gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,623
hahahaahahaaaaaa
Am serious
hahahaahahaaaaaa
Yoo yooh! nimerudi tena,
Mtanzanika, nimerudi kuchana,
Niteme vile vina venye maana,
Wanionapo wangese waseme sana,
Wanisomapo mafisadi chupi zinabana,
Wanakula sana, TZ mpinzani hakuna,
Pesa za umma wachache wanazitafuna,
Baba Riz anacheka hajawahi kununa,
Mi inaniuma, ESCROW watu wamevuna,
Wamebeba nje nje na serikali inaona,
System inaumwa sijui vipi tutapona,
Sisi wabeba box maisha ya dana dana,
Leo yes kesho no siku hazijifanana,
Kama vitoto vya kuku subirini mtanyonya wana,
Longo longo jukwaani propaganda na fitina,
Sasa tushazichoka Oktoba tutaonana.
Yeah! Nasimama, kufufua uzi ulokufa,
baada ya mtetemo,
mi naziba ufa,
pale penye Omega,
hapakosi Alfa,
emcees wanagwaya,
mistari nikisababisha,
anayeweza ajitokeze,
dakika mbili nimpetoze,
fani zenu si kuchana,
fani zenu kupiga zeze,
ado ado bwana mdogo,
kajipange ujiulize,
magnifico
Naona umejileta joh
Mijeledi ya mistari itakukaba koh
Ukigeuka tu kabari ntakutoa choo
Muulize #MO11 ananiita broo
Nmejitokeza njoo nikupotezee
Ntakumeza ntakupaka Mawesee
Yesyes yoo heshima zaid ya EDO
Sio mapadlock skin wala pedo
#magnifico
Mamc mnalala mbele,
magnii nikiingia,
emc hamna weusi,
mnachana mnaziba pua?
Hizi ni ngum za Songea,
na kingoni naongea,
ukishajua nimewasilia,
so bora ufunge domo,
coz akili imeranduka,
rap nazirap kwa michomo,
na ndo mana hamboreki,
nikichana bila ya kikomo,
huna ma0no ya mbali, nitakubwaga kwenye shimo,
yeah!
dabo unachana kitoto/njoo ufunzwe na wakorinto/ sinaga huruma ndo maana kauzu ka pilato/sergent natoa mikito/ kiunoni imekaa bisto/ karibia nikupasue uunguzwe na huu moto
Haha kwanza nacheka
Magnii dogo ntakufyeka
Mtaani wananita undertaker
Pushups na punch kama cheka
TulizA kiwewe mkubwa nafoka
Ivindo wew kibabu cha Bicheka?
Sio tu JF mpaka insta wananijua
Masafa yabulet ukizingua nalipua
Dabodabo kitrabo lines umepiga chabo..
Kwenye rap kitambo kabla MMM kwenda ng'ambo...
Nakusubiri kwenye huu uzi
Nikufunde mtoto wa juzi
Mi staki mambo ya kipuuzi
Njoo tuufufue huuuzi..............
nimefurahi furaha kuu kuuotea huu uzi/ Ngoja nitupie makuu nisilete upuuzi/ hi mistar ni misafi hawez sogea inzi/nipo dry cjadata sijala kitu sijasiz/ wepes washafyata hawaelew hiz tenz/ nina busara kichwan kama mzee mwenye mvi/ rais wangu ni lowasa hao wengine ni uduvi/ wapiga pushup sio viongoz mi naona ni wezi/ my fellow youths standup msichague washenzi/ watoto wa wakulima tunashindia ulanz/watoto wa viongoz wananawa uso na zanzi/ ***** nimerauka ka mbwa mwenye kichaa/nina uchungu na ccm ka nipo kwenye kuzaa/ sitak kaz tu wala mwana akanywe na mazaa/