanyiko la jamii /
Wanasiasa walimu mpaka wasanii/

Tunagusa kila nyanja/
Hasa jamii inachofanya/

Kuna wapenda mkwanja/
Kama miss chaga wa kaskazini kanda/

Pia Mabigwa wa mapenzi/
Utawakuta Jukwa la MMM/

Manguli wa kupanga tenzi/
From A.M TO PM/
Chunga ukicoment ushenzi/
Faster wataibuka PM/

Hapa sio facebook kwa mateenager/
Jf watu wazima wengi mamenager/

Kuna great thinka/
Ukicoment ujinga utaaibika/

Wageni wenyeji karibuni/
Kwa michango tz iendelee kama ughabuni/

Changieni wapenzi ruhusa itaneni honey /
Furahini ila jichunge kupigwa ban/
 
Last edited by a moderator:
Nje ya Mada wewe pambana na gwijimimi. Huku dabo na magnifico wakiwa wanatunga rhymes zao. Au imekaaje hii mkuu... Then mshindi kati ya magnifico na dabo atapambana na radiation a.k.a gamma rays... The dangerous emcee.

Then mshindi kati ya gwijimimi na Nje ya Mada atapambana na mshindi kati ya hao tajwa huko juu. Au Kaboom unasemaje... Nafanya hivi ili kuokoa muda. Kama umeafiki mkuu worldboss jiandae na topic.


Wakuu msisahau ku-subscribe hii thread hili kupata michano. Na live updates
sio mbaya mkuu
 
Safi sana..twendeni round ya pili

Jamiiforum mi nemba,
toka long tym ago,

shangaa invicible ananijua,
vp dogo dabo,

jf ndo ngome kongwe,
kwenye social network,

Chief-Mkwawa ndo legendary,
anafix mpaka deki,

navunja mbavu zangu,
kwenye jukwaa la jokes,

na nikitaka make m0ney,
kuna stage ya bizness,

team kiba nawakabali,
kama @K 4 REAL

Nikiugua mi naponywa,
Mzizi mkavu ndo dawa yao,

kuna mada za ajabu,
waweza pata mshangao,

kwenye siasa noma sana.
Kuna bans nyin sana,

ila memba wanajazana,
wenye wing uhasama,

demu usinitose,
Mmu wako wengi,

Nyani Ngabu ndio mkongwe,
akifatiwa na Asprin,

Jf ka mwalimu,
kuna meng ya kufaa,

na ndo mana mpaka night,
utanikuta kwa hewa,

Jf kusanyiko la jamii /
Wanasiasa walimu mpaka wasanii/

Tunagusa kila nyanja/
Hasa jamii inachofanya/

Kuna wapenda mkwanja/
Kama miss chaga wa kaskazini kanda/

Pia Mabigwa wa mapenzi/
Utawakuta Jukwa la MMM/

Manguli wa kupanga tenzi/
From A.M TO PM/
Chunga ukicoment ushenzi/
Faster wataibuka PM/

Hapa sio facebook kwa mateenager/
Jf watu wazima wengi mamenager/

Kuna great thinka/
Ukicoment ujinga utaaibika/

Wageni wenyeji karibuni/
Kwa michango tz iendelee kama ughabuni/

Changieni wapenzi ruhusa itaneni honey /
Furahini ila jichunge kupigwa ban/
 
Well well...
rhymes not so tight/ but I make Hops sick/
first things first, Lemme put this straight/
MosDef I seen you taking shots, you mad bro?/
Some brothas do get periods, could be the reason you so sore/
Next time you talking shit, just call out the name/
You may sound stupid, but atleast you'll be a man/
 
Well well...
rhymes not so tight/ but I make Hops sick/
first things first, Lemme put this straight/
MosDef I seen you taking shots, you mad bro?/
Some brothas do get periods, could be the reason you so sore/
Next time you talking shit, just call out the name/
You may sound stupid, but atleast you'll be a man/

Cc: donlucchese Nje ya Mada
 
Last edited by a moderator:
Teh teh..bro tutakutafutia level zako

Hahaha. Kiswahili mistari haiendi kabisa. Nina mshkaji raia wa Sudan nimemaliza nae skuli juzi ana-rap for fun tu. Alinipa guest slot ila nifanye kwa kiswahili, nikatoa visingizio kibao.
 
Jamii forum/
Kitovu cha ufahamu/

Nyuzi za siasa/
Maisha matukio na visa/

Majukwaa yapo kwa ajili ako/
Jichanganye upanue mawazo yako/

Ila chunga sana/
Kuna vivulana na visichana/

Vijizi vya mitandao vipo sana/
vinakesha uku usiku na mchana/

Jf wote tunaheshimiana/
Wakubwa wadogo na wale tunaochana/

Wengi wamekutana humu ndoa wakaoana/
Wengine wanachezeana eti wanakula ujana/

Nyuzi zingine zinachekesha/
Japo kimaudhui zinaelimisha/

Dabo mi napenda MMM/
Ndo naposhinda AM TO PM

Sharaouti kwa MO11
Kikosi cha MMM yupo 1st 11.
 
Last edited by a moderator:
Oi Paulo Sergio De Souz hiyo avi yako ni @JColeNYC au macho yangu? Juzi juzi niliambiwa yupo arusha... Hivi ni kweli?

Mzee wa mambo ya power trip.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom